Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Hatasema ukweli...ila lazima yalisogea sogea karibu....

Kvant huwa inaniaibishaga sana ila ikipita siku mbili, nasahau na kurudi kulekule.

Afu wanywaji wa Kvant msemege pia kuwa mkinywa ile huwa inaleta hamu ya kungonoka.
Sijajua kwa wengine ila binafsi huwa nikinywa mawazo yote yanashuka chini.
 
Mara nying hua napenda kutumia konyagi hii siku nili agiza mzinga wa k vant na sprit mixer nika ushusha ule mzinga mdogo mdogo mpka uka kata
Nika hama kiwanja kwa kula nilikua sijala chochte nika agiza kuku choma wakat huo apo kiwanja kipya nili agiza nyagi na tonic nikawa naendelea kuikata taratbuu mpaka yule kwio alipo kua tayr nika mtafuna uku naendelea kushusa ule mzinga wa nyagi baada ya muda kidogo kupita nikaanza kusikia network error kweny medula uku bas nika sogea nje kupunga upepo ghafla binvuu nikaanza kuhis kutapika bhana bhna nikawah toilet ile nime ingia tu aaaaaaargh nili tapika pombe zote nilizo kunywa na ile minofu ya kukuchoma hapo kichwa kisha waka motoo moja haikai mbili haikai asikwambie mtu iyo siku kama n kulewa nili lewa vibaya mno uzuri nilikua na washikaj bas waka nipakia kweny ndinga hao mpka maskan lakin network ile siku ilisepa maana nilijikuta tu nipo nyumbn pasipo kujua nime fikaje fikaje toka ile siku sijawah rudia kufanya tena huu ujinga
 
Mara nying hua napenda kutumia konyagi hii siku nili agiza mzinga wa k vant na sprit mixer nika ushusha ule mzinga mdogo mdogo mpka uka kata
Nika hama kiwanja kwa kula nilikua sijala chochte nika agiza kuku choma wakat huo apo kiwanja kipya nili agiza nyagi na tonic nikawa naendelea kuikata taratbuu mpaka yule kwio alipo kua tayr nika mtafuna uku naendelea kushusa ule mzinga wa nyagi baada ya muda kidogo kupita nikaanza kusikia network error kweny medula uku bas nika sogea nje kupunga upepo ghafla binvuu nikaanza kuhis kutapika bhana bhna nikawah toilet ile nime ingia tu aaaaaaargh nili tapika pombe zote nilizo kunywa na ile minofu ya kukuchoma hapo kichwa kisha waka motoo moja haikai mbili haikai asikwambie mtu iyo siku kama n kulewa nili lewa vibaya mno uzuri nilikua na washikaj bas waka nipakia kweny ndinga hao mpka maskan lakin network ile siku ilisepa maana nilijikuta tu nipo nyumbn pasipo kujua nime fikaje fikaje toka ile siku sijawah rudia kufanya tena huu ujinga
Spirit zina tabia ya kupanda kidogo kidogo, unaeza ukasema haulewi ila ikipanda ni balaa
 
Sikumbuki jina ila nachokumbuka ilikuwa ina ladha na utamu wa amarula..ile siku niliona ziraeli huyu hapa 🤣🤣🤣ashukuriwe braza mmoja kwa tips alizonipa hadi nikawa Katika hali nzuri.
 
Sikumbuki jina ila nachokumbuka ilikuwa ina ladha na utamu wa amarula..ile siku niliona ziraeli huyu hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]ashukuriwe braza mmoja kwa tips alizonipa hadi nikawa Katika hali nzuri.
Pole sana [emoji23]
 
Back
Top Bottom