Ni rahisi kusema Simba na Yanga ila inaleta ukakasi ukisema Yanga na Simba, kwanini?

Ni rahisi kusema Simba na Yanga ila inaleta ukakasi ukisema Yanga na Simba, kwanini?

Kolo umeandika ujinga Mtupu...Ilogical
Haya tupate ujumbe kutoka kwa Wadhamini wetu
 

Attachments

  • images (91).jpeg
    images (91).jpeg
    56.4 KB · Views: 3
Uenda inafata Alphabetical order ya herufi inaanza S inafatiwa na Y hvo inatamkika kwa umaeridad mzur ukianza na simba ukimalizia na Yanga.
 
Tanzania nzima wapenda mpira huanza kuitaja simba kisha yanga na wala hawaanzi na yanga kisha simba huo ndio ukweli. Uzi tayari.
Sababu ni Ladies & Gentlemen, hahahahaha natania kidogo ila alphabetically inaanza S halafu Y ipo karibu na mwisho kabisa
 
Ni rahisi kusema baba na mama na ni ukakasi kusema mama na baba..

Sinba ndy baba wa soka wa taifa hili.
 
Kabla ya ku comment nikaangalia jukwaa ambalo uzi umefunguliwa. sasa niandike tu jamii forum sasa imekua Facebook inayochangamka.
 
Back
Top Bottom