Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Sawa sawaTofauti yake ni kwamba hizo zina require browser ku run.
Wkt programming language dont require browser. Inakupa uwezo wa kuandika instruction direct to computer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawaTofauti yake ni kwamba hizo zina require browser ku run.
Wkt programming language dont require browser. Inakupa uwezo wa kuandika instruction direct to computer
Unatumia program language zipi kutengeneza software,Good. Lakin unaongea na developer mzoefu.kwa muda mrefu nimekuwa kwenye hiyo field. Nimefanyasha tengeneza softwares ..na systems kibao. Take it from me in the future..programmer atakuwa required kujua language zaid ya moja.
It happens now.
Anyway nikutakie safari njema. Kama una nia utafika mbali
Ukitaka uive kwenye haya mambo inabidi ujitoe kwelikweli usome,uwe mbunifu maana unaweza ukajifunza coding lakini ukashindwa kutengeneza kitu usefulNjia gani ambayo inaweza kuwa rahisi kwa mtu kutengeneza website ?
Sawa kabisa,nazingatia ushauri wenu.Ukitaka uive kwenye haya mambo inabidi ujitoe kwelikweli usome,uwe mbunifu maana unaweza ukajifunza coding lakini ukashindwa kutengeneza kitu useful
Karibu mkuuAsante sana.
Uko sahihi mkuu, ndiyo mana nilimaanisha simple virus, kwa sasa dunia iko mbali sana ambapo waweza tumia technics anti-virus wasikioneKirus kqa batchfile unatengeneza simple virus. Ambae antivirus za kawaida zinamuona. Ww mwenyewe unaweza kisaka kwa cmd na ukakimaliza.
Virus wa sasa wamatengezwa na java, c++.
Hawa wanauwezo wa kuangusha hata mabenki ..stock markets..na kadhalika
Ndiyo, Unaweza japo ni rahisi sana anti-virus kugundua virusi wa aina hiyo, lakini waweza tumia technics simple ambazo anti-virus hawana signatures nazo ukaweza. Anyway it's illegal kutengenezea virus, mind that.Hii nayo hufanyika vipi na naweza kutumia notepad hiyo hiyo kutengeneza antvirus ?
Uko sahihiUkitaka uive kwenye haya mambo inabidi ujitoe kwelikweli usome,uwe mbunifu maana unaweza ukajifunza coding lakini ukashindwa kutengeneza kitu useful
Naomba kujuzwa sababu ya hii "Vshost32.exe has stopped working", huwa inasababishwa na nini ktk visual studio?Good. Lakin unaongea na developer mzoefu.kwa muda mrefu nimekuwa kwenye hiyo field. Nimefanyasha tengeneza softwares ..na systems kibao. Take it from me in the future..programmer atakuwa required kujua language zaid ya moja.
It happens now.
Anyway nikutakie safari njema. Kama una nia utafika mbali
Inatokana na visual studio hosting process kushindwa kufanya kazi on particular project.Naomba kujuzwa sababu ya hii "Vshost32.exe has stopped working", huwa inasababishwa na nini ktk visual studio?
Depends with project yenyewe ikoje. Si kila project unatumia language moja . Kila language ina disadvantages na advantages.Unatumia program language zipi kutengeneza software,
Basi sawa, javascript kwenye web programming maana yake ni unadeal na client side sio server sideDepends with project yenyewe ikoje. Si kila project unatumia language moja . Kila language ina disadvantages na advantages.
So kujib swali lako kwanza Java, Python, C++,C#
Kwa web apps natembea na java scripts sana.
Mkuu kwenye wep app unatembea sana na java script, una maana gani? Kwamba unatumia java script pekee? (which is not possible) au mimi ndiyo sijaelewa??Depends with project yenyewe ikoje. Si kila project unatumia language moja . Kila language ina disadvantages na advantages.
So kujib swali lako kwanza Java, Python, C++,C#
Kwa web apps natembea na java scripts sana.
Nashukuru kwa muongozoInatokana na visual studio hosting process kushindwa kufanya kazi on particular project.
So unachofanya hapa ni ku disable "visual studio hosting process"
Iko kwenye project properties
Namaanisha web app. Sio app. Nadhani ujasoma vizuri.Mkuu kwenye wep app unatembea sana na java script, una maana gani? Kwamba unatumia java script pekee? (which is not possible) au mimi ndiyo sijaelewa??
Type uzoefu wako mkuu kuhusu python inaweza kutengeneza robust appNapambana na python
Good. Lakin unaongea na developer mzoefu.kwa muda mrefu nimekuwa kwenye hiyo field. Nimefanyasha tengeneza softwares ..na systems kibao. Take it from me in the future..programmer atakuwa required kujua language zaid ya moja.
It happens now.
Anyway nikutakie safari njema. Kama una nia utafika mbali