Ni njia ipi itasaidia kuiondoa CCM madaraka 2025 ? Na chama kipi kiandaliwe kuchukua dola ?

Ni njia ipi itasaidia kuiondoa CCM madaraka 2025 ? Na chama kipi kiandaliwe kuchukua dola ?

Wazalendo kwenye ccm ndio wanayoweza kuking'oa madarakani. Kitu cha kueleweka hapa mlengo wa wahuni ccm ndio tatizo. Wamemuua au kufaidika na kufa kiongozi mzalendo na kutumia katiba kuchukua uongozi wa dola. Ikiwa wazalendo ndani ya ccm watashindwa kukidhibiti tena chama wakitoka na kuunda chama wanaweza kuing'oa ccm ya akina samia, nape makamba, rostam na wapigaji. Hawa kina samia makamba et al wanaweza kabisa kuiuza nchi.

Dawa yao ni hii
1687502260128.jpeg
 
Ni ngumu, hivi sasa wanayafanya maisha kuwa magumu sana ili kipindi cha uchaguzi wawapooze kwa kanga vitenge kofia na tshirt, kimtindo 2025 wataongeza dau kuwasahaulisha dhiki zilizopo
Hatari sana
 
Habari jf ,ni wazi kwamba tunahitaji mabadiliko nikiwa nna maana kuiondoa CCM madarakani ugumu unakuja ni njia zipi ? Na ni chama kipi ? Kiuhalisia kuendelea kuitegemea CHADEMA ni upotevu wa muda maana kina watu wengi walio pale kimkakati ukianzia Mwenyekiti .

NCCR Mageuzi ni better option ,Nguvu kubwa ikiwekwa katika Chama hiki hilo linawezekana -tatizo Chama hiki ni nusu mfu binafsi nnahitaji kadi yao ila hata sijui ntapata wapi .

Swali ni njia zipi ?

Je tudai kwa nguvu katiba mpya tupate tume huru ?

Je tutumie nguvu kubwa kila mtu atoe elimu ili watanzania wengi waikatae CCM na kazi zake ?

Je uwekwe mgomo baridi wa kutohudhuria au kutokufuatilia tukio lolote linalofanywa na CCM ?

Je tuhamasishane kwenda kupiga kura kwa wingi ?

Je tufunge na tumuombe Mungu aingilie kati ?​
Ni wakati wa CHADEMA!
 
Habari jf ,ni wazi kwamba tunahitaji mabadiliko nikiwa nna maana kuiondoa CCM madarakani ugumu unakuja ni njia zipi ? Na ni chama kipi ? Kiuhalisia kuendelea kuitegemea CHADEMA ni upotevu wa muda maana kina watu wengi walio pale kimkakati ukianzia Mwenyekiti .

NCCR Mageuzi ni better option ,Nguvu kubwa ikiwekwa katika Chama hiki hilo linawezekana -tatizo Chama hiki ni nusu mfu binafsi nnahitaji kadi yao ila hata sijui ntapata wapi .

Swali ni njia zipi ?

Je tudai kwa nguvu katiba mpya tupate tume huru ?

Je tutumie nguvu kubwa kila mtu atoe elimu ili watanzania wengi waikatae CCM na kazi zake ?

Je uwekwe mgomo baridi wa kutohudhuria au kutokufuatilia tukio lolote linalofanywa na CCM ?

Je tuhamasishane kwenda kupiga kura kwa wingi ?

Je tufunge na tumuombe Mungu aingilie kati ?​
 

Attachments

  • C46701D5-1C68-407F-970B-B438A15DE930.jpeg
    C46701D5-1C68-407F-970B-B438A15DE930.jpeg
    134.4 KB · Views: 4
Habari jf ,ni wazi kwamba tunahitaji mabadiliko nikiwa nna maana kuiondoa CCM madarakani ugumu unakuja ni njia zipi ? Na ni chama kipi ? Kiuhalisia kuendelea kuitegemea CHADEMA ni upotevu wa muda maana kina watu wengi walio pale kimkakati ukianzia Mwenyekiti .

NCCR Mageuzi ni better option ,Nguvu kubwa ikiwekwa katika Chama hiki hilo linawezekana -tatizo Chama hiki ni nusu mfu binafsi nnahitaji kadi yao ila hata sijui ntapata wapi .

Swali ni njia zipi ?

Je tudai kwa nguvu katiba mpya tupate tume huru ?

Je tutumie nguvu kubwa kila mtu atoe elimu ili watanzania wengi waikatae CCM na kazi zake ?

Je uwekwe mgomo baridi wa kutohudhuria au kutokufuatilia tukio lolote linalofanywa na CCM ?

Je tuhamasishane kwenda kupiga kura kwa wingi ?

Je tufunge na tumuombe Mungu aingilie kati ?​
UMOJA PARTY "CAUCUS"
 
Kuitoa ccm madarakani hatuwezi, hilo lazima tuambiane ukweli na tulikubali baada ya hapo ndio tuangalie yapi tunayoweza kufanya.

Kuna vitu vyengine vinatushinda na wala havihitaji kufikiria kuitoa ccm madarakani sasa ndio tutaweza kuitoa ccm madarakani?

Hta kama tukilala na kuamka tukakuta ccm haipo madarakani na kuwepo chama chengine basi nadhani chamgamoto zitakuwa zilezile tu kwa jinsi ambavyo sie wenyewe tulivyo.
 
Kati ya wagombea wa upinzani wote na wa chama tawala, Mimi namuelewa Hashim Rungwe TU mzee wa mbweche, huyu anajali matumbo yetu, wengine wote wanajali matumbo yao.
 
Wazalendo kwenye ccm ndio wanayoweza kuking'oa madarakani. Kitu cha kueleweka hapa mlengo wa wahuni ccm ndio tatizo. Wamemuua au kufaidika na kufa kiongozi mzalendo na kutumia katiba kuchukua uongozi wa dola. Ikiwa wazalendo ndani ya ccm watashindwa kukidhibiti tena chama wakitoka na kuunda chama wanaweza kuing'oa ccm ya akina samia, nape makamba, rostam na wapigaji. Hawa kina samia makamba et al wanaweza kabisa kuiuza nchi.
Kuunda chama mara ngapi tena?
Si walianzisha UMOJA PARTY?!
Tatizo ni kuwa ccm na watu wake wote hawakubaliki. Labda waendelee kuiba kura tu
 
Back
Top Bottom