Ni Njia Gani Sahihi ya Kumwambia Mpenzi Wako Kuwa Hauko Tayari Kuendelea Naye?

Ni Njia Gani Sahihi ya Kumwambia Mpenzi Wako Kuwa Hauko Tayari Kuendelea Naye?

Mnyime u house tu. Hawa wa kibongo wanavyopenda hii makitu atajiongeza 2.
 
Kuumizana 2 huko y umeingia in a ship in the first place wkt ujapanga future
 

cha shingo ndio kizuri
unampiga mtu kibuti hata kugeuka
akutazame anashindwa hahaaa!!

ha ha ha ha ha!!!!! ila kibuti kibuti tu , hata utumie mistari ya celine Dion au ya Westlife au utumie swagga za kijeshi haibadilishi maana na maumivu ya kibuti yana-remain constant.
 
ha ha ha ha ha!!!!! ila kibuti kibuti tu , hata utumie mistari ya celine Dion au ya Westlife au utumie swagga za kijeshi haibadilishi maana na maumivu ya kibuti yana-remain constant.

hahaaaa!!halohalo best inaonyesha
una uzoefu wa kupigwa vibuti eeeeee!!
 
Sema nae mwambie ukweli ili ajue chanzo ni nini in case kwenye uhusiano mwingine anaweza kujirekebisha.
 

hahaaaa!!halohalo best inaonyesha
una uzoefu wa kupigwa vibuti eeeeee!!

ha ha ha ha ha ha!!!!!!!!!!! ungejua ninavyoendeshaga mahusiano yangu , utajua sijaexperince vibuti kabisa , ila dah!!!!!
hebu niambi wewe umeshaliza wangapi kwenye maisha yako? ushawahi tishiwa kuuliwa wewe? au umeshawahi kutishiwa mtu anajiua?
 
Kama mlivyoanza..ila kuongea ndo mpango mzima!!!!!!!

Kama kuna sababu genuine sio kubwa ila kama ni maneno ya mujini ndo utaanza kutafuta njia!!!!!

Mfano; Nimeamua kumrudia muumba wangu kwa ibada na funga kwa hiyo siwezi kuendelea na zinaa!!!!!!!

Hapo nini mbaya!!!!!!

na iwe kweli umeamua kumrudia muumba sio useme hivyo ili tu muachane
by the way kama ulivosema unamueleza tu ya nini kuzunguka mbuyu
 
ha ha ha ha ha ha!!!!!!!!!!! ungejua ninavyoendeshaga mahusiano yangu , utajua sijaexperince vibuti kabisa , ila dah!!!!!
hebu niambi wewe umeshaliza wangapi kwenye maisha yako? ushawahi tishiwa kuuliwa wewe? au umeshawahi kutishiwa mtu anajiua?

dah!!sijaliza wengi ila sijawahi
kulizwa so hayo maumivu sijayasoma bado!
 
mwambie wazazi wamenitafutia mtu wa kwetu ukoo umenikabidhi kwake..so siwezi katalia wazee nitalaaniwa
 
Ila hatareeee ghafraaa mlio wa SMS kufungua.... Unakuta (....................) mtaua watoto wa wenzenu jamani!!!!!
 
lara 1 wapi hiyooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!! Maana hizi ndiyo zako za kuwatema huku ukiwapa kavu kavu kama ulivyonifanya mimi!!
 
Last edited by a moderator:
Kuachwa kuachwaaa...kuachwa ni shuguli pevuu ahh mbaya zaidi kwa yule uliyempenda..wewe unakonda yeye ananenepa kwa mawazo ohh kwa mawazo!

Kuachwa ni shughuli pevuuu, kuachwa ni maumivu jamanii, inafika hata kipindi hata marafiki wako wa karibuu wanakushauri kuhusu wewe na mpenzi wakoooo, unawaona wabaya....santee KHALID CHOKORAA
 
Fanya hivi:
- kama ulikuwa unampigia cm mara 10 kwa cku punguza piga mara 2 au Usipige kabisa
- akituma sms usijibu, akipiga pokea mwambie uko busy utapiga baadae, potezea
- akituma sms baby I LOVE U, mjibu Asante, baby I MISS U, jibu asante
- potezea outings zote but uwe unamwambia umebanwa na kazi
- akihitaji faragha mwambie umechoka kinoma hata dushee hainyanyuki even ikiona 0719
Yeye mwenyewe ataanza kujiengua bila usumbufu.
 
na iwe kweli umeamua kumrudia muumba sio useme hivyo ili tu muachane
by the way kama ulivosema unamueleza tu ya nini kuzunguka mbuyu

What I meant is that kama una sababu then ukisema ukweli inakufanya uwe huru na yeye aweza kukuelewa in a long run

sio kumfanyia mtu vituko halafu aje agundue kuwa ulikuwa na tiba mbad
dala...ndo utasikia ooonh kapigwa na vibaka ila hawajachukua kitu!!!!!!
 
Back
Top Bottom