A
financial institution is an establishment that conducts
financial transactions such as investments, loans and
deposits. (Government revenue deposits) Kazi ya tra ni kusimamia mapato ya serikali kukusanya fedha ,kurudisha refund ,kukadilia mapato zote hizo ni financial transaction hivyo yenyewe ni Financial institution ,aidha tra ilianza operation
July 1996 na si 1997 ,mimi nikiwa muajiriwa wao ,bwana mdogo.
Aidha kazi yangu ya pili ni kukuthibitishia TRA ilitokana na SAP's Nanukuu taarifa ya KEPA ya Finland ya mwaka 1998 ikiisifu Tanzania nina quote '
'' Since 1986, fiscal policy and budgetary management have aimed at improving the budgetary situation. Aim was to create conditions in which tax and non-tax sources of revenue could fully finance the government’s recurrent projects as well as part of the development budget. The
reform process entailed increased efforts concerning expenditure controls and tax administration, including the establishment of the Tanzania Revenue Authority (TRA). Following these measures, budgetary performance improved slightly. Fiscal deficit related to GDP declined from 10.6per cent during 1981-1985 to 3.7per cent during 1994-99.''
KUISOMA REPORT YOTE HII HAPA
https://www.kepa.fi/tiedostot/julkaisut/world-bank-and-structural-adjustment.pdf
Kaka unamengi ya kujifunza kwanza unapozungumzia baadhi ya mambo uliyoyasoma sisi tuliyaishi,anyway ndo maana unaamini prof jay ni mkali kuzidi Mr II.