Jamani ! haya mambo msiyachukulie juu juu sana kwan mini napenda kujiuliza wakati unamtokea ulitumwa au ? na kama ilikua ni hiyari yako sas nini kinakubadilisha nia na ghafra kuanza kutafuta sababu zinazofaa kuwaumiza watoto wa wenzenu ! . ushauri wa bure tujifunze kutofautisha love na like better ukakaa na mtu hata miaka mia usimtamkie km unampenda ili hata mkishindwana hatojutia but sisi tuliowengi the 1st day tu nime kupenda na mbwembwe nyingi unakuja kujua mapungufu yangu unasumbua watu eti ipi njia sahihi sio pouwa sahihi ni kutokua na mahusiano kabisa tusichoshane hapa