Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
ndo ulikua muda wangu huo!!hizo zingine hazinihusu!!Tafuteni album ya ujio wa umri hakuna wimbo mwepesi, sikilizeni hiyo ndio album ya kiwango chenu ila za siku za nyuma hamuwezi kuzijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo ulikua muda wangu huo!!hizo zingine hazinihusu!!Tafuteni album ya ujio wa umri hakuna wimbo mwepesi, sikilizeni hiyo ndio album ya kiwango chenu ila za siku za nyuma hamuwezi kuzijua
Kwahiyo kumbe unamsifia kwa hayo na sio kazi yake kimuziki.
Hiyo ngoma ni noma sana, huwa haikosi kwenye play list yangu, nilimwelewa sana Sugu alivyochanika, sasa sijui hii ngoma alimtungia huyu mama Shasha au ni mashairi tuu, sababu duu!!Hayakuwa mapenzi ni one of the best song kuwahi tokea hapa bongo
Aisee wewe jamaa ni mnyama. Maelezo yako ni kweli kabisa. Ninazo kwenye tape album zote hizo. Ni Mimi inagongwa kwa redio One 1995 kwenye DJ show ndio nimetoka shule primary hiyo.Umeanza kumsikiliza Sugu mwaka 2000. Basi jua kwamba 2proud alitoa album ya kwanza mwaka 1995 inaitwa ni mimi, 1997 akatoa album ya pili "ndani ya bongo", 1998 akatoa album ya tatu " niite mr II" na 1999 alitoa album ya nne "nje ya bongo". Wakati anatoa album zote hizo ulikua wapi?
[emoji121]Habarini Wadau,
Kuanzia mwaka 2000 nilianza kumsikiliza Sugu au Mr II aliyekuwa akiitwa 2 proud zamani, ila kiukweli namtofautisha sana na Professor J katika kazi zao.
Mfano mzuri ni "Bongo Dar es salaam"
Nadiriki kusema nyimbo za Proffesor J zote ni nzuri, pia zipo zenye ujumbe na mashairi mazuri yenye Vina kuliko za Mr II.
Labda huu mpya wa "Freedom" japo pia chana yake na ujumbe sio bomba kiviile.
Mr II ni Mwanasiasa, Mwanaharakati na Mzalendo ila Kimziki naona kama anazidiwa sana na wasanii kama Proff J na Afande Sele.
Ni Mtazamo tu.
Hawamjui 2Proud wanamjua Sugu,mzee wa mikononi mwa Polisi,bonge la gomaNadhani mtoa post hamujui 2 proud Bali anamjua sugu Tu, uliza wimbo unaitwa chini ya 18, siku nikianguka, mikononi kwa polisi, far dsm, deiwaka, nje ya bongo, wapi tunakwenda, unaweza kubeza kazi za ii proud au umezaliwa Na kumjua akiwa anaitwa sugu tayari?
enzi hizo Radio one ndo kila kitu,Radio free nayo kwa mbaaaali,eti clouds hahahAisee wewe jamaa ni mnyama. Maelezo yako ni kweli kabisa. Ninazo kwenye tape album site hizo. Ni Mimi inagongwa kwa redio One 1995 kwenye DJ show ndio nimetoka shule primary hiyo.
Wasiojua muziki ulikotoka ndio watakaouliza swali kama chili.
2 proud alikuwa anaongelea hali halisi ya maisha,kama Mikononi mwa polisi,soo la kweli mbeya DayMleta thread naamini humjui vizuri Sugu, pengine sababu ya umri wako, nikipata muda nitakuwekea albamu zake zote hapa.
Kuhusu Prof Jay, sikiliza nyimbo zake zote yeye anasimulia hadithi na matukio.
Mkuu kumbe na ww ni team oldzYaap!yaap!
Kwani ni lazima uwalinganishe bhana? Umeshaambiwa kuwa wote ni legends. I hate the "comparison shit!".So who was the best rapper?
Who is the most recognized legend?
Ukweli haujifichi japo sugu kaanza mziki kitambo zaid ya prof lkn ukiwakompea sugu haugusi moto wa prof.....prof mtu mwingneMusics huwa unarekodiwa na tunaweza kuasses kazi za kila mmoja.
Kwahivyo kuwahi kumsikiliza sio tija ndio maana inawezekana wakati Bob Marley anatoa album ya kwanza wewe hukuwepo ila leo unaweza kujudge kazi zake.
Btw, nimeanza kumsikiliza tokea niko primary miaka ya 1997 ila nilikuja kumcompare na Prof. J miaka ya 2000 baada ya wote kufanya kazi kubwa.
Finally nikagundua kuwa Prof. J ni mkali zaidi.
acha wivu wa kike wewe.ukiolewa utamlaumu nani??mfyuuuuuuSugu hana mziki wa maana wowote anaharishaharisha kwenye beat tu.
umekula embe mbichi mkuu??Sugu haimbagi chochote kile cha maana zaidi tu ya kupata sifa kuwa eti ni rapper wa kwanza na mkongwe hapa Bongo na alichangia kuukuza mziki wa HipHop na rap.
Hamna kitu pale...Prof ndio Msanii Fundi.