Ni Njia Gani Sahihi ya Kumwambia Mpenzi Wako Kuwa Hauko Tayari Kuendelea Naye?

Ni Njia Gani Sahihi ya Kumwambia Mpenzi Wako Kuwa Hauko Tayari Kuendelea Naye?

mie naona easy way ni wakati unamgegeda kwa mara ya mwisho muombe kabang...akikataa ndio hapo naposepa.
 
Hapa tnapifarij 2 we kuachwa hakuna kuachwa gafla wala polepole.

Yan huu msamiati n hatari"NAOMBA UFANYE YAKO AU SIHTAJI KUWA NA WEWE"

Hata iweje vita ya moyo haiwez zuiwa na mazingira ya nje hata ck moja
 
unaenda straight kwenye point......
hakuna haja ya kuendelea kupotezeana muda,au kuumizana zaidi
 
Hapa tnapifarij 2 we kuachwa hakuna kuachwa gafla wala polepole.

Yan huu msamiati n hatari"NAOMBA UFANYE YAKO AU SIHTAJI KUWA NA WEWE"

Hata iweje vita ya moyo haiwez zuiwa na mazingira ya nje hata ck moja

vyote vyaumiza roho......
 
Nakwambia hv kibt iz anothe issue.otherwise ulikuwa umeegesha bt when you fal in love. no mata kakwambia kuptia rafk au direct au indrect maumiv yapo pale pale.

Getting dumped sucks, no matter how it's done.
hizo zisemazwo are ways that'll soften the blo,but the pain will still be there
 
Jaman pipo...call a spade a spade not a big spoon

kuachwa ni kuachwa hamna style inayobadilisha maana halisi na maumivu ni yaleyale
 
Wapendwa habari zenu,
I hope everybody enjoyed the weekend.
Nimekuwa nikijiuliza hili swali bila kupata majibu, naomba mnisaidie.
kwa mfano uko kwenye mahusiano na mtu wako halafu ikatokea unataka kuachana naye kwa sababu zozote zile. Je ni njia ipi sahihi ambayo wewe ungeitumia kufikisha ujumbe kwa mpenzio au wewe unaipenda njia ipi mpenzi wako aitumie kukufikishia ujumbe kuwa hayuko tayari kuendelea na wewe? Baadhi ya njia zifuatazo zimekuwa zikitumika na watu wengi:
1. Kunyamaza kimya na kukata mwasiliano bila kuongea chochote?
2. kumpigia simu mlengwa na kumwambia ukweli kuwa hauhitaji kuwa naye.
3. Kumtumia sms na kumweleza lililo moyoni mwako.
4. Kumfanyia vituko ili akate tamaa yeye mwenyewe.

Je njia hizo ni sahihi kutumiwa au huwa zinatumika kwa makosa? Tujadili kwa pamoja tuone ni njia ipi sahihi ya kutumia kufikisha ujumbe (ambao sio mzuri kwa anayeachwa). Au kama kuna njia nyingine basi be free kuiweka wazi kwa faida yetu wote.
FUNGUKA MWANADADA, FUNGUKA MWANAKAKA UWANJA NI WAKO!

I hope wewe ni wa kike. Baadhi ya wanawake huwa wanaanda mazingira ya full kufumaniwa au mazingira partial kufumaniwa ambayo mlengwa hawezi kusamehe, then wanakuwa wanaomba msamaha huku wakijua hawatasamehewa na mchezo unaishia hapo.(hakikisha jamaa yako sio mtu wa kutumia vitu vizito vyenye ncha kali).
 
Me nadhan huwezi kuachana na mpenzi wako bila sababu, so mwambia kwasababu hii me na wewe basi, baada ya hapo hata akipiga cm unampotezea, na kama huna sababu ila umemchoka tu basi mtafutie zengwe lolote ilimradi uachane nae. NI HAYO TU MWADADA
 
Kuacha mtu kazi jamani, khah
Bora kulima shamba la ekari 5 kwa kichwa.
 
Wapendwa habari zenu,
I hope everybody enjoyed the weekend.
Nimekuwa nikijiuliza hili swali bila kupata majibu, naomba mnisaidie.
kwa mfano uko kwenye mahusiano na mtu wako halafu ikatokea unataka kuachana naye kwa sababu zozote zile. Je ni njia ipi sahihi ambayo wewe ungeitumia kufikisha ujumbe kwa mpenzio au wewe unaipenda njia ipi mpenzi wako aitumie kukufikishia ujumbe kuwa hayuko tayari kuendelea na wewe? Baadhi ya njia zifuatazo zimekuwa zikitumika na watu wengi:
1. Kunyamaza kimya na kukata mwasiliano bila kuongea chochote?
2. kumpigia simu mlengwa na kumwambia ukweli kuwa hauhitaji kuwa naye.
3. Kumtumia sms na kumweleza lililo moyoni mwako.
4. Kumfanyia vituko ili akate tamaa yeye mwenyewe.

Je njia hizo ni sahihi kutumiwa au huwa zinatumika kwa makosa? Tujadili kwa pamoja tuone ni njia ipi sahihi ya kutumia kufikisha ujumbe (ambao sio mzuri kwa anayeachwa). Au kama kuna njia nyingine basi be free kuiweka wazi kwa faida yetu wote.
FUNGUKA MWANADADA, FUNGUKA MWANAKAKA UWANJA NI WAKO!

Mwambie umechiti alafu jifanye unaomba msamaha!!
 
Kumwambia tu ukweli macho kwa macho ili mmalizane kimoja
Kamayupo mbali basi kwa njia ya mazungumzo ya cm
 
baada ya kumgegeda na kumchoka sasa hivi unatafuta mbinu za kumuacha ili uende kwa wengine,utazunguka sana lakin wako vile vile,hakuna tofauti

hapo kwenye hakuna tofauti umeniacha billionea , toa ufafanuzi hakuna tofauti kivipi?
 
mie naona easy way ni wakati unamgegeda kwa mara ya mwisho muombe kabang...akikataa ndio hapo naposepa.

akikupa je?

halafu huu ni ugaidi wa mapenzi kabisa..... unakuwaje mwigulu nchemba wa mapenzi?
 
Kumpa makavu live utamuumiza sana hasa kama na yeye amekupenda sana, kukaa kimya ghafla pia itamuumiza sana. Jaribu kufanya vituko kidogo kidogo kila siku ukivizidisha , yani ya jana iwe afadhali kuliko ya leo ili achoke mwenyewe mdogo mdogo hadi aachie ngazi. Hii itamfanya awe ameshaanza kujitayarisha kisaikolojia na hivyo maumivu hayatakuwa makali kama ambavyo ungempa makavu live.

Hii imetulia aisee though unaweza kuitumia kwa mtu ambae anajifanya kukudengulia hasa wakati kuna conflict ya hapa na pale na kwa kuwa huna uhakika kama ana mtu anamzuzua au ni mikwaruzano tu inabidi upige kimya kupima upepo though kwa upande mwingine inaumiza maana ukute muda huo unampenda ila yeye anakuwa haeleweki (kama ni wako mara nyingi anarudi)
 
Back
Top Bottom