ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
Mambo ya dunia ni mengi[emoji1787]Mdada unakunywaje konyagi [emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya dunia ni mengi[emoji1787]Mdada unakunywaje konyagi [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sijawai tumia ugolo...kuna siku niko chuo nilikunywa safari nyingi sana sasa kuna mwana akanambia G em onja na ugolo nikasema letee....kuweka mdomoni nikameza basi weeee kichwa ilizunguka kubabeeek watz wenzangu nikawa nawaona kama wachina.....msobe msobe had hostel nikasema ngoja niende toilet ile kuona sink kutapika hukoo
huwez amini niliegamia lile sink saa 2 usiku had kesho asubuhi nimepitiwa usingz mzto...uzuri nilifunga mlango wa chooni so mtu akija anajua kuna mtu anaenda choo kingine...
since that day niliuogopa ugolo mpaka leo nikiuona nasisimka sitaki mazoea nao kabsa......ila bia napiga kama kawa sina dalili za kuacha hazijawi nitenda...nikionaga dalili za kulewa nakabidhi simu na wallet kaunta nawaambia wanipe hela ya nauli tuu had kesho[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Umenitamanisha konyagi gafla..ngoja nikanunue viwili niweke kwenye chupa ya maji watu waone nagonga maji[emoji23][emoji23]Nilikunywa konyagi kubwa na kadogo nusu alafu dry nilizima aisee,simu nikaacha kwenye taxi niliumwa siku mbili sili sinywi from that day sijawahi na sitawahi kunywa konyagi hata ndugu zake siwataki[emoji1787]
Hatuwezi jaribu kila kitu vya dunia, [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kuna vingine ukijiribu vinakutia ulevi wa milele unakua teja, konyagi ni ngumu sana yaani kwa kifupi una mapafu ya kiume kuweza kunywa konyagiMambo ya dunia ni mengi[emoji1787]
Mbona wanakunywa sana mkuu...mimi nikimuona mdada anakunywa konyagi au k vant lazima nimpende[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mdada unakunywaje konyagi [emoji38][emoji38][emoji38]
mzee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Harufu mdomoni konyagi ina harufuUmenitamanisha konyagi gafla..ngoja nikanunue viwili niweke kwenye chupa ya maji watu waone nagonga maji[emoji23][emoji23]
Wanasema hautakiwi kumeza sijui unakata utunbo, ni kweli?mzee
ugolo hata uweke bunduki sili...manake nilivyomeza tuu kichwa kilizunguka watu nawaona kama wachina wajapani.....hangover ilinitesa week mbili msosi haupandi ni biskuti na azam malt tuu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Ulanzi ukinywa unalewa na ujijui Kama unalewa, nilienda kumsalimia mjomba kijijini ,nilikata maji Kama mamba na kuku, inafika jioni nikaona isiwe Tabu,nikaufuta porini wanapogema, kilichofuata, kilichofuata nikajikuta nipo kitandani, na mianzi yote niliikata Ila kumbukumbu hakuna
Wewe sasa umeenda extra miles maugolo ya nin mzeesijawai tumia ugolo...kuna siku niko chuo nilikunywa safari nyingi sana sasa kuna mwana akanambia G em onja na ugolo nikasema letee....kuweka mdomoni nikameza basi weeee kichwa ilizunguka kubabeeek watz wenzangu nikawa nawaona kama wachina.....msobe msobe had hostel nikasema ngoja niende toilet ile kuona sink kutapika hukoo
huwez amini niliegamia lile sink saa 2 usiku had kesho asubuhi nimepitiwa usingz mzto...uzuri nilifunga mlango wa chooni so mtu akija anajua kuna mtu anaenda choo kingine...
since that day niliuogopa ugolo mpaka leo nikiuona nasisimka sitaki mazoea nao kabsa......ila bia napiga kama kawa sina dalili za kuacha hazijawi nitenda...nikionaga dalili za kulewa nakabidhi simu na wallet kaunta nawaambia wanipe hela ya nauli tuu had kesho[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]kumbeeeUmenitamanisha konyagi gafla..ngoja nikanunue viwili niweke kwenye chupa ya maji watu waone nagonga maji[emoji23][emoji23]
Ledada hiyo picha uliyoweka hapo ni yako kabisa??[emoji23][emoji23][emoji23]kumbeee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti mapafu ya kiume[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimeshaacha thoughHatuwezi jaribu kila kitu vya dunia, [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kuna vingine ukijiribu vinakutia ulevi wa milele unakua teja, konyagi ni ngumu sana yaani kwa kifupi una mapafu ya kiume kuweza kunywa konyagi
Niringe[emoji849][emoji1787]Ledada hiyo picha uliyoweka hapo ni yako kabisa??
Hili nakuunga mkono.Nilichogundua wengi wenu mnakunywa pombe wakati tumbo halina kitu, Mara nyingi pombe huchanganya haraka sana kichwani kama tumbo halina kitu huo ni ukweli na nimeufanyia tafiti
Nakuja kuiona yako Pm [emoji1][emoji39][emoji39][emoji39]Niringe[emoji849][emoji1787]
Karibu sana ila usikimbie[emoji1787]Nakuja kuiona yako Pm [emoji1][emoji39][emoji39][emoji39]
Hakika mkuu, ndiyo maana wengi wao hapa wanaishia kutapika na kuzichukia vinywajiHili nakuunga mkono.
Pili baada ya tungi uhakikishe chupa mbili za maji unazikata mdogo mdogo.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti mapafu ya kiume[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimeshaacha though