Ni nuksi Kwa taswira ya mtu kuonekana kwenye Gari lililo beba mwili wa marehemu

Ni nuksi Kwa taswira ya mtu kuonekana kwenye Gari lililo beba mwili wa marehemu

Ndio maana mimi nina nuksi asee maana niliwahi kuishi jirani na funeral home nahisi nilishajitizama sana kwenye vioo vya yale magari.

Ngoja nimpigie mganga wangu aniepe utaratibu.
 
Mi nasuggest magari yanayobeba maiti yasiwe na vioo. Mbao itafaa

Ndio nilichokua nawaza hapa kwamba kama kweli, narudia tena, kama ni kweli si vizuri taswira ya mtu kuonekana kwenye hizo gari, hata rangi wapake zile zisizong'aa na isiwe na vioo kabisa.

Lakini tungeshapoteza watu wengi sana.

Sasa na yale majeneza yanayomeremeta hadi unaona taswira na mengine wanaweka kioo inakuaje? Hapo si watu wangekua wanadondoka kabisa hapo hapo ukishajiona kwenye kioo cha jeneza?
 
Wataalamu wa mambo wanasema ni nuksi kwa taswira/image ya mtu kuwa reflected kwenye kioo au sehemu yoyote ya Gari lililo beba mwili wa marehemu " funeral car"

Suluhisho Ni Nini?

Kufanya maombi mazito kama Ni mkristo...

Kufanya Dua Na visomo vizito kama Ni muislamu

Kufanya tambiko Zito la kimila Kwa wewe unae amini katika Mila.

Au kufanya vyote Kwa pamoja.

Kinga?

Kaa Mbali Na Gari lililo beba mwili wa marehemu...

Shida Ni pale inapotokea Kwa Bahati mbaya Yani ulikuwa unatembea barabarani au unaendesha Gari halafu buu baa Gari Hilo hapo pembeni umepiga jicho kwenye Gari Na taswira yako imekuwa relfected either kwenye kioo au kwenye Gari... That is a very bad omen. Linapotokea Jambo Hilo unashauriwa kufanya Moja WaPo Kati ya mambo niliyo yataja hapo juu au vyote kwa pamoja...



N.b: hiyo picha Ni kwenye msiba wa Hanspope.

View attachment 1937747
Mtu kama huyu kwanini asile ban? upuuzi mtupu
 
Kwa ligha nyingine mleta mada anashauri maiti zibebwe kwenye kontena, huwa haina reflection ile 😁😁

Ila hii kitu inhekuwa ni kweli basi misiba kama ya mzee Mengi, Ruge n.k ingeondoka na wengi sana, maana ile nyomi iliyojipanga barabarani na gari la maiti kupita huko
 
Ndio nilichokua nawaza hapa kwamba kama kweli, narudia tena, kama ni kweli si vizuri taswira ya mtu kuonekana kwenye hizo gari, hata rangi wapake zile zisizong'aa na isiwe na vioo kabisa.

Lakini tungeshapoteza watu wengi sana.

Sasa na yale majeneza yanayomeremeta hadi unaona taswira na mengine wanaweka kioo inakuaje? Hapo si watu wangekua wanadondoka kabisa hapo hapo ukishajiona kwenye kioo cha jeneza?
Huyu mwenzetu kavurugwa
 
Kwa ligha nyingine mleta mada anashauri maiti zibebwe kwenye kontena, huwa haina reflection ile 😁😁

Ila hii kitu inhekuwa ni kweli basi misiba kama ya mzee Mengi, Ruge n.k ingeondoka na wengi sana, maana ile nyomi iliyojipanga barabarani na gari la maiti kupita huko
Wabongo Kiswahili Ni tatizo kwenu nimesema Ni " nuksi" sijasema kwamba ukijiona Tu unakufa papo Kwa papo..
 
Wataalamu wa mambo wanasema ni nuksi kwa taswira/image ya mtu kuwa reflected kwenye kioo au sehemu yoyote ya Gari lililobeba mwili wa marehemu " funeral car"

Suluhisho ni nini?

Kufanya maombi mazito kama ni mkristo...

Kufanya Dua Na visomo vizito kama Ni muislamu

Kufanya tambiko Zito la kimila Kwa wewe unayeamini katika Mila.

Au kufanya vyote Kwa pamoja.

Kinga?

Kaa Mbali Na Gari lililobeba mwili wa marehemu...

Shida Ni pale inapotokea Kwa Bahati mbaya Yani ulikuwa unatembea barabarani au unaendesha Gari halafu buu baa Gari Hilo hapo pembeni umepiga jicho kwenye Gari Na taswira yako imekuwa relfected either kwenye kioo au kwenye Gari... That is a very bad omen. Linapotokea Jambo Hilo unashauriwa kufanya Moja WaPo Kati ya mambo niliyo yataja hapo juu au vyote kwa pamoja...



N.b: hiyo picha Ni kwenye msiba wa Hanspope.

View attachment 1937747
Kwa hiyo gri walikimbie?
UJinga ni tatizo mojwapo la taifa hili, nyerere alishsema..
 
Ndio nilichokua nawaza hapa kwamba kama kweli, narudia tena, kama ni kweli si vizuri taswira ya mtu kuonekana kwenye hizo gari, hata rangi wapake zile zisizong'aa na isiwe na vioo kabisa.

Lakini tungeshapoteza watu wengi sana.

Sasa na yale majeneza yanayomeremeta hadi unaona taswira na mengine wanaweka kioo inakuaje? Hapo si watu wangekua wanadondoka kabisa hapo hapo ukishajiona kwenye kioo cha jeneza?
Kiswahili kigumu mzee sijasema taswira yako ikiwa reflected una kufa papo hapo nimesema Ni nuksi kwa taswira ya mtu kuwa reflected kwenye Gari lililo beba mwili wa marehemu.

Wabongo wengi Wana nuksi Shahidi makanisa ya mitume Na manabii / maostaz Na kwenye vilinge vya waganga....

Acheni ubishi wa kitoto nyie
 
Kiswahili kigumu mzee sijasema taswira yako ikiwa reflected Ni nuksi.. sijasema unakufa hapo hapo. Kufa Kila mtu atakufa Kwa wakati wake ila nuksi utaupata Tu utake usitake..

Wabongo wengi Wana nuksi Shahidi makanisa ya mitume Na manabii / maostaz Na kwenye vilinge vya waganga....

Acheni ubishi wa kitoto nyie

Ndio ueleze vizuri watu wakuelewe sasa! Kama unachanganya habari na vitu havieleweki si ndio nuksi zenyewe hizo?

Unaposema taswira kuonekana unamaanisha nini? Tuanzie hapo kwanza.

Nimerejea kauli yako ikiwa reflection kwenye gari inaleta mushkeli, ikiwa reflected kwenye jeneza si ni zaidi ya nuksi?
 
Wataalamu wa mambo wanasema ni nuksi kwa taswira/image ya mtu kuwa reflected kwenye kioo au sehemu yoyote ya Gari lililobeba mwili wa marehemu " funeral car"

Suluhisho ni nini?

Kufanya maombi mazito kama ni mkristo...

Kufanya Dua Na visomo vizito kama Ni muislamu

Kufanya tambiko Zito la kimila Kwa wewe unayeamini katika Mila.

Au kufanya vyote Kwa pamoja.

Kinga?

Kaa Mbali Na Gari lililobeba mwili wa marehemu...

Shida Ni pale inapotokea Kwa Bahati mbaya Yani ulikuwa unatembea barabarani au unaendesha Gari halafu buu baa Gari Hilo hapo pembeni umepiga jicho kwenye Gari Na taswira yako imekuwa relfected either kwenye kioo au kwenye Gari... That is a very bad omen. Linapotokea Jambo Hilo unashauriwa kufanya Moja WaPo Kati ya mambo niliyo yataja hapo juu au vyote kwa pamoja...



N.b: hiyo picha Ni kwenye msiba wa Hanspope.

View attachment 1937747
Kwani huyo aliyevaa ushungi kwenye hiyo picha inayoreflect kwenye kioo ni Chifu Hangaya?

Ondowa hofu, kuna viumbe wenzetu wenye maono wameoteshwa wa awamu ya pili ataendelea kudunda then wa awamu ya nne atatangulia kabla ya wa awamu ya pili.

Chifu Hangaya yupo sana tu
 
Ndio ueleze vizuri watu wakuelewe sasa! Kama unachanganya habari na vitu havieleweki si ndio nuksi zenyewe hizo?

Unaposema taswira kuonekana unamaanisha nini? Tuanzie hapo kwanza.

Nimerejea kauli yako ikiwa reflection kwenye gari inaleta mushkeli, ikiwa reflected kwenye jeneza si ni zaidi ya nuksi?
Elewa ulivyo elewa mkuu.
 
Kwani huyo aliyevaa ushungi kwenye hiyo picha inayoreflect kwenye kioo ni Chifu Hangaya?

Ondowa hofu, kuna viumbe wenzetu wenye maono wameoteshwa wa awamu ya pili ataendelea kudunda then wa awamu ya nne atatangulia kabla ya wa awamu ya pili.

Chifu Hangaya yupo sana tu
Wewe Ni kichaa.. hapo Kuna picha ya mjukuu wa Hanspope huyo chief ametoka wapi?
 
Wabongo Kiswahili Ni tatizo kwenu nimesema Ni " nuksi" sijasema kwamba ukijiona Tu unakufa papo Kwa papo..

Kwani wapi mimi nami nimeandika habari ya kufa? au neno kuondoka na wengi kwako umelitafsiri kwa upande mmoja tu?
 
Ndio nilichokua nawaza hapa kwamba kama kweli, narudia tena, kama ni kweli si vizuri taswira ya mtu kuonekana kwenye hizo gari, hata rangi wapake zile zisizong'aa na isiwe na vioo kabisa.

Lakini tungeshapoteza watu wengi sana.

Sasa na yale majeneza yanayomeremeta hadi unaona taswira na mengine wanaweka kioo inakuaje? Hapo si watu wangekua wanadondoka kabisa hapo hapo ukishajiona kwenye kioo cha jeneza?
Sijasema unakufa hapo hapo nimesema Ni nuksi.. Kiswahili kigumu Sana Kwa watozonia
 
Back
Top Bottom