Babalao2030
Member
- Aug 23, 2017
- 24
- 14
day worker nadhani sugu alitaka kumaanisha. napita tu mkuuNa ndiye chanzo cha neno deiwaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
day worker nadhani sugu alitaka kumaanisha. napita tu mkuuNa ndiye chanzo cha neno deiwaka
Tafta. HOLD ON BY SUGU
HAYAKUA MAPENZI BY SUGU
Mungu akusaidieSugu hana mziki wa maana wowote anaharishaharisha kwenye beat tu.
Duuu utakua umezaliwa 2000s aiseeSugu alikuwa anarap au alikuwa anapiga kelele? Heshima ya ukongwe na jina la baba ake Mbilinyi ndo lilimbeba ila kuimba Sugu hamna kitu!
Kwa percent nitampa 17 ya Prof J!!!
Kidooogo ungemfananisha na Baba Levo!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri sana mkuuUmewahi kumiliki album yoyote ya Sugu? Ipi!
Haujui unachokiongea mkuuSugu anafichwa hata na "Fanani" wa HBC enzi hizo.
Hebu thibitisha kuwa sijui ninachokiongea.Swali zuri sana mkuu
Hawa watoto wa CD na flash watajuaje mambo ya cassette?
Sent using Jamii Forums mobile app
umeamua tu kuchagua upande kwa kuwa 'umeona' kaweka source..hujaingia ndani ya hoja yake,pitia post moj baada ya ingine uone alivyo kigeugeuOpinion yako iko irrelevant mkuu, unaeleweshwa elewa umepewa hadi sources zakuweza pata habari zaidi, Mwinyi alikuwa anafanya maagizo tu ya SAPs. Nyerere alisema hawezi geuka jiwe ikabidi aachie madaraka bila kupenda
Umemuelewesha vizuri.dah sugu ndio umemshusha hadi kulimlinganisha na roma? haya bana inawezekana wewe umezaliwa umekuta sugu kaacha mziki
Nakukubali. Prof Jay anamtaja SUGU kama mentor wake, waache watoto wawashabikie watoto wenzao!bongo dar es salaam ni nyimbo ambayo pro j aliiboresha kutoka kwa sugu pia sugu alianzisha music wa bongo flavour na kufanya vijana wengi kufanya mziki huu lakini prefesa j alifanya mapinduzi ya music huu , kwaiyo kusema nani ni bora sio sawa hapo kila mtu alifanya part yake
Unamzungumzia Mbilinyi gani?Sugu alikuwa anarap au alikuwa anapiga kelele? Heshima ya ukongwe na jina la baba ake Mbilinyi ndo lilimbeba ila kuimba Sugu hamna kitu!
Kwa percent nitampa 17 ya Prof J!!!
Kidooogo ungemfananisha na Baba Levo!!!
Sent using Jamii Forums mobile app