Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sugu ndo ameifanya hip hop bongo ikuweukitoa wimbo wa Haki,Chini ya 18 na Hold on labda kidogo Hayakuwa Mapenzi nyimbo zote zilizobaki za sugu ni kelele tu...na ukizungumzia nyimbo za harakati Sugu agusi hata robo ya Roma Mkatoliki tofauti yao itakuwa sugu alianza kuchana zamani basi
Noma sanaSistaduu anapokugeuza wewe ndio dingi
Mapenzi kidogo mizinga mingi
Leo atataka versace na mini skirt
Kesho atataka passport
Keshokutwa atataka tiketi aende London au America
Si bora nifanye part japo sio pasaka
Sugu alituonya kitambo sana kuhusu wadangajiSistaduu anapokugeuza wewe ndio dingi
Mapenzi kidogo mizinga mingi
Leo atataka versace na mini skirt
Kesho atataka passport
Keshokutwa atataka tiketi aende London au America
Si bora nifanye part japo sio pasaka
Umesahau wimbo unaitwa "Hali halisi" wa Sugu ni nomaukitoa wimbo wa Haki,Chini ya 18 na Hold on labda kidogo Hayakuwa Mapenzi nyimbo zote zilizobaki za sugu ni kelele tu...na ukizungumzia nyimbo za harakati Sugu agusi hata robo ya Roma Mkatoliki tofauti yao itakuwa sugu alianza kuchana zamani basi
Hatar sana wangu umenikumbusha mbali mno sugu sio wa mchezomambo ya fedha
Kumbe hata huo wimbo hujawah kuusikia halafu unamtoa ktk malijendar wa bongo daaa kweli we badoNgoja niitafute.
Aah si bora nitoe sadakaNoma sana
Wewe umezaliwa mwaka 2003 utamjulia wapi Sugu?Sugu hana mziki wa maana wowote anaharishaharisha kwenye beat tu.
Umenikumbusha mbali Sana Duh..!Napenda nyimbo ambazo ni "sauti ya moyo".....kwa Sugu ni wimbo wa yale hayakuwa mapenzi, kwa prof Jay ni wimbo kama jina langu na mtu kama Solo Thang ni wimbo wa kilio changu
Yaani umegusa penyewe kabisa mkuu!Nadhani mtoa post hamujui 2 proud Bali anamjua sugu Tu, uliza wimbo unaitwa chini ya 18, siku nikianguka, mikononi kwa polisi, far dsm, deiwaka, nje ya bongo, wapi tunakwenda, unaweza kubeza kazi za ii proud au umezaliwa Na kumjua akiwa anaitwa sugu tayari?
Uko sawa kabisa mkuu...tena ingekuwa mwisho wa mwezi ningekutumia vocha Kwa point nzuri sana. [emoji122] [emoji122] [emoji122]Mleta thread naamini humjui vizuri Sugu, pengine sababu ya umri wako, nikipata muda nitakuwekea albamu zake zote hapa.
Kuhusu Prof Jay, sikiliza nyimbo zake zote yeye anasimulia hadithi na matukio.
Wengine hata mama zao walikuwa bado wako form 2[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Wengi hawamjui sugu,wakati sugu anaimba walikuwa watoto wadogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo shida ya mliozaliwa 2010. Kabka hajaitwa Sugu, huyu jamaa alikuwa anaitwa 2 Proud. Baadae akajiita Mr. II. Sikikiza wumbo wake unaitwa Barua kwa Rais, Mikononi Mwa Polisi ama Siku Nikianguka. Utajua ni mtu wa namna ganiSugu hana mziki wa maana wowote anaharishaharisha kwenye beat tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo shida ya mliozaliwa 2010. Kabla hajaitwa Sugu, huyu jamaa alikuwa anaitwa 2 Proud. Baadae akajiita Mr. II. Sikikiza wumbo wake unaitwa Barua kwa Rais, Mikononi Mwa Polisi ama Siku Nikianguka. Utajua ni mtu wa namna ganiSugu hana mziki wa maana wowote anaharishaharisha kwenye beat tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo shida ya mliozaliwa 2010. Kabla hajaitwa Sugu, huyu jamaa alikuwa anaitwa 2 Proud. Baadae akajiita Mr. II. Sikikiza wumbo wake unaitwa Barua kwa Rais, Mikononi Mwa Polisi ama Siku Nikianguka. Utajua ni mtu wa namna ganiSugu hana mziki wa maana wowote anaharishaharisha kwenye beat tu.
Tutazi upload hapa muda sio mrefuYah bila kumsahau Afande Sele...aliimba sana kwenye albam za Sugu kabla hajatoka...
Sele ana wimbo wake "Afande anasema""
Kimya kimya afande anasema wote kimya...
Kimya kimya afande anasema...
Sijui hizi nyimbo nazipata wapi aisee!!