Mkuu naomba ufahamu kuwa nina track zoote za tokea zamani za 2 proud na nimemfuatilia tokea kitambo kipindi hicho na za Prof JNadhani mtoa post hamujui 2 proud Bali anamjua sugu Tu, uliza wimbo unaitwa chini ya 18, siku nikianguka, mikononi kwa polisi, far dsm, deiwaka, nje ya bongo, wapi tunakwenda, unaweza kubeza kazi za ii proud au umezaliwa Na kumjua akiwa anaitwa sugu tayari?
Kwahiyo kumbe unamsifia kwa hayo na sio kazi yake kimuziki.Ukimuona mtu yupo juu basi mheshimu. Ukiona mtu kakubalika katika jamii tambua ana kitu kinachomfanya akubalike. Wewe waweza kutokiona lakini jamii ikakiona.
SUGU NDIO JABARI HASA LA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA. MCHANGO WAKE upo wazi na Mfano ulio bayana ni jinsi alivyowaonyesha njia ya kwenda bungeni wana "Bongo fleva".
Mambo ya fedha ni nomamambo ya fedha
So who was the best rapper?They're both Legend's of bongo flava... Wote nawapa heshima.. But Sugu mpeni heshima yake kubwa... Kama waanzilishi Na watu wa mwanzoni kusimika bendera ya mziki wetu wa bongo... Kipindi ambacho kusikiliza bongo flavor ni uhuni na jamii nzima was very negative but these people did their best... Much respect leo wametengeneza Ajira kwa kina Roma na wengineo.. So sio Pouwaaa pia kuwapima na vijana wa sasa.. Wapeni heshima zao whether they did it ryt or not
Ile ni hadithi iliyoelezewa kwa mfumo wa Rap.Ninyi hamjua song kabisa,sasa bongo dar es salaam ni wimbo au hadithi??mpaka uilinganishe na ana miaka chini ya 18,mikononi mwa polisi
No doubt,unafahamu mziki na hiphop kwa kina kaka.SaluteTafta. HOLD ON BY SUGU
HAYAKUA MAPENZI BY SUGU
Hii ngoma naikubari mpaka leo.Tafta. HOLD ON BY SUGU
HAYAKUA MAPENZI BY SUGU
Sikiliza "mikononi mwa polisi" ndo utajua kuwa hatutaki hadithi watupe vitu halisia hata mtu yeyote mwenye utu anajua kweli mshikaji anaongea vya maana si vitu vya kufikirikaIle ni hadithi iliyoelezewa kwa mfumo wa Rap.
Sikiliza nyimbo za Coolio au Nas utajua nachosema. Usikurupuke.
Wengi hawamjui sugu,wakati sugu anaimba walikuwa watoto wadogoNadhani mtoa post hamujui 2 proud Bali anamjua sugu Tu, uliza wimbo unaitwa chini ya 18, siku nikianguka, mikononi kwa polisi, far dsm, deiwaka, nje ya bongo, wapi tunakwenda, unaweza kubeza kazi za ii proud au umezaliwa Na kumjua akiwa anaitwa sugu tayari?
Wote... Wakali but Sugu nampa ya upendeleo...So who was the best rapper?
Who is the most recognized legend?
wacha kupagawa we kaa sawa haina haja ya kuchachawa sugu ndo malegendary wa rap ya bongo ingawa proff na afande sele nao ni wakaliTafta. HOLD ON BY SUGU
HAYAKUA MAPENZI BY SUGU
sema unachowezaaaMambo ya fedha ni noma
Brothermen akizikamata mtakoma
Sikiliza wabunge na kampeni
Wanapotoa ahadi wasoweza kuzitekeleza
Kiswahili wanakiweza
Sentensi mbili katikati kingereza
Yote ni mambo ya fedhwa.