Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Desperados - niliipenda ila hapana kwa sasa, ilibaki padogo nitapikie BENNETON GEMS Sea cliff i halafu pombe yenyewe sikuinywa hapo imagine mtu unaingia unafikia kutapika Uzuri tu ukimaliza ukuta wa gems uko toilet nilitapika jamani hee sitasahau macho yakawa yana maji maji kama nalia afu watu wananiambia Ooh so sorry [emoji23][emoji23] aibu kama nini...
SERENGETI LITE - Chungu ,mbaya sauti ilibadilika nikawa naongea kama mwanaume
Serengeti lite hata watoto wanaweza kunywa..haina uchungu wowote.

Sema wewe tu sista duu..
 
Umeshawahi kuwa baunsa na hujawahi hata kwenda gym kwa bahati mbaya?

Ni ile siku nimekunywa Konyagi,bwana kuna hali flani nilikua najiona kama

yule jamaa kwenye bapa la konyagi,Mimi ndio nataka kusikilizwa tu,tunarudi hostel

nafikishwa nnje hostel ilikua imezungushiwa senyenge,kupita ni lazima uiname uingie

kwani Baunsa mimi nataka kuinama sasa,yani naiambia senyenge inipishe mi nataka kupita

Buraza hiyo siku Ni yule mpenzi nliekua nae tu ndie alietumia akili nikajikuta kitandani,ila unafkiri

iliishia hapo? nilitapika nadhani bado kidogo nitapike utumbo,maana macho yalinitoka si kawaida..Kampani mbaya asee...
 
Kuna kipindi nilikuwa napenda kunywa amarula occasionally na hasa nikipata ofa[emoji2957]
Nakumbuka best angu alikuwa na birthday hivyo nikajikoki nikanunua ile kubwa. Tumekula vizuri tukaanza kunywa...mara best akaniambia hii kitu haijachangamka tuchanganye na k vant...yeye ni mtu wa pombe tofauti na mimi...bwana bwana si nikakubali nikawa naweka kidogo kidogo.

Chupa ilivyokaribia kuisha nikashangaa ulimi unakuwa mzito mdomoni[emoji2]Story haziendi tena ikabidi tuite tax. Hatukufika mbali kichefuchefu hiki hapa, mikono mizito sikuweza hata kufungua kioo nikatapikia ndani kwenye miguu...yani nililegea hatari. Dereva akamind akataka tumlipe na ya kuosha gari[emoji2]

Kufika home naona nyota tu nikaingia chooni kwa kutambaa....nilifanikiwa kuvua suruali tu[emoji85]
Tangu siku hiyo mapenzi na amarula yakaisha...nimekuja kuionja mwaka jana baada ya kama miaka 4 hivi ila niliinywa kwa tabu sana so nimeachana nayo.
Pole sana Kvant sio ya kichanganya na pombe nyengine [emoji23]
 
K-vant aisee hapana.


Nilifika home hata sijui nimefikaje hapo katikati sikumbuki chochote, zaidi nilichokumbuka kuwa jana yake nilikosea nyumba. Nikataka kuingia kwa mwingine nasikia mtu ndani anauliza nani? Nikajua hapa nimechanganya madesa.[emoji23][emoji23]
Ndio ilikuwa mwanzo na mwisho kuchanganya k vant na bia.
Jaribu kuchanganya na wine
 
Nilichogundua ni kwamba watu wengi hawajui matumizi sahihi ya spirit,hawatofautishi na beer.mnajimiminia tu

NB:bia bingwa weka mbali na watoto, yaani hata ukisema nitoe lock tu yenyewe inakuharibia siku nzima
Ina hangover sana?
 
Desperados - niliipenda ila hapana kwa sasa, ilibaki padogo nitapikie BENNETON GEMS Sea cliff i halafu pombe yenyewe sikuinywa hapo imagine mtu unaingia unafikia kutapika Uzuri tu ukimaliza ukuta wa gems uko toilet nilitapika jamani hee sitasahau macho yakawa yana maji maji kama nalia afu watu wananiambia Ooh so sorry [emoji23][emoji23] aibu kama nini...
SERENGETI LITE - Chungu ,mbaya sauti ilibadilika nikawa naongea kama mwanaume
Njoo tunywe serengeti [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Kuna kipindi nilikuwa napenda kunywa amarula occasionally na hasa nikipata ofa[emoji2957]
Nakumbuka best angu alikuwa na birthday hivyo nikajikoki nikanunua ile kubwa. Tumekula vizuri tukaanza kunywa...mara best akaniambia hii kitu haijachangamka tuchanganye na k vant...yeye ni mtu wa pombe tofauti na mimi...bwana bwana si nikakubali nikawa naweka kidogo kidogo.

Chupa ilivyokaribia kuisha nikashangaa ulimi unakuwa mzito mdomoni[emoji2]Story haziendi tena ikabidi tuite tax. Hatukufika mbali kichefuchefu hiki hapa, mikono mizito sikuweza hata kufungua kioo nikatapikia ndani kwenye miguu...yani nililegea hatari. Dereva akamind akataka tumlipe na ya kuosha gari[emoji2]

Kufika home naona nyota tu nikaingia chooni kwa kutambaa....nilifanikiwa kuvua suruali tu[emoji85]
Tangu siku hiyo mapenzi na amarula yakaisha...nimekuja kuionja mwaka jana baada ya kama miaka 4 hivi ila niliinywa kwa tabu sana so nimeachana nayo.
Halafu si wanasema amarula inapandisha genye kifala nyie ilikuaje
 
Back
Top Bottom