Ni njia gani sahihi unaweza kuitumia kuomba nafasi ya kujitolea ktk kampuni

Ni njia gani sahihi unaweza kuitumia kuomba nafasi ya kujitolea ktk kampuni

mimi20

Member
Joined
Jan 16, 2021
Posts
14
Reaction score
25
imagine kuna kampuni unaifahamu na hakuna mtu unayemfahamu pale lakini unataka kuomba nafasi angalau ya kujitolea ili upate angalau uzoefu hebu tupeane mbinu unaanzaje kufika na kujitambulisha, na ukifika haswa unatakiwa umuulizie nani ambaye atakusimamia mpka upate hiyo nafasi tuu

maana picha huwa siku zote linaanzia getini unakutana na walinzi, ukitoka hapo unaaenda mapokezi hapo sasa ukiulizwa una shida gani tukusaidie hebu tupeane ujuzi jinsi ya kuvuka hili eneo maneno ya kutumia hadi ukutane na mabosi wenyewe
 
una umri gani huwezi kujieleza wewe Mkuu ? sasa unashindwa kuongea na mtu wa reception graduate mzima !!! na hata huyo mlinzi ni form four unashindwa kujieleza kwake ?
haya,ukifika nenda reception,hapo jieleze kama unavojieleza hapa na ikibidi omba kuonana na HR, hawang'ati watu huko ma-ofisini
 
Smoke kidogo kutoa aibu nenda ofisi yoyote bila shida utafanikiwa boss
 
Back
Top Bottom