Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mi nasuggest magari yanayobeba maiti yasiwe na vioo. Mbao itafaa
Mtu kama huyu kwanini asile ban? upuuzi mtupuWataalamu wa mambo wanasema ni nuksi kwa taswira/image ya mtu kuwa reflected kwenye kioo au sehemu yoyote ya Gari lililo beba mwili wa marehemu " funeral car"
Suluhisho Ni Nini?
Kufanya maombi mazito kama Ni mkristo...
Kufanya Dua Na visomo vizito kama Ni muislamu
Kufanya tambiko Zito la kimila Kwa wewe unae amini katika Mila.
Au kufanya vyote Kwa pamoja.
Kinga?
Kaa Mbali Na Gari lililo beba mwili wa marehemu...
Shida Ni pale inapotokea Kwa Bahati mbaya Yani ulikuwa unatembea barabarani au unaendesha Gari halafu buu baa Gari Hilo hapo pembeni umepiga jicho kwenye Gari Na taswira yako imekuwa relfected either kwenye kioo au kwenye Gari... That is a very bad omen. Linapotokea Jambo Hilo unashauriwa kufanya Moja WaPo Kati ya mambo niliyo yataja hapo juu au vyote kwa pamoja...
N.b: hiyo picha Ni kwenye msiba wa Hanspope.
View attachment 1937747
Huyu mwenzetu kavurugwaNdio nilichokua nawaza hapa kwamba kama kweli, narudia tena, kama ni kweli si vizuri taswira ya mtu kuonekana kwenye hizo gari, hata rangi wapake zile zisizong'aa na isiwe na vioo kabisa.
Lakini tungeshapoteza watu wengi sana.
Sasa na yale majeneza yanayomeremeta hadi unaona taswira na mengine wanaweka kioo inakuaje? Hapo si watu wangekua wanadondoka kabisa hapo hapo ukishajiona kwenye kioo cha jeneza?
halafu hiyo mbao isipigwe msasa wala polishi. maana iking'aa tu, tutajionaMi nasuggest magari yanayobeba maiti yasiwe na vioo. Mbao itafaa
Wabongo Kiswahili Ni tatizo kwenu nimesema Ni " nuksi" sijasema kwamba ukijiona Tu unakufa papo Kwa papo..Kwa ligha nyingine mleta mada anashauri maiti zibebwe kwenye kontena, huwa haina reflection ile 😁😁
Ila hii kitu inhekuwa ni kweli basi misiba kama ya mzee Mengi, Ruge n.k ingeondoka na wengi sana, maana ile nyomi iliyojipanga barabarani na gari la maiti kupita huko
Kwa hiyo gri walikimbie?Wataalamu wa mambo wanasema ni nuksi kwa taswira/image ya mtu kuwa reflected kwenye kioo au sehemu yoyote ya Gari lililobeba mwili wa marehemu " funeral car"
Suluhisho ni nini?
Kufanya maombi mazito kama ni mkristo...
Kufanya Dua Na visomo vizito kama Ni muislamu
Kufanya tambiko Zito la kimila Kwa wewe unayeamini katika Mila.
Au kufanya vyote Kwa pamoja.
Kinga?
Kaa Mbali Na Gari lililobeba mwili wa marehemu...
Shida Ni pale inapotokea Kwa Bahati mbaya Yani ulikuwa unatembea barabarani au unaendesha Gari halafu buu baa Gari Hilo hapo pembeni umepiga jicho kwenye Gari Na taswira yako imekuwa relfected either kwenye kioo au kwenye Gari... That is a very bad omen. Linapotokea Jambo Hilo unashauriwa kufanya Moja WaPo Kati ya mambo niliyo yataja hapo juu au vyote kwa pamoja...
N.b: hiyo picha Ni kwenye msiba wa Hanspope.
View attachment 1937747
Kiswahili kigumu mzee sijasema taswira yako ikiwa reflected una kufa papo hapo nimesema Ni nuksi kwa taswira ya mtu kuwa reflected kwenye Gari lililo beba mwili wa marehemu.Ndio nilichokua nawaza hapa kwamba kama kweli, narudia tena, kama ni kweli si vizuri taswira ya mtu kuonekana kwenye hizo gari, hata rangi wapake zile zisizong'aa na isiwe na vioo kabisa.
Lakini tungeshapoteza watu wengi sana.
Sasa na yale majeneza yanayomeremeta hadi unaona taswira na mengine wanaweka kioo inakuaje? Hapo si watu wangekua wanadondoka kabisa hapo hapo ukishajiona kwenye kioo cha jeneza?
Kiswahili kigumu mzee sijasema taswira yako ikiwa reflected Ni nuksi.. sijasema unakufa hapo hapo. Kufa Kila mtu atakufa Kwa wakati wake ila nuksi utaupata Tu utake usitake..
Wabongo wengi Wana nuksi Shahidi makanisa ya mitume Na manabii / maostaz Na kwenye vilinge vya waganga....
Acheni ubishi wa kitoto nyie
Kwani huyo aliyevaa ushungi kwenye hiyo picha inayoreflect kwenye kioo ni Chifu Hangaya?Wataalamu wa mambo wanasema ni nuksi kwa taswira/image ya mtu kuwa reflected kwenye kioo au sehemu yoyote ya Gari lililobeba mwili wa marehemu " funeral car"
Suluhisho ni nini?
Kufanya maombi mazito kama ni mkristo...
Kufanya Dua Na visomo vizito kama Ni muislamu
Kufanya tambiko Zito la kimila Kwa wewe unayeamini katika Mila.
Au kufanya vyote Kwa pamoja.
Kinga?
Kaa Mbali Na Gari lililobeba mwili wa marehemu...
Shida Ni pale inapotokea Kwa Bahati mbaya Yani ulikuwa unatembea barabarani au unaendesha Gari halafu buu baa Gari Hilo hapo pembeni umepiga jicho kwenye Gari Na taswira yako imekuwa relfected either kwenye kioo au kwenye Gari... That is a very bad omen. Linapotokea Jambo Hilo unashauriwa kufanya Moja WaPo Kati ya mambo niliyo yataja hapo juu au vyote kwa pamoja...
N.b: hiyo picha Ni kwenye msiba wa Hanspope.
View attachment 1937747
Elewa ulivyo elewa mkuu.Ndio ueleze vizuri watu wakuelewe sasa! Kama unachanganya habari na vitu havieleweki si ndio nuksi zenyewe hizo?
Unaposema taswira kuonekana unamaanisha nini? Tuanzie hapo kwanza.
Nimerejea kauli yako ikiwa reflection kwenye gari inaleta mushkeli, ikiwa reflected kwenye jeneza si ni zaidi ya nuksi?
Wewe Ni kichaa.. hapo Kuna picha ya mjukuu wa Hanspope huyo chief ametoka wapi?Kwani huyo aliyevaa ushungi kwenye hiyo picha inayoreflect kwenye kioo ni Chifu Hangaya?
Ondowa hofu, kuna viumbe wenzetu wenye maono wameoteshwa wa awamu ya pili ataendelea kudunda then wa awamu ya nne atatangulia kabla ya wa awamu ya pili.
Chifu Hangaya yupo sana tu
Kichaa ni mama yako mzazi, kipofu kabisa pimbi wewe.Wewe Ni kichaa.. hapo Kuna picha ya mjukuu wa Hanspope huyo chief ametoka wapi?
Wabongo Kiswahili Ni tatizo kwenu nimesema Ni " nuksi" sijasema kwamba ukijiona Tu unakufa papo Kwa papo..
Sijasema unakufa hapo hapo nimesema Ni nuksi.. Kiswahili kigumu Sana Kwa watozoniaNdio nilichokua nawaza hapa kwamba kama kweli, narudia tena, kama ni kweli si vizuri taswira ya mtu kuonekana kwenye hizo gari, hata rangi wapake zile zisizong'aa na isiwe na vioo kabisa.
Lakini tungeshapoteza watu wengi sana.
Sasa na yale majeneza yanayomeremeta hadi unaona taswira na mengine wanaweka kioo inakuaje? Hapo si watu wangekua wanadondoka kabisa hapo hapo ukishajiona kwenye kioo cha jeneza?