Tetesi: Ni rafiki wa Mpinzani wake aliyeitwa Nyumba nyeupe kuokoa jahazi

Tetesi: Ni rafiki wa Mpinzani wake aliyeitwa Nyumba nyeupe kuokoa jahazi

Duh..
huu uzi nahisi asilimia 89 ya waliochangia ni makachero alafu hawafahamian na wapo kwenye idara tofaut tofaut..

hapa UVCCM mchumia tumbo hawezi kuelewa hata kidogo..
ahaha ahah
NI KWELI MAGONJWA MTAMBUKA KAVURUGWA HAJUI AANZIE WAPI? THE THREAD IS COMPLEX BEYOND LEVEL OF UNDERSTANDING !!! FOR COMMONERS LIKE MAGONJWA MTAMBUKA
 
Kuna wabobezi wa masuala haya kama kaka yetu Evarist Chahali watadadavua tetesi tulizopata hizi

Nimepenyezewa kwamba mwaka 2015 bwana mkubwa ambaye anaongoza visiwa vya Guam alikuwa na ushindani na mmoja ambaye rafiki yake wa karibu alikuwa mkuu wa FBI ya weusi,

Leo asubuhi ameonekana viunga vya Nyumba nyeupe na lengo lilikuwa ni kutimiza wito ili kupewa majukumu ya kumaliza mchezo unaotaka kuanzishwa na mzee wa cashew nuts

Mbaya zaid kampa makaratasi yenye report fulani mzee wa Guam

Naishia hapa GENTAMYCINE
Mkuu Britanicca, kama kuna mtu anastahili tuzo hapa JF basi kwa hakika ni wewe maana ninaweza kutamka bila shaka kuwa ni mtu unayeongoza katika kutufungua macho kuhusu matukio mbalimbali yajayo. Na kizuri zaidi, umejikita zaidi katika kuhabariaha kuliko kupiga propaganda.

Kwa bahati mbaya kwa Tanzania yetu mtu hawezi kupewa pongezi anazostahili mpaka atutoke, na mfano hai ni kwa Marehemu Ruge. Basi naomba nitumie fursa hii kukupongeza muda huu ambapo naamini pongezi hizi sio zitakuwa na maana zaidi (badala ya kusubiri ututoke, God forbid) bali pia ili zikupe hamasa ya kuendelea na utumishi wako bora kabisa kwa jamii kupitia maandiko yako.

Hongera sana na asante sana. This is from the bottom of my heart

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Britanicca, kama kuna mtu anastahili tuzo hapa JF basi kwa hakika ni wewe maana ninaweza kutamka bila shaka kuwa ni mtu unayeongoza katika kutufungua macho kuhusu matukio mbalimbali yajayo. Na kizuri zaidi, umejikita zaidi katika kuhabariaha kuliko kupiga propaganda.

Kwa bahati mbaya kwa Tanzania yetu mtu hawezi kupewa pongezi anazostahili mpaka atutoke, na mfano hai ni kwa Marehemu Ruge. Basi naomba nitumie fursa hii kukupongeza muda huu ambapo naamini pongezi hizi sio zitakuwa na maana zaidi (badala ya kusubiri ututoke, God forbid) bali pia ili zikupe hamasa ya kuendelea na utumishi wako bora kabisa kwa jamii kupitia maandiko yako.

Hongera sana na asante sana. This is from the bottom of my heart

Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU CHAHALI HABARI USCOHI ??
 
Membe ataingia chadema kwaushawishi wa nyalandu kisha chadema wata bow down na kumpa kijiti,lisu atamaindi lkn atapewa ahadi ya uwaziri mkuu na uenyekiti wa chama. M Atatimua vumbi lakini magufull atapita kimbinde... Utatafutwa muafaka wa kitaifa ndipo Lissu atapokuwa waziri wa sheria na mbowe wa maji...isivyotegemewa upinzani watapata viti vya ubunge zaidi ya vile vya 2015. Utabiri utaendelea...

Chadema kumpokea tena Membe huo utakua ni utaahira 1st class,kama hawajifunza kwa Lowassa then hawatajifunza tena aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ule ulikuwa mpango wa system
kuhakikisha nchi inapata rais asiye mla rushwa. Lowasa ilikuwa lazima apelekwe upinzani ili kuua kabisa. Sasa kazi ilisha isha ni kula bata tu, mbow yupo segerea lupango anahudumia hahahah
Hakika
 
Membe angekuwa smart, angemaliza tofauti na Edo kwanza then ndiyo aliamshe...........
Hapa naona JPM anatumia majeshi ya kukodi toka kwa Team Edo........
Duu !! Kumbe Mh. Membe kawa tishio kwenye chama chetu kiasi kwamba yatulazimu tutumie nguvu kubwa kwa namna hii.
 
Back
Top Bottom