Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Hiyo haina shida sana ila kuonekana na chupa ya nyagi saa hizi jau sana...Harufu mdomoni konyagi ina harufu
Ukitaka kuua harufu yote kula tu ndizi mbivu
Mimi kauli mbiu yangu siku zote ni "mdomo wa mwanaume unatakiwa usikose harufu ya pombe"[emoji23][emoji23][emoji23]