Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sistaduu anapokugeuza wewe ndio dingisema unachowezaaa
Fanya unachowezaaa
mbona unashangaa!!
mambo ya fedha!
Sema unachoweza....!!Sistaduu anapokugeuza wewe ndio dingi
Mapenzi kidogo mizinga mingi
Leo atataka versace na mini skirt
Kesho atataka passport
Keshokutwa atataka tiketi aende London au America
Si bora nifanye part japo sio pasaka
Bibie umejikita penye chorus yaani inakuwa sugu na jide?Sema unachoweza....!!
Fanya unachowezaaaaa...!
Mbona unashangaaaaa....!
Mambo ya fedhaaa...!!
Yaap!yaap!Bibie umejikita penye chorus yaani inakuwa sugu na jide?
Khatari sana weyeYaap!yaap!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Khatari sana weye
industry ilikua ngumu jombaa, ila jamaa alitusua, alikua anajulika lucky dube na jamaa tu, tape unisikiliza kwenye walkmanKwani ulegend ni kutoa album nyingi?
Umeanza kumsikiliza Sugu mwaka 2000. Basi jua kwamba 2proud alitoa album ya kwanza mwaka 1995 inaitwa ni mimi, 1997 akatoa album ya pili "ndani ya bongo", 1998 akatoa album ya tatu " niite mr II" na 1999 alitoa album ya nne "nje ya bongo". Wakati anatoa album zote hizo ulikua wapi?Habarini Wadau,
Kuanzia mwaka 2000 nilianza kumsikiliza Sugu au Mr II aliyekuwa akiitwa 2 proud zamani, ila kiukweli namtofautisha sana na Professor J katika kazi zao.
Mfano mzuri ni "Bongo Dar es salaam"
Nadiriki kusema nyimbo za Proffesor J zote ni nzuri, pia zipo zenye ujumbe na mashairi mazuri yenye Vina kuliko za Mr II.
Labda huu mpya wa "Freedom" japo pia chana yake na ujumbe sio bomba kiviile.
Mr II ni Mwanasiasa, Mwanaharakati na Mzalendo ila Kimziki naona kama anazidiwa sana na wasanii kama Proff J na Afande Sele.
Ni Mtazamo tu.
Hiyo ana miaka chini ya 18 ni khabari nyingine kabisa ukiisikiliza inazungumzia madhira wanayoyapata mabint zetu kwa ndoto zao za alinacha ni utunzi uliotulia ila sisi wabongo ni mabingwa wa kuponda.1.Mambo ya fedha
2.Chini ya 18
3. Hayakuwa Mapenzi
Huko mbele tutaomba kila mwanzisha uzi, ataje na Umri wake.
Itakuwa alikuwa ananyonya, kaanza kusikiliza Album ya Deiwaka halafu anajidai anamjua SuguUmeanza kumsikiliza Sugu mwaka 2000. Basi jua kwamba 2proud alitoa album ya kwanza mwaka 1995 inaitwa ni mimi, 1997 akatoa album ya pili "ndani ya bongo", 1998 akatoa album ya tatu " niite mr II" na 1999 alitoa album ya nne "nje ya bongo". Wakati anatoa album zote hizo ulikua wapi?
Mambo ya fedha fedheha/Mambo ya fedha ni noma
Brothermen akizikamata mtakoma
Sikiliza wabunge na kampeni
Wanapotoa ahadi wasoweza kuzitekeleza
Kiswahili wanakiweza
Sentensi mbili katikati kingereza
Yote ni mambo ya fedhwa.
NIMEKUPENDA GHAFLA GHAFLA UMEMZIDI HADI MTOA MADA KWA KUANDIKA UHARO HAPA NADHANI HAMJUI SUGU KAZALIWA KIPINDI CHA KIKWETEmambo ya fedha
ATAKUWA CCM ANA CHUKI NA MBUNGE WA CHADEMAMleta mada sijui wa wapi huyu