Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Serengeti lite hata watoto wanaweza kunywa..haina uchungu wowote.Desperados - niliipenda ila hapana kwa sasa, ilibaki padogo nitapikie BENNETON GEMS Sea cliff i halafu pombe yenyewe sikuinywa hapo imagine mtu unaingia unafikia kutapika Uzuri tu ukimaliza ukuta wa gems uko toilet nilitapika jamani hee sitasahau macho yakawa yana maji maji kama nalia afu watu wananiambia Ooh so sorry [emoji23][emoji23] aibu kama nini...
SERENGETI LITE - Chungu ,mbaya sauti ilibadilika nikawa naongea kama mwanaume
Sema wewe tu sista duu..