Ni rahisi kutimiza anachokitaka shetani lakini sio Mwanamke.

Ni rahisi kutimiza anachokitaka shetani lakini sio Mwanamke.

Juzikati hapa nilisafiri na manzi mmoja kwenda Dodoma kufanya field practices.Huyo manzi mwenyewe huwa sina mazoea nae sana nikiwa chuo.Ilitokea tu nikakaa nae siti moja bahati nzuri zaidi sehemu tuliyokuwa tunaenda kufanya field ni sehemu moja nje kidogo ya Dodoma mjini.

Njiani nimepiga nae story nyingi tu.Katika baadhi ya maongezi alinambia anapenda mwanaume anayemheshimu na sio wale wa kuuchezea mwili wake hovyohovyo.Akaendelea akasema hayupo tayari kumvulia chupi mwanaume aliyeanzisha nae mahusiano chini ya miezi mitatu.

Nikasema hamna kwere tulifika Dodoma usiku mida ya saa nne usiku.Magari ya kwenda kule tulipokuwa tunaelekea hayakuwepo halafu akawa anasema hela aliyobakiza ni ya nauli tu kufika tulikokuwa tunaenda na hana pa kulala.Ikabidi nifanye ugentleman kidogo kwa kuwa nilikuwa na vipesa kadhaa nilimchukua nikampeleka sehemu akala halafu tukachukua bodaboda mpaka sehemu yenye gesti
fanya yako bob huyo ni boya kama maboya wengne
 
Hivi kwani mkiwa mnaheshimiana ndio hamuwezi kugegedana?

Maana hayo mambo hata kitaani yapo, unaweza ukamtongoza mdada, akakujibu nilikua nakuheshimu sana,
 
Aise usijaribu kumsaidia mwanamke sehemu ya kulala na kumuacha hivyo hivyo bila kupiga game, Lazima tu atakuharibia kwa wanawake wenzake. Mimi niliamua kumsaidia dada mmoja mzim dola nikamwachia chumba nikalala sebleni, akakataa kulala, Mwisho tulilala chumba kimoja kakini mimi nililala chini bila kufanya nae tendo. Asubuhi kufika Job gumzo likawa hilo tu. Sitorudia tena kosa langu
 
Juzikati hapa nilisafiri na manzi mmoja kwenda Dodoma kufanya field practices.Huyo manzi mwenyewe huwa sina mazoea nae sana nikiwa chuo.Ilitokea tu nikakaa nae siti moja bahati nzuri zaidi sehemu tuliyokuwa tunaenda kufanya field ni sehemu moja nje kidogo ya Dodoma mjini.

Njiani nimepiga nae story nyingi tu.Katika baadhi ya maongezi alinambia anapenda mwanaume anayemheshimu na sio wale wa kuuchezea mwili wake hovyohovyo.Akaendelea akasema hayupo tayari kumvulia chupi mwanaume aliyeanzisha nae mahusiano chini ya miezi mitatu.

Nikasema hamna kwere tulifika Dodoma usiku mida ya saa nne usiku.Magari ya kwenda kule tulipokuwa tunaelekea hayakuwepo halafu akawa anasema hela aliyobakiza ni ya nauli tu kufika tulikokuwa tunaenda na hana pa kulala.Ikabidi nifanye ugentleman kidogo kwa kuwa nilikuwa na vipesa kadhaa nilimchukua nikampeleka sehemu akala halafu tukachukua bodaboda mpaka sehemu yenye gesti.Kwa kuwa na mimi sikuwa na mavumba ya kutosha tulichukua chumba kimoja.

Kufupisha story usiku sikumfanya chochote.Tulilala bila kugegedana.Sasa huku field practice imekuwa kero aisee ananisema kwa mamanzi wenzie eti mimi mashine mashine yangu ni zero function sijambandua siku ile.Sasa nawaza huyu mwanamke aliposema anataka mtu wa kumheshimu alimaanisha nini?

Kweli usiamini kila analolisema Mwanamke.Wanawake nyinyi Duuuh!!! Sir God anawaona
Dah mkuu ulifanya kosa la jinai sana
 
Na mm ngoja nkuongezee tu
Mengne hayo ilayataka mwenyewe
Au labda wanawake hujawajua


vzr mambo yao hua n vais vesa
Akisema hatak=anataka
Sasa ww uliremba vuma unachopanda

Kiaz+kiaz+kachumbar+mayai =,,,,,,,,,

Jana hapi
 
We boya kweli aisee mimi binafsi nisingeweza ningetest kwanza kuomba game nione kama yaliyomo yamo na kama angekataa ningemwambia achukue zaga zake akatafute sehemu nyengine ya kulala yani hapo no way lazima ungekula mzigo dogo
 
hata hv huyo demu hukuntamani. umenikumbusha siku nlilala na demu chumba kimoja kwny dabodeka yeye akalala juu mini chini lakini asubui ilivo fika nlijikuta nimeanguka nipo juu alipo lala yeye. ...
 
Eeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kwanza unadhani angekua kamvutia kweli angemuacha hata asimsumbue usiku jamani
Dogo mzinguaji aisee utakua hanisi wewe eti gentleman unalala na mzigo unauangalia tu? .....personal siwezi aisee....sifa ya u gentleman ni kula awe mzuri au mbaya.....dada yako huyo???

Anyway dogo zingatia masomo
 
Back
Top Bottom