Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,524
- 5,731
Achaa tu chanzo cha kutumia ni wazazi kunywea home ilikuwa ni full kuwadoezea wakibakiza.Std 7 ulikua ushaanza kupiga masanga mkuu? Nomaa😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achaa tu chanzo cha kutumia ni wazazi kunywea home ilikuwa ni full kuwadoezea wakibakiza.Std 7 ulikua ushaanza kupiga masanga mkuu? Nomaa😀
bwana bwana ile bia siyo ya mchezo kabisaNamba 1 hii chombo redhorse wananchi wa HongKong au Guangzhou wanajua matatizo yake kama sio mnywaji.Hii kitu weka mbali na watoto
Hatasema ukweli...ila lazima yalisogea sogea karibu....Hukujinyea kweli wewe😂😂🤣🤣
Sijajua kwa wengine ila binafsi huwa nikinywa mawazo yote yanashuka chini.Hatasema ukweli...ila lazima yalisogea sogea karibu....
Kvant huwa inaniaibishaga sana ila ikipita siku mbili, nasahau na kurudi kulekule.
Afu wanywaji wa Kvant msemege pia kuwa mkinywa ile huwa inaleta hamu ya kungonoka.
Me pia ndo mana nikasema.Sijajua kwa wengine ila binafsi huwa nikinywa mawazo yote yanashuka chini.
We acha tu hii weekend nimeipania coz nina mamiezi sijagusa hayo makitu[emoji1787][emoji1787]
Best[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Weekend hii hapa
hahahaa madame B umenifurahishaMe pia ndo mana nikasema.
Yaani ni nadra sana ninywe Kvant nisiishie kufanya ngono.
Huwa napata ny.ege sana nikiinywa.
Unadhani masikhara...ni kweli kabisa.hahahaa madame B umenifurahisha
Spirit zina tabia ya kupanda kidogo kidogo, unaeza ukasema haulewi ila ikipanda ni balaaMara nying hua napenda kutumia konyagi hii siku nili agiza mzinga wa k vant na sprit mixer nika ushusha ule mzinga mdogo mdogo mpka uka kata
Nika hama kiwanja kwa kula nilikua sijala chochte nika agiza kuku choma wakat huo apo kiwanja kipya nili agiza nyagi na tonic nikawa naendelea kuikata taratbuu mpaka yule kwio alipo kua tayr nika mtafuna uku naendelea kushusa ule mzinga wa nyagi baada ya muda kidogo kupita nikaanza kusikia network error kweny medula uku bas nika sogea nje kupunga upepo ghafla binvuu nikaanza kuhis kutapika bhana bhna nikawah toilet ile nime ingia tu aaaaaaargh nili tapika pombe zote nilizo kunywa na ile minofu ya kukuchoma hapo kichwa kisha waka motoo moja haikai mbili haikai asikwambie mtu iyo siku kama n kulewa nili lewa vibaya mno uzuri nilikua na washikaj bas waka nipakia kweny ndinga hao mpka maskan lakin network ile siku ilisepa maana nilijikuta tu nipo nyumbn pasipo kujua nime fikaje fikaje toka ile siku sijawah rudia kufanya tena huu ujinga
Pole sana [emoji23]Sikumbuki jina ila nachokumbuka ilikuwa ina ladha na utamu wa amarula..ile siku niliona ziraeli huyu hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]ashukuriwe braza mmoja kwa tips alizonipa hadi nikawa Katika hali nzuri.
Ahsante SanaPole sana [emoji23]
So saivi haugusi kabisa izo mambo?Ahsante Sana
Unadhani napenda hayo Mambo Basi..siku hiyo tu dogo aliniletea nikasema ngoja nipige glass 3..🙌🙌🙌...pombe hapanaSo saivi haugusi kabisa izo mambo?