Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
- Thread starter
-
- #81
Unazijua programming lang zipi mkuuProgrammer siku zote hachagui language ndo mana akaitwa programmer yeye anaface project na kutumia language uliyopo mda huo kwenye project
Jifunze language Moja in deep hapo ni sawa umejua zote misingi ni ile ile (C++ ukiijua in deep ushamalza kla kitu)
languages zinatifautiana kwenye performance akuna language duniani iliyopo 100% perfect case hii inasababisha kutumia language nyingi kufanya project moja
nlijifunza na c na c++Unazijua programming lang zipi mkuu
Learn Python in one dayHabari niko pekee yaani siko na uwezo au mtu wa kunifunza, je naweza kusoma lugha gani
Ambao mmeanza from scratch ni vyema muweke na vitabu mlivyo soma sio lazima pdf mnaeza weka jina tu lakitabu sisi wafia tech tukajitaftia maana nasoma naona mzozo yani inshort amjasolve problm hata uku mtufanye tuwe wengi mbona wengi wetu tuna passion nzuri tu ya kujifunza utajiskiaje kesho ukawa vip wangu kwa kukualika katika uzinduzi wa kampuni yangu
Help those who need maguru wa programming msizozane saidianeni
Hivi kuna borland c++ IDE ya kurahisisha kutengeneza App yaani ambayo inakuwezesha kudrag na kudrop controls kama textbox na buttons kwenye form .nlijifunza na c na c++
kuna project nkafanya na java na ingine c#
una adapt tu language huna haja ya kujua zote
Mpwa kazana programing wekeza muda mwingi kujifunza , haswa unapotoa darasani hakikisha unatumia hata nusu saa kurudia , pia CSS and JavaScript hakikisha unazielewa vema .Nipo katika safari ndefu ya kujifunza computer programming.Sasa hivi ninajifunza Fortran na c++.Fortran ni kifupi cha Formula Translation. Fortran ni language ambayo ni very powerful na application zake zinatumika kwenye systems zinazodeal na scientific na engineering computations Yaani mahali panapohitajika mathematical calculations nyingi mfano kwenye mambo ya anga
Nipo kwenye level ya kuanza.Hapo chini ni code na output windows zinazoonyesha matokeo ya ufanyaji kazi wa code hizo baada ya ku compile code kwenda kwenye Machine Language na kuzirun.Namna nzuri ya kuanza kujifunza programming ni kuanza kutengeneza Console Applications ambazo program input na output zinakuwa
Kwenye DOS window kama inavyoonekana hapo chini
Program 1
View attachment 1467243
View attachment 1467245
Program 2
View attachment 1467246
View attachment 1467248
Program 3
View attachment 1467249
View attachment 1467250
Program 4 c++ program
View attachment 1467254
View attachment 1467255
Program 5
View attachment 1478835
View attachment 1478840
Program 6
View attachment 1481505
View attachment 1478844
Ndio nimeanza kujifunza chifu,hata hao wanaotengeneza application kubwa walianza kujifunza kwa level ya chini.kuna watu wamemaliza BSc in Comp Science hata kuandika mistari ya code kama hiyo hawawezi.Hapa nimesoma kidogo tu lakini nimetengeza kitu useful nikichimba zaidi nitafika mbali chief
OkHahahha,wabongo bana eti kuandika vicode vichache ushaanza kuwasema watu na taaluma zao kujifunza code peke yako ndani it’s not enough,kuna mambo mengi ya coding ambayo yatahitaji general knowledge ya computer mara nyingi utapata ukiwa college
Yup mpwa nazingatia hayoMpwa kazana programing wekeza muda mwingi kujifunza , haswa unapotoa darasani hakikisha unatumia hata nusu saa kurudia , pia CSS and JavaScript hakikisha unazielewa vema .
Unataka kusoma programming gani mkuuAmbao mmeanza from scratch ni vyema muweke na vitabu mlivyo soma sio lazima pdf mnaeza weka jina tu lakitabu sisi wafia tech tukajitaftia maana nasoma naona mzozo yani inshort amjasolve problm hata uku mtufanye tuwe wengi mbona wengi wetu tuna passion nzuri tu ya kujifunza utajiskiaje kesho ukawa vip wangu kwa kukualika katika uzinduzi wa kampuni yangu
Help those who need maguru wa programming msizozane saidianeni
Hii code yako itarun kweli nikii compile?int main(){
cout<<"you are so hot";
}