Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

sijawai tumia ugolo...kuna siku niko chuo nilikunywa safari nyingi sana sasa kuna mwana akanambia G em onja na ugolo nikasema letee....kuweka mdomoni nikameza basi weeee kichwa ilizunguka kubabeeek watz wenzangu nikawa nawaona kama wachina.....msobe msobe had hostel nikasema ngoja niende toilet ile kuona sink kutapika hukoo


huwez amini niliegamia lile sink saa 2 usiku had kesho asubuhi nimepitiwa usingz mzto...uzuri nilifunga mlango wa chooni so mtu akija anajua kuna mtu anaenda choo kingine...


since that day niliuogopa ugolo mpaka leo nikiuona nasisimka sitaki mazoea nao kabsa......ila bia napiga kama kawa sina dalili za kuacha hazijawi nitenda...nikionaga dalili za kulewa nakabidhi simu na wallet kaunta nawaambia wanipe hela ya nauli tuu had kesho[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikunywa konyagi kubwa na kadogo nusu alafu dry nilizima aisee,simu nikaacha kwenye taxi niliumwa siku mbili sili sinywi from that day sijawahi na sitawahi kunywa konyagi hata ndugu zake siwataki[emoji1787]
Umenitamanisha konyagi gafla..ngoja nikanunue viwili niweke kwenye chupa ya maji watu waone nagonga maji[emoji23][emoji23]
 
Mambo ya dunia ni mengi[emoji1787]
Hatuwezi jaribu kila kitu vya dunia, [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kuna vingine ukijiribu vinakutia ulevi wa milele unakua teja, konyagi ni ngumu sana yaani kwa kifupi una mapafu ya kiume kuweza kunywa konyagi
 
Wewe bado umelewa kweli
Ulanzi ukinywa unalewa na ujijui Kama unalewa, nilienda kumsalimia mjomba kijijini ,nilikata maji Kama mamba na kuku, inafika jioni nikaona isiwe Tabu,nikaufuta porini wanapogema, kilichofuata, kilichofuata nikajikuta nipo kitandani, na mianzi yote niliikata Ila kumbukumbu hakuna
 
sijawai tumia ugolo...kuna siku niko chuo nilikunywa safari nyingi sana sasa kuna mwana akanambia G em onja na ugolo nikasema letee....kuweka mdomoni nikameza basi weeee kichwa ilizunguka kubabeeek watz wenzangu nikawa nawaona kama wachina.....msobe msobe had hostel nikasema ngoja niende toilet ile kuona sink kutapika hukoo


huwez amini niliegamia lile sink saa 2 usiku had kesho asubuhi nimepitiwa usingz mzto...uzuri nilifunga mlango wa chooni so mtu akija anajua kuna mtu anaenda choo kingine...


since that day niliuogopa ugolo mpaka leo nikiuona nasisimka sitaki mazoea nao kabsa......ila bia napiga kama kawa sina dalili za kuacha hazijawi nitenda...nikionaga dalili za kulewa nakabidhi simu na wallet kaunta nawaambia wanipe hela ya nauli tuu had kesho[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Wewe sasa umeenda extra miles maugolo ya nin mzee
 
Hatuwezi jaribu kila kitu vya dunia, [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kuna vingine ukijiribu vinakutia ulevi wa milele unakua teja, konyagi ni ngumu sana yaani kwa kifupi una mapafu ya kiume kuweza kunywa konyagi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti mapafu ya kiume[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimeshaacha though
 
Nilichogundua wengi wenu mnakunywa pombe wakati tumbo halina kitu, Mara nyingi pombe huchanganya haraka sana kichwani kama tumbo halina kitu huo ni ukweli na nimeufanyia tafiti
Hili nakuunga mkono.
Pili baada ya tungi uhakikishe chupa mbili za maji unazikata mdogo mdogo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti mapafu ya kiume[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimeshaacha though
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
 
Back
Top Bottom