Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Zanzi bana acha iwe zanzi by the way niliishia mlangoni yaan nilala mlangoni 😂😂😂😂 kwakwel zanzi kama zanzi nimeiacha
 
Double kick sio pombe ni gongo ile niliikosa njia nikafakamia kichaka nikakaa kama saa zima bahat nzur kuna mshkj alipita ananijua ndo kuniokoa akanikokota hdi home niliamka kesho saa 9 mchana mikono imetoboka sura imechubuka yaan daah na bonge la hangover hatar.....usiombe ukutane na njaa ya pombe nilitaman kulia siku hyo nikaapa pombe sinywi tena..ila nilivoshiba tu et ntoe lock nikajikuta nalewa tenaa,sa hv nakunywa kistaarabu kabisa

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu njaa ya pombe ishawahi kukutwanga ile ni balaa

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Hahaha ile ni noma, ishawahi nikuta siku moja nipo ghetto hata kuinuka nlikua siwezi na ndani hamna msos wowote zaidi ya maji.... Nilijikongoja hadi kwa mangi nikakopa soda1 na boflo4 nikapiga ndo nikawa fresh kimtindo
 
Nilichogundua ni kwamba watu wengi hawajui matumizi sahihi ya spirit,hawatofautishi na beer.mnajimiminia tu

NB:bia bingwa weka mbali na watoto, yaani hata ukisema nitoe lock tu yenyewe inakuharibia siku nzima
Hivi bia ya bingwa na THE KICK bado ipo sokoni kweli?
 
Kuna siku pia nilikata k'vant kubwa1 peke yangu..
Asubuhi nilijikuta nimelala nje mlangoni na ufunguo nimeushikilia mkononi... Bahati nzuri ilikua chumba cha uwani hakuna mtu aliniona..
... Hadi leo sikumbuki nilifikaje pale mlangoni..
[emoji23][emoji23]umelala nje afu ufunguo umeshikilia mkononi
 
Sikumbuki vzr kati ya jack daniel au henness!
Siku hyo ilikuwa tunavunja kamati ya harusi ya bro, sasa kukaletwa mapombe ya kila aina pale nyumbani, mi nikawa nakunywa zangu dompo.

Baba akaniambia... njoo nikuwekee hii kidogo uonje, nikakataa (alikuwa amekaa na mwenyekiti wa kamati) mwenyekiti akasema acha woga haina shida hii onja kidogo, si nikakubali bana. Wakanimiminia kidogo kwny glass yangu ya domp nikanywa.

Ninachokumbuka nikasema ngoja niende chooni kukojoa, kuja kushtuka saa kumi na moja alfajiri. Najikuta nimelala chooni mlango nimelock, sijui watu walijisaidia wapi siku ile aisee!
 
Ac
Hahaha ile ni noma, ishawahi nikuta siku moja nipo ghetto hata kuinuka nlikua siwezi na ndani hamna msos wowote zaidi ya maji.... Nilijikongoja hadi kwa mangi nikakopa soda1 na boflo4 nikapiga ndo nikawa fresh kimtindo
Sio poa mkuu yaan unahisi kufa kufa tuu.....ila jina lako limenichekesha sana uliwaza nn kuandk hvo
 
Double kick sio pombe ni gongo ile niliikosa njia nikafakamia kichaka nikakaa kama saa zima bahat nzur kuna mshkj alipita ananijua ndo kuniokoa akanikokota hdi home niliamka kesho saa 9 mchana mikono imetoboka sura imechubuka yaan daah na bonge la hangover hatar.....usiombe ukutane na njaa ya pombe nilitaman kulia siku hyo nikaapa pombe sinywi tena..ila nilivoshiba tu et ntoe lock nikajikuta nalewa tenaa,sa hv nakunywa kistaarabu kabisa

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
Niko zangu home siku hiyo. Nimeamka saa 4 nikaingia mtaani nikapiga maharage yangu na chapati mbili. Nimerudi home nikaweka movie nacheki.
Saa 7 broo ananipigia njoo maeneo kuna ishu kwa simu uniwekee sawa. Bwana kufika. Double kick nilikuwa sijawahi kunywa. Namuona anaipiga. Baada ya kuagiza soda nami nikaanza changanya. Mbaya zaidi swala la kula nikasahau kabisa. Toka saa 8 mchana nimetoka pale saa 2 usiku kufika tu home full kutapika maharage yangu. Nikalaa kwenye kochi tapika sana chini. Kesho yake nimeshinda hoi mbaya zaidi hata hamu ya kula nikawa sina kabisa japo njaa nasikia. Yani supu na chapati moja na bado nikashindwa maliza, ikabidi nishindie pepsi tu kutwa nzima. Hapo ndio nikagundua spirit za bei chee sio.🤣🤣
 
nimewahi ghafilika sana hapo kitambo kwaajili ya pombe zangu

1: Nilialikwa na wanangu flani wapo mbele kitambo kufika nikapokelewa na kinywaji aina flami ya beer inaitwa Redhorse
nikaanza vyombo vipya rasmi bila kujua ni bia moja kali 8 percent alc. vol.
Nilikomaa zikafika 7 nikakata moto na nikalala siku tatu sijiwezi

2:Nimerudi home nakuta kuna kinywaji kipya dogo akaniambia kinaitwa K-Vant basi nikasema tupewe hiyo jichupa le kubwa lile likaisha 3 men
likaletwa lingine hapo nilikula lakini pass ndefu sana nilirudisha chenji nikasema maini itatoka nililala kwa tabu sana lakini niliwahi kuponea kwasababu ya Valeur kitambo kidogo na hii ingenitoa kama siyo hospital

3:Hii nilikuwa na mkuu moja tulikuwa ukweni kwake kabla ya kufika akaona ni vyema turashie kidogo KIBO GOld(maisha ktk mwanga bora)
kufika ukweni akapokelewa kwa shangwe na mama mkwe wake akaleta hizo hizo hizo.
Baadae baba mkwe alirudi kutoka mishe zake akachafua meza nae basi cha aibu nilirudisha chenji ukweni kwa jamaa
mama mkwe akaniambia pole nikaona aibu zaidi kwanzia hapo nikatia adabu na pombe siyo chai wakuu
 
White wine [emoji171]
Red naonaga nayo chungu
Hebu nipe siri ya hii white wine,maana kuna siku nipo kwenye harusi mahali flani,nimekaa zangu garden,akaja kijana akaniuliza ntakunywa nini,nikamwambia anilitee baltika,akasema ok,akaenda na kurudi na chupa ya wine mkononi,nikamwuliza ya nani hiyo? Akasema amekosa baltika akaamua kuniletea hiyo,ni white wine,nikaona isiwe shida,kwanza nataka kupndoka zangu,sasa pembeni kidogo nikamwona m mama flani hivi yuko peke yake,ana chupa flani ndogo ya pombe gani sijui,akanipiga jicho nami nikamnyongea,akatabasamu,nikainuka na kumpelekea ile chupa ya wine,akaicheki fasta halafu akabadilika!! Akaniambia "hapa umefeli kaka,unachokitafuta hutakipata kwangu,yaani ndiyo ukaona uniletee hiyo unadhani siijui! Kajaribie kwingine" nikaondoka nikijichekea kimoyomoyo, nikakatiza kwenye meza flani imejaa mademu wamelewa,mkononi nimeshika chupa yangu ya wine,dada mmoja kati ya wale akaropoka kilevi akimwonyesha mwenzake,anamwambia haya umeletewa ile pombe yako,yule mwenzake akaangalia wine yangu halafu akasema "haliwi mtu bure leo!!!! Niliicheki ile wine,nikaangalia upande wazi,nikaivurumisha huko! Kesho yake nikamuuliza madam flani job kuhusu white wine,akaniuliza kwa nini nimemuuliza yeye,nikamweleza kisa cha jana yake,akaniambia tafuta siku na mahali tulivu halafu uniletee ndiyo utajua shida yake,sikujaribu!! Kwa hiyo hadi leo sijui shida ya hiyo wine aisee
 
Kuna siku kwa uroho wangu nilichanganya ulabu, kilichonitokea sitahau maana nilitapika hadi nikawa sioni wala kusikia sauti yoyote yani nilihisi ndio nakufa vile....Imagine kuchanganya Safari, Konyagi, Gordons, Jb na serengeti lager
... Alafu ni ndani ya masaa matatu nishakunywa huo mchanganyiko
Bahati yako! Ungekufa mbwa wewe!
 
Hebu nipe siri ya hii white wine,maana kuna siku nipo kwenye harusi mahali flani,nimekaa zangu garden,akaja kijana akaniuliza ntakunywa nini,nikamwambia anilitee baltika,akasema ok,akaenda na kurudi na chupa ya wine mkononi,nikamwuliza ya nani hiyo? Akasema amekosa baltika akaamua kuniletea hiyo,ni white wine,nikaona isiwe shida,kwanza nataka kupndoka zangu,sasa pembeni kidogo nikamwona m mama flani hivi yuko peke yake,ana chupa flani ndogo ya pombe gani sijui,akanipiga jicho nami nikamnyongea,akatabasamu,nikainuka na kumpelekea ile chupa ya wine,akaicheki fasta halafu akabadilika!! Akaniambia "hapa umefeli kaka,unachokitafuta hutakipata kwangu,yaani ndiyo ukaona uniletee hiyo unadhani siijui! Kajaribie kwingine" nikaondoka nikijichekea kimoyomoyo, nikakatiza kwenye meza flani imejaa mademu wamelewa,mkononi nimeshika chupa yangu ya wine,dada mmoja kati ya wale akaropoka kilevi akimwonyesha mwenzake,anamwambia haya umeletewa ile pombe yako,yule mwenzake akaangalia wine yangu halafu akasema "haliwi mtu bure leo!!!! Niliicheki ile wine,nikaangalia upande wazi,nikaivurumisha huko! Kesho yake nikamuuliza madam flani job kuhusu white wine,akaniuliza kwa nini nimemuuliza yeye,nikamweleza kisa cha jana yake,akaniambia tafuta siku na mahali tulivu halafu uniletee ndiyo utajua shida yake,sikujaribu!! Kwa hiyo hadi leo sijui shida ya hiyo wine aisee
Haina shida yoyote ni watu kujijengea fikra za ngono..
haichochei chochote, mimi binafsi nazitumiaga nawala sijawahi kujufikiria hivyo mkuu...aliwazalo mjinga ndio linalimtokea sikuingine wape balimi
 
Back
Top Bottom