Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Usinione brothemen sababu nasukuma mkokoMambo ya fedha fedheha/
Tunazungumza mengi mengine tunamezea....
Choko utazima zako
Mwanafunzi anaonekana mkurugenzi
Na mkurugenzi kama Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinione brothemen sababu nasukuma mkokoMambo ya fedha fedheha/
Tunazungumza mengi mengine tunamezea....
6.Hold onMtoa mada inaonekana wewe umemsikiliza Sugu jaribu kutafuta nyimbo za Mr II au 2Proud
1.Miaka chini ya 18
2.Mikononi mwa Polisi
3.Haki
4.Hayakuwa mapenzi
5.Dar-Dsm
Dar es salaam jua linakausha mpaka pamba6.Hold on
7.Hayakuwa mapenzi
8.Deiwaka
9.Mr sugu
10.Dar es salaam (DSM]
LIST INAENDELEA NA HAKIKISHA UNADOWNLOAD HIZO NYIMBO
Kama kawaida jumatatuDar es salaam jua linakausha mpaka pamba
Na kila unachosema watu wanasema kamba
Wacha mimi niwahi mjomba
Tutazidi kuonana kwenye jiji la makamba
mkuu sugu ni nouma kipindi hicho alikuwa na jamaa anaitwa balozi na dk levyMtoa mada atakuwa ndo hawa watoto waliozaliwa wakati Jakaya yupo madarakani...Sugu wa kumbeza kweli??
Sikiliza
Ndani ya bongo
Nje ya bongo
Deiwaka
Hali halisi
Muziki na maisha
Mikononi mwa polisi
Hali yangu
Maisha yangu
Chini ya 18
Mambo ya fedha
Haki
Hapo zamani
Kiburi
Namshukuru mungu
Alekhmslam
Itikadi
Nikianguka
Hayakuwa mapenzi
Na nyingine kibao yani ni madini tosha
gwakukaja ni hatare Sugu toka miaka ya 90 mpaka sasa ana album nyingi kuliko msanii yeyote na alikuwa na maswahiba wake kama Balozi na Dr levyKama kawaida jumatatu
Nipo kwenye pirika sitaki story na mtu
Jumanne nakutana na polisi kama nane
Jumatano mapema nipo bwii hakuna mfano
Alhamis mademu wanapiga simu wananimiss
Ijumaa na Jumamos ndo mikosi nuksi
Mpaka siku ya pili jumapili....
Yah bila kumsahau Afande Sele...aliimba sana kwenye albam za Sugu kabla hajatoka...gwakukaja ni hatare Sugu toka miaka ya 90 mpaka sasa ana album nyingi kuliko msanii yeyote na alikuwa na maswahiba wake kama Balozi na Dr levy
Hahaha na haya ndo yanatokea wakati huu wa dot.com halafu unasema Mbunge wangu mkali,mlitaka mpaka aimbe bob marley hayo maneno ndo mngeyapa umuhimu?Sistaduu anapokugeuza wewe ndio dingi
Mapenzi kidogo mizinga mingi
Leo atataka versace na mini skirt
Kesho atataka passport
Keshokutwa atataka tiketi aende London au America
Si bora nifanye part japo sio pasaka
Musics huwa unarekodiwa na tunaweza kuasses kazi za kila mmoja.Umeanza kumsikiliza Sugu mwaka 2000. Basi jua kwamba 2proud alitoa album ya kwanza mwaka 1995 inaitwa ni mimi, 1997 akatoa album ya pili "ndani ya bongo", 1998 akatoa album ya tatu " niite mr II" na 1999 alitoa album ya nne "nje ya bongo". Wakati anatoa album zote hizo ulikua wapi?
zipo mkuu nenda tabelltz.com ukisearch unazipata au hulkshare.com unaandika jina la msanii zinakuja zote nyimbo then pakuaYah bila kumsahau Afande Sele...aliimba sana kwenye albam za Sugu kabla hajatoka...
Sele ana wimbo wake "Afande anasema""
Kimya kimya afande anasema wote kimya...
Kimya kimya afande anasema...
Sijui hizi nyimbo nazipata wapi aisee!!
Haya hayakuwa mapenz the greatest hit of all time!!!Tafta. HOLD ON BY SUGU
HAYAKUA MAPENZI BY SUGU
Tafta. HOLD ON BY SUGU
HAYAKUA MAPENZI BY SUGU
Maneno yake yamesimama mpaka leo mizinga sijui b52 haijulikani wana force king kujuana leo na invoice inaingia kijasho kitakutoka na wala usijaribu eti unamtania anakuja mazimaHahaha na haya ndo yanatokea wakati huu wa dot.com halafu unasema Mbunge wangu mkali,mlitaka mpaka aimbe bob marley hayo maneno ndo mngeyapa umuhimu?
Shukran mkuu...nitapita huko!!zipo mkuu nenda tabelltz.com ukisearch unazipata au hulkshare.com unaandika jina la msanii zinakuja zote nyimbo then pakua
Tafuteni album ya ujio wa umri hakuna wimbo mwepesi, sikilizeni hiyo ndio album ya kiwango chenu ila za siku za nyuma hamuwezi kuzijuasema unachowezaaa
Fanya unachowezaaa
mbona unashangaa!!
mambo ya fedha!