Ni njia zipi hutumika ili mtu agombee ubunge hili nikawatumikie wananchi wangu katika jimbo langu??

Ni njia zipi hutumika ili mtu agombee ubunge hili nikawatumikie wananchi wangu katika jimbo langu??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Naomba mwongozo jinsi ya kuingia katika mbio za kuwatumikia wananchi wajimbo langu baada yakuona mbunge aliyekuwepo hana alichokifanya,Je ni njia gani za wazi nitumie ili niweze kuingia katika Kinyang'anyiro hicho??
  • Kwa sina pesa za kuhonga wajumbe mimi nina nia ya dhati ya kutaka kugombea na kuwakomboa wananchi wangu!
  • Mimi nimwanachama ahi wa CHAMA CHA MAPINDUZI
  • Je ni sahihi kutafuta nafasi ya uwakilishi Bungeni kama huna pesa??
Naomba wenye mawazo mzuri wanipe ushauri asante.
Natanguliza shukran msinipopoe mimi nipo serious!
 
Sasa mkuu wewe mwenye jinsi harafu hujui jinsi ya kugombea Sasa unatakaje kwenda kuwatumika wananchi kwenye kitu usichokijua?
 
CCM ili upate nafasi ya Ubunge inatakiwa uwe CHAWA pro max wa Mama Kizimkazi, umsifie hata akiwa anafanya vitu vya hovyo, kama siyo hivyo basi uwe na pesa
Naomba mwongozo jinsi ya kuingia katika mbio za kuwatumikia wananchi wajimbo langu baada yakuona mbunge aliyekuwepo hana alichokifanya,Je ni njia gani za wazi nitumie ili niweze kuingia katika Kinyang'anyiro hicho??
  • Kwa sina pesa za kuhonga wajumbe mimi nina nia ya dhati ya kutaka kugombea na kuwakomboa wananchi wangu!
  • Mimi nimwanachama ahi wa CHAMA CHA MAPINDUZI
  • Je ni sahihi kutafuta nafasi ya uwakilishi Bungeni kama huna pesa??
Naomba wenye mawazo mzuri wanipe ushauri asante.
Natanguliza shukran msinipopoe mimi nipo serious!
 
Naomba mwongozo jinsi ya kuingia katika mbio za kuwatumikia wananchi wajimbo langu baada yakuona mbunge aliyekuwepo hana alichokifanya,Je ni njia gani za wazi nitumie ili niweze kuingia katika Kinyang'anyiro hicho??
  • Kwa sina pesa za kuhonga wajumbe mimi nina nia ya dhati ya kutaka kugombea na kuwakomboa wananchi wangu!
  • Mimi nimwanachama ahi wa CHAMA CHA MAPINDUZI
  • Je ni sahihi kutafuta nafasi ya uwakilishi Bungeni kama huna pesa??
Naomba wenye mawazo mzuri wanipe ushauri asante.
Natanguliza shukran msinipopoe mimi nipo serious!
Kuhonga, kuloga na kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola.
 
Yafaa uwe na kama million 200 na kama unataka kumvua mbunge ambaye ni waziri au naibu basi andaa million 400 na zaidi
 
Sasa mkuu wewe mwenye jinsi harafu hujui jinsi ya kugombea Sasa unatakaje kwenda kuwatumika wananchi kwenye kitu usichokijua?
Context umeielewa mkuu nataka njia!inayotumika ukifika huko,ila sehemu ya bullet nimeelezea kwa uzuri!
 
Back
Top Bottom