Ni njia gani nifuate nimpate Jini?

Ni njia gani nifuate nimpate Jini?

Sasa,mimi sitaki kubishana kuhusu majini,au malaika au shetani. Mimi sijawahi kumuona malaika au shetani. Mimi sina upeo unaoniwezesha kusema," Katika ukumbi huu wapo watu 100 na mashetani 20 au malaika 30.". Sio kama mimi nasema. Ndiyo ilivyo. Watoto wadogo wanaweza kuwaona fairies. Ndio chanzo cha fairy tales. Hao fairies ndio Nature Spirits ,ndio wanaotunza mimea na kurutubisha ardhi.,yaani wao wanafanya kazi hiyo pamoja na wewe unapolima bustani. Kwa hiyo wapo hao spirit biologists wanatunza mimea,wapo mineralologists wanafanya kazi ya rocks. Hapo juu umeöna nimekitaja kitabu cha Abramelin[ Abraham-.Merlin] jinsi ya kuwaita mashetani. Amesema mashetani wanaitwa vipi? Anasema tayarisha altare,weka sanamu,choma udi,mlete mtoto mdogo wa miaka mitano,umri kama huo thereabout. Mwambie aitazame altare,wewe usiitazame. I repeat,anasema wewe usiitazame,mwambie aitazame altare Halafu sali sala ya kumwita yule shetani,[anakupa majina ya wale shetani;shetani huyu kwa kazi,mwingine kwa kazi tofauti;na maboss wa mashetani ambao usiwaite kama kazi ni ndogo],mtoto umemwambia akimwona shetani amefika kwenye altare,akuarifu. Kwa hiyo kinachosemwa,boiled down to its essence,ni kwamba ukitaka kumwöna shetani ,umkamate mtoto mdogo ukajifungie naye chumbani. Yaani kama kuna jini,shetani,malaika,ghost-whatever,mtoto atamwona kwa urahisi kuliko wewe. Ni kama mimi mara nyingi nimewaita watoto kunisaidia kuweka voucher katika simu. Lakini siku hizi naona voucher ni user friendly.
 
Sasa,mimi sitaki kubishana kuhusu ser friendly.

inakuaje kuna ambao wana huwezo na taaluma ya kuon spirits…? ina maan watoto wa around miaka 5 bado third eye ipo active…? niliwahi soma sehem kuw jini ukimwita kwa utaalamu hujitokeaza kwa umbo la mwili either paka mweusi ,nyoka etc wakasem usiogope otherwise itakupa shida sasa ukimtumia mtoto huwezi mpa risk…?. would to here more, shusha nondo mkuu

Kama waweza vitabu au makala tuwekeee
 
Habari wana JF jukwaa la intelijinsia..

Eti nifate steps zipi ili niweze kumpata jini na je nikishampata nifate masharti yapi ili asitoroke..

NB: Namtafuta jinni wa kusimamia biashra zangu pia tufanye mishe mishe za town

Nawasilisha
Hebu msome allah wako anavyo sema hapa:
Hadith - Sahih Muslim 6757, Narrated Abdullah ibn Mas'ud, similar narration 6759 by 'Aisha, r.a.
Allah's Apostle said: There is none amongst you with whom is not an attache from amongst the jinn (devil).

Katika Suratul Waqia 51:56.

" Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu" katika Quran Suratul Al- Ankabut (Buibui), 29:46-47) " Wala msibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake".

Waliopewa kitabu kwa mujibu wa Quran ni Wayahudi na Wakristo. Je, hoja kuwa Mungu wetu na Mungu wao wanayemwabudu kuwa ni mmoja je ni sahihi?. Tuchunguze kuhusiana na mafundisho ya Allah S.W. wa misikitini kuhusu majini ndipo tutajua ni mmoja au la!.

Muislam yeyote ili imani yake ikamilike ni lazima aamini yanayoonekana na yasiyoonekana katika Suratul Al- Baqarah (Ng'ombe Jike la Njano), 2:1-3.

" Alif Lam Mym. Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ni uongozi kwa wamchao mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadaam) yamesemwa na mwenyezi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.

cc Nonda
 
Last edited by a moderator:
Sasa,mimi sitaki kubishana kuhusu majini,au malaika au shetani. Mimi sijawahi kumuona malaika au shetani. Mimi sina upeo unaoniwezesha kusema," Katika ukumbi huu wapo watu 100 na mashetani 20 au malaika 30.". Sio kama mimi nasema. Ndiyo ilivyo. Watoto wadogo wanaweza kuwaona fairies. Ndio chanzo cha fairy tales. Hao fairies ndio Nature Spirits ,ndio wanaotunza mimea na kurutubisha ardhi.,yaani wao wanafanya kazi hiyo pamoja na wewe unapolima bustani. Kwa hiyo wapo hao spirit biologists wanatunza mimea,wapo mineralologists wanafanya kazi ya rocks. Hapo juu umeöna nimekitaja kitabu cha Abramelin[ Abraham-.Merlin] jinsi ya kuwaita mashetani. Amesema mashetani wanaitwa vipi? Anasema tayarisha altare,weka sanamu,choma udi,mlete mtoto mdogo wa miaka mitano,umri kama huo thereabout. Mwambie aitazame altare,wewe usiitazame. I repeat,anasema wewe usiitazame,mwambie aitazame altare Halafu sali sala ya kumwita yule shetani,[anakupa majina ya wale shetani;shetani huyu kwa kazi,mwingine kwa kazi tofauti;na maboss wa mashetani ambao usiwaite kama kazi ni ndogo],mtoto umemwambia akimwona shetani amefika kwenye altare,akuarifu. Kwa hiyo kinachosemwa,boiled down to its essence,ni kwamba ukitaka kumwöna shetani ,umkamate mtoto mdogo ukajifungie naye chumbani. Yaani kama kuna jini,shetani,malaika,ghost-whatever,mtoto atamwona kwa urahisi kuliko wewe. Ni kama mimi mara nyingi nimewaita watoto kunisaidia kuweka voucher katika simu. Lakini siku hizi naona voucher ni user friendly.

Acha uongo wewe.Eti wanatunza mimea na bustani.
 
Augustine: Ahsante sana kwa hiyo shule ndugu yangu. Palipo na ukweli uongo hujitenga.

Staili za uongozi zinatofautiana. Lakini hii staili ya bwana misifa JK mimi imeshaniacha hoi. Kila siku ni kutafuta makofi. Na kwa wataanzania tulivyo, tutampigie kweli makofi, lakini in the long run, sijui mungu atusaidie.

Kumbuka mwisho wa siku litakuua na kukula nyama lakini pia uzao wako wote utapatwa na mauzauza na mateso kwa sababu ya mkataba utakaokuwa umeingia na hilo Jini.
Upo tayari?
 
Bwana YESU Kristo hayupoo duniani atakuwaje na Majini yote?Kwani yeye ndie aliye Waumba hao Majini? Mnadanganywa na Wachungaji wanaotumia Uchawi kwa kumsingizia Bwana Yesu Kristo eti ndio anaye ponya watu na kuwafukuza Majini wachungaji wanawaongopea wanatumia uchawi kuwafukuza mapepo. Sio nguvu za Bwana Yesu.

Mzizimkavu Yesu yupo, Ni wewe na Imani yako, Mi sina uchawi na ninafukuza hayo mapepo kwa jina la Yesu bila taabu. Jina la Yesu tu limatosha, yaulize hayo majini yatakuambia.
 
Huna point. Ushabiki wa kijinga!
[FONT=wf_segoe-ui_light]Sahih Muslim, Book 039, Number 6757:
Abdullah b. Mas'ud reported that Allah's Messenger (may peace be upon him) said:
[/FONT]
[FONT=wf_segoe-ui_light]There is none amongst you Muslims with whom is not an attache from amongst the jinn (devil).[/FONT][FONT=wf_segoe-ui_light] They (the Companions) said: Allah's Messenger, with you too? Thereupon he said: Yes, but Allah helps me against him and so I am safe from his hand and he does not command me but for good.[/FONT]
 
[FONT=wf_segoe-ui_light]Sahih Muslim, Book 039, Number 6757:
Abdullah b. Mas'ud reported that Allah's Messenger (may peace be upon him) said:
[/FONT]
[FONT=wf_segoe-ui_light]There is none amongst you Muslims with whom is not an attache from amongst the jinn (devil).[/FONT][FONT=wf_segoe-ui_light] They (the Companions) said: Allah's Messenger, with you too? Thereupon he said: Yes, but Allah helps me against him and so I am safe from his hand and he does not command me but for good.[/FONT]

Yesu anasema ktk mathayo 10:34.

34 Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.-

Na pia akahimiza ktk
LUKA 22:36 kuwa ...naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.-

Hivi Huu Upanga Yesu anao himiza km mtu hana basi AUZE HATA JOHO LAKE uue wangapi mpk Bibilia Iukataze na kuukemea?

Duh!
 
my family is protected by the blood of Jesus.
 
Humu Jf Raha sana,kuna wahubiri!waganga wajadi na wapiga ramli,
Duh....haya mkipata hizo pesa na mie ntakuja
 
Mzizimkavu Yesu yupo, Ni wewe na Imani yako, Mi sina uchawi na ninafukuza hayo mapepo kwa jina la Yesu bila taabu. Jina la Yesu tu limatosha, yaulize hayo majini yatakuambia.

ww unafukuza pepo? aiseh nyie watu mnscheksha kweli hivi nakuomba ciku nije nawagonjwa wahayo mapepo then ujaribu ntakurecord then clip ntaituma huku jf lakini tuandkishiane mkataba kwnza naww nafamilia yko kma llte likitokea sihusiki ukifanikiwa utanrudisha kwnye ugalatia nantakua kiongozi wnu hapo kanisani cos sidhani kma kuna mtu amehifadh bible yote kwalugha tatu kichwani.
 
nakushauri jifunze side effect zake au hasara zake mana usije ukalia kilio cha mbwa. Mfano; chakula chao hao ni damu iliokaribu nawe kama nduguzo au watoto.,
pia jaribu kujua faida za kuwa na yesu katika kupata mali

yesu ni mtu tu kama sisi tena hayupo duniani, hana uwezo wa kuponya wala kumpa mtu mali. Ukimtumaini yesu umekufuru uko pamoja na shetani, yesu hana uwezo wowote.
 
walokole ni wapiga kelele tu, wafuasi wa shetani, hawana maombi yoyote. Wanadanganya wajinga be care.
 
Back
Top Bottom