Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Kuna kipindi nilikuwa napenda kunywa amarula occasionally na hasa nikipata ofa[emoji2957]
Nakumbuka best angu alikuwa na birthday hivyo nikajikoki nikanunua ile kubwa. Tumekula vizuri tukaanza kunywa...mara best akaniambia hii kitu haijachangamka tuchanganye na k vant...yeye ni mtu wa pombe tofauti na mimi...bwana bwana si nikakubali nikawa naweka kidogo kidogo.

Chupa ilivyokaribia kuisha nikashangaa ulimi unakuwa mzito mdomoni[emoji2]Story haziendi tena ikabidi tuite tax. Hatukufika mbali kichefuchefu hiki hapa, mikono mizito sikuweza hata kufungua kioo nikatapikia ndani kwenye miguu...yani nililegea hatari. Dereva akamind akataka tumlipe na ya kuosha gari[emoji2]

Kufika home naona nyota tu nikaingia chooni kwa kutambaa....nilifanikiwa kuvua suruali tu[emoji85]
Tangu siku hiyo mapenzi na amarula yakaisha...nimekuja kuionja mwaka jana baada ya kama miaka 4 hivi ila niliinywa kwa tabu sana so nimeachana nayo.
Hapa saa 9 kule saa 8. Uje uniambie ni nini inakufanya usilale usiku wote huo. 😁
 
Aisee hiii pombe tunayokunywa saizi ni hatari
 
Kipindi hicho habari zilikuwa zinatolewa magazetini, nafikiri kati ya bidhaa zinazozalishwa kuzimu na ile ni mojawapo maana ilikuwa inaaibisha na kufedhehesha utu wa mtu kabisa.
Ilikuwa na vizibo vya kijani hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] baba alikuwa analeta kunywea nyumbani!!
 
Hapa saa 9 kule saa 8. Uje uniambie ni nini inakufanya usilale usiku wote huo. [emoji16]
Aiiiii
ebu niwache babe!!
Afu umerudia kale kamchezo kako nimeamua kumwachia Mungu[emoji17]
 
K-vant aisee hapana.


Nilifika home hata sijui nimefikaje hapo katikati sikumbuki chochote, zaidi nilichokumbuka kuwa jana yake nilikosea nyumba. Nikataka kuingia kwa mwingine nasikia mtu ndani anauliza nani? Nikajua hapa nimechanganya madesa.[emoji23][emoji23]
Ndio ilikuwa mwanzo na mwisho kuchanganya k vant na bia.
K vant nimeshaipiga x muda sanaa, inaulevi wa kijinga bora grants, na zingine ila vant, miyeyusho sanaa japo ndio pombe kali niliyoanza kunywa badae najaribu zingine naona mbna hazina tabu kama vant, nikaipiga chini mazima
 
Desperados - niliipenda ila hapana kwa sasa, ilibaki padogo nitapikie BENNETON GEMS Sea cliff i halafu pombe yenyewe sikuinywa hapo imagine mtu unaingia unafikia kutapika Uzuri tu ukimaliza ukuta wa gems uko toilet nilitapika jamani hee sitasahau macho yakawa yana maji maji kama nalia afu watu wananiambia Ooh so sorry [emoji23][emoji23] aibu kama nini...
SERENGETI LITE - Chungu ,mbaya sauti ilibadilika nikawa naongea kama mwanaume
 
Desperados - niliipenda ila hapana kwa sasa, ilibaki padogo nitapikie BENNETON GEMS Sea cliff i halafu pombe yenyewe sikuinywa hapo imagine mtu unaingia unafikia kutapika Uzuri tu ukimaliza ukuta wa gems uko toilet nilitapika jamani hee sitasahau macho yakawa yana maji maji kama nalia afu watu wananiambia Ooh so sorry [emoji23][emoji23] aibu kama nini...
SERENGETI LITE - Chungu ,mbaya sauti ilibadilika nikawa naongea kama mwanaume
Haaahaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]

Inaonesha we ni sista duu
 
Nilichogundua ni kwamba watu wengi hawajui matumizi sahihi ya spirit,hawatofautishi na beer.mnajimiminia tu

NB:bia bingwa weka mbali na watoto, yaani hata ukisema nitoe lock tu yenyewe inakuharibia siku nzima
Mwaga shule ya matumizi sahihi ya spirit watu waache kutapika hovyo..
 
Back
Top Bottom