Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Wengi naona wanapondea kinywaji changu pendwa kvant.....kvant haitaki spidi na haitaki kelele yan ukiwa unaigonga kwanza uwe umekula vyema na pili kaaa sehem tulivu hata kama mko wengi msiweke muziki kwa sauti kubwa pia ukiinywa usiongeee ongeee sana huwa inapanda kwa kasi.nakumbuka mwaka 1998 nlilazwa hospital baaada yakunywa viroba 10 vya konyagi
1998? Mkuu ulikuwa na umri gani kipindi hicho? [emoji849]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna siku pia nilikata k'vant kubwa1 peke yangu..
Asubuhi nilijikuta nimelala nje mlangoni na ufunguo nimeushikilia mkononi... Bahati nzuri ilikua chumba cha uwani hakuna mtu aliniona..
... Hadi leo sikumbuki nilifikaje pale mlangoni..
 
Kuna siku pia nilikata k'vant kubwa1 peke yangu..
Asubuhi nilijikuta nimelala nje mlangoni na ufunguo nimeushikilia mkononi... Bahati nzuri ilikua chumba cha uwani hakuna mtu aliniona..
... Hadi leo sikumbuki nilifikaje pale mlangoni..
Vant ina tabia ya kukata kumbukumbu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Konyagi kubwa bombadia nilikunywa pekee yangu ,nakumbuka wkt nakunywa kuna dem nilimwita aje anipe kampani dem akawa anakunywa lite yy,baadae tumemaliza kunywa tukawa tunasepa ile na nyanyukaa mwili hautaki nikajikaza nikanyanyuka dem akaitisha boss boda tukapanda tukaelekea geto na dem bhana bhanaa yulee dem nilimpelekeaa motooo bhanaa ukinywaa nyagii ukojoi mapemaa nilipelekaa moto mpk dem akikimbilia seblen akachomoaa funguo wa chumban akanifungia kwa njee yy akalala seblen,
 
Hii sifa ya K-Vant ya kukata kumbukumbu inaongelewa sana japokua ndio pombe yetu pedwa kwa kipindi hichi cha mitano tena. Inabidi kampuni waondoe kale ka component ka kuzima memory.

Mimi nimeshafanya matukio mengine nikahadithiwa asubuhi mpaka nikahisi nasingiziwa kumbe ni yangu kweli na pia inaleta confidence yakufa mtu.

Anyway

IMG_6881.jpg


Iriiiiizi watiririiiz
 
Hii sifa ya K-Vant ya kukata kumbukumbu inaongelewa sana japokua ndio pombe yetu pedwa kwa kipindi hichi cha mitano tena. Inabidi kampuni waondoe kale ka component ka kuzima memory.

Mimi nimeshafanya matukio mengine nikahadithiwa asubuhi mpaka nikahisi nasingiziwa kumbe ni yangu kweli na pia inaleta confidence yakufa mtu.

Anyway

View attachment 1727790

Iriiiiizi watiririiiz
Yani sijui wameweka nini hawa jamaa.... Katika watu kumi wanaokunywa k'vant basi watu saba watakupa hii sifa ya kupotea kumbukumbu
 
Robertson white baridii na kitomoto kavu weuweee[emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji241][emoji39][emoji39][emoji39]

Full kujilamba, weekend ifike tuu[emoji848][emoji848]
Mhmhh wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Robertson white baridii na kitomoto kavu weuweee[emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji241][emoji39][emoji39][emoji39]

Full kujilamba, weekend ifike tuu[emoji848][emoji848]
Nyie ndiyo mnafanya weekend zinachelewa kufika
 
Kuna siku nilienda kumtembelea jamaa yangu gheto kwake. Mida ya jioni akanitoa out mimi na washkaji wengine.

Binafsi sinywi pombe, nilipiga grand malt zangu nila wenge. Around saa mbili au tatu kasoro tukarudi gheto. Alipopanga, nyumba ina fensi.

Sasa tushaingia ndani, jamaa akafunga na geti kabisa. Dakika chache mbele kuna mtu akawa anagonga geti huku akiita na kuomba afunguliwe. Jamaa yangu akaanza kuwaka, yule ni nani anasumbua watu mida ile wakati yeye (jamaa yangu) alishaweka sheria, akiingia ndani, ambao mko nje mtafute pa kulala (hapo kumbuka nyumba sio yake, amepanga).

Kumbe bhana anabishana na mwenye nyumba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Yule faza house baada ya kuona maneno ya shombo yamezidi, akaamua kuondoka (alikuwa mfupi tena kibonge, asingeweza ruka ukuta).

Hiyo ndio ilikuwa mara ya mwisho jamaa yangu kuishi pale, japo kodi ilikuwa bado sana kuisha.
 
Back
Top Bottom