Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Kuna kipindi nilikuwa napenda kunywa amarula occasionally na hasa nikipata ofa[emoji2957]
Nakumbuka best angu alikuwa na birthday hivyo nikajikoki nikanunua ile kubwa. Tumekula vizuri tukaanza kunywa...mara best akaniambia hii kitu haijachangamka tuchanganye na k vant...yeye ni mtu wa pombe tofauti na mimi...bwana bwana si nikakubali nikawa naweka kidogo kidogo.

Chupa ilivyokaribia kuisha nikashangaa ulimi unakuwa mzito mdomoni[emoji2]Story haziendi tena ikabidi tuite tax. Hatukufika mbali kichefuchefu hiki hapa, mikono mizito sikuweza hata kufungua kioo nikatapikia ndani kwenye miguu...yani nililegea hatari. Dereva akamind akataka tumlipe na ya kuosha gari[emoji2]

Kufika home naona nyota tu nikaingia chooni kwa kutambaa....nilifanikiwa kuvua suruali tu[emoji85]
Tangu siku hiyo mapenzi na amarula yakaisha...nimekuja kuionja mwaka jana baada ya kama miaka 4 hivi ila niliinywa kwa tabu sana so nimeachana nayo.
Kosa la amarula ni lipi hapo.....
 
Spirit yoyote ikiongozwa na K-vant kuchanganya na safari. Asubuhi ni kama 🔨 inagonga kichwani. Kumbukumbu jinsi ulivyofika nyumbani hakuna unakumbuka mlipokaa tu lakini njia, usafiri,kuoga kulala memory inacorrupt kabisa
 
Spirit yoyote ikiongozwa na K-vant kuchanganya na safari. Asubuhi ni kama [emoji375] inagonga kichwani. Kumbukumbu jinsi ulivyofika nyumbani hakuna unakumbuka mlipokaa tu lakini njia, usafiri,kuoga kulala memory inacorrupt kabisa
Me nilichanganya na wine nilijuta
 
Umeshawahi kuwa baunsa na hujawahi hata kwenda gym kwa bahati mbaya?

Ni ile siku nimekunywa Konyagi,bwana kuna hali flani nilikua najiona kama

yule jamaa kwenye bapa la konyagi,Mimi ndio nataka kusikilizwa tu,tunarudi hostel

nafikishwa nnje hostel ilikua imezungushiwa senyenge,kupita ni lazima uiname uingie

kwani Baunsa mimi nataka kuinama sasa,yani naiambia senyenge inipishe mi nataka kupita

Buraza hiyo siku Ni yule mpenzi nliekua nae tu ndie alietumia akili nikajikuta kitandani,ila unafkiri

iliishia hapo? nilitapika nadhani bado kidogo nitapike utumbo,maana macho yalinitoka si kawaida..Kampani mbaya asee...
😂😂🤣🤣 Halafu pombe bila kampani hainogi hata. Mkiwa wengi ndio inanoga bana.
 
Desperados - niliipenda ila hapana kwa sasa, ilibaki padogo nitapikie BENNETON GEMS Sea cliff i halafu pombe yenyewe sikuinywa hapo imagine mtu unaingia unafikia kutapika Uzuri tu ukimaliza ukuta wa gems uko toilet nilitapika jamani hee sitasahau macho yakawa yana maji maji kama nalia afu watu wananiambia Ooh so sorry [emoji23][emoji23] aibu kama nini...
SERENGETI LITE - Chungu ,mbaya sauti ilibadilika nikawa naongea kama mwanaume
Wewe ni melvi kunishinda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ilikuwaje kaka [emoji23]
Huyo Vodka nilikua namnywa kistaarabu tu
tena nilikua na mix na Bitter Lemon nilipokosea ni pale muda wa pindi umekaribia ilikua imebaki kama nusu chupa ile mimi nikainywa halafu fundo kubwa wakati huo tayari nishamaliza kama chupa mbili hiyo ilikua ya tatu. Nikaingia class yan ile nimetulia tu nikaanza kuhisi kutapika nikajikaza ila ilinishinda kwa bahati nzuri madarasa ya Mzumbe baadhi yana milango mbele na nyuma so nilikua back bench ikawa rahisi kutoka. Washikaji walinicheka sana kwa jinsi nilivyokua naweweseka kabla sijaamua kutoka class nilijisikia aibu mno.

Kilichonifanya niichukie zaidi Vodka mimi toka kitambo nilisha ikataa ila siku hiyo sijui ilikuaje mpaka nikanywa kiasi hicho na toka siku hiyo sijaigusa tena mpaka leo yapata miaka 4.
 
Huyo Vodka nilikua namnywa kistaarabu tu
tena nilikua na mix na Bitter Lemon nilipokosea ni pale muda wa pindi umekaribia ilikua imebaki kama nusu chupa ile mimi nikainywa halafu fundo kubwa wakati huo tayari nishamaliza kama chupa mbili hiyo ilikua ya tatu. Nikaingia class yan ile nimetulia tu nikaanza kuhisi kutapika nikajikaza ila ilinishinda kwa bahati nzuri madarasa ya Mzumbe baadhi yana milango mbele na nyuma so nilikua back bench ikawa rahisi kutoka. Washikaji walinicheka sana kwa jinsi nilivyokua naweweseka kabla sijaamua kutoka class nilijisikia aibu mno.

Kilichonifanya niichukie zaidi Vodka mimi toka kitambo nilisha ikataa ila siku hiyo sijui ilikuaje mpaka nikanywa kiasi hicho na toka siku hiyo sijaigusa tena mpaka leo yapata miaka 4.
Pole sana broh! Me naisi nikipiga kileo nikaingia class sitaelewa chochote anachofundisha lecturer
 
kidogo sana
nilikunywaga Jameson ilinichukua yani pombe zina wenyewe jamani
Mwanamke anaekunywa pombe. Kwa kiasi huwa nawakubali, maana ni ngumu sana mjikute mnagombana, mnakua marafiki kinoma na mtu wako, huwa kuna karaha sana, ila tu awe anakunywa kiasi tu na sio tilalilad [emoji38][emoji38]
 
sijawai tumia ugolo...kuna siku niko chuo nilikunywa safari nyingi sana sasa kuna mwana akanambia G em onja na ugolo nikasema letee....kuweka mdomoni nikameza basi weeee kichwa ilizunguka kubabeeek watz wenzangu nikawa nawaona kama wachina.....msobe msobe had hostel nikasema ngoja niende toilet ile kuona sink kutapika hukoo


huwez amini niliegamia lile sink saa 2 usiku had kesho asubuhi nimepitiwa usingz mzto...uzuri nilifunga mlango wa chooni so mtu akija anajua kuna mtu anaenda choo kingine...


since that day niliuogopa ugolo mpaka leo nikiuona nasisimka sitaki mazoea nao kabsa......ila bia napiga kama kawa sina dalili za kuacha hazijawi nitenda...nikionaga dalili za kulewa nakabidhi simu na wallet kaunta nawaambia wanipe hela ya nauli tuu had kesho[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom