Ni nyuzi zipi unapenda kuzisoma na huwa za member Gani wa JF?

Ni nyuzi zipi unapenda kuzisoma na huwa za member Gani wa JF?

Mshana Jr ni mnoma saana,aloanzishq ule uzi wa picha za zamani...ulikuwa wa moto sana...tulishauri baadhi ya vitu hasa kuhusu wapigania uhuru wa kusini mwa Africa,nin as Imani yeye ndo aleshauri ,tunaona matokeo japo kiasi....

Enzi za magu wan a kitengo walikuwa
Wanasikilizwq saana Mshana akapenyeza.
 
Oh wow! Thank you ever so much!

Nakuzawadia picha ya auntie ya leo leo dakika chache tu zilizopita….saa 8:45 mchana. Ndo katoka shule. Kaamua kupozi kabisa mahsusi kwa ajili ya Auntie L.

View attachment 3167629
😘 mwah mwah Auntie yangu m-cute 😍
Kumbe na pozi kaniwekea auntie yake Lamomy awww!! 🥰🥰🥰

Mwambie namuwekea order ya BUCCI 🤣
 
Back
Top Bottom