Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Nyie watanzania mnawaza ngono na uzishi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongea usichokijuawewe acha wazimu huyo ni expired an example of what i shouldnt have in future, yan ukishaanza kunipa mixed signals, oh babe unajua kila mtu ashinde mechi zake, hua sirudi nyuma, kamwe haitakuja kutokea nikarudiana na ex wangu haijalishi tuliachana vipi
Usishupaze shingo rafiki, ex akija anakuwa msupu sana🤣Hili jambo likitokea anaepoteza ni mwanamke nashukuru sijawahi fanya huu upuuzi
Sio mimi labda iwe copy ya mimiUsishupaze shingo rafiki, ex akija anakuwa msupu sana🤣
Utakuja siku ujaribu halafu uone ulichomiss. Ipite kama miaka mitano hivi, unakutana nalo limenona, woi....siachi!Sio mimi labda iwe copy ya mimi
😀😀sio mimi nimekwambia nikiacha sirudi Dunia iko na watu bilioni kadhaa siwezi kosa dume hata niwe katika hali ganiUtakuja siku ujaribu halafu uone ulichomiss. Ipite kama miaka mitano hivi, unakutana nalo limenona, woi....siachi!
Ila ma ex watamu jaman, especially kama hamjakutana mda mrefu Uk
Nakuunga mkono asilimia 100% Ma-ex wana nafasi yao bhn 😂Ila ma ex watamu jaman, especially kama hamjakutana mda mrefu.
🙆🙆🙆🙆 hili ni tatizo!Ukirudi najua siwezi kukataa, ladha ya ex haina mfano na hivi tumekaa mda🤣
KWanini mwanamke ndo anapoteza?Hili jambo likitokea anaepoteza ni mwanamke nashukuru sijawahi fanya huu upuuzi
Kwenye jukwaa la mahusiano na mapenzi ulitegemea watu wawaze nini?Nyie watanzania mnawaza ngono na uzishi tu.
Ukute na yeye ndo anauhitaji mjegejo uliopakwa mkong na huku kapindishwa mgongo na kalibinua wowowo linatazama juu..!! Wallah mtarudiana.Nikirudiana na ex wangu nampakia mkongo 🚶🚶🚶🚶
Nitaacha zile kifo cha Mende nampindisha mgongo 🚶🚶🚶🚶
We jisemeshe tu..!! muulize Mahondaw atakusimulia kudadadekiii😀😀sio mimi nimekwambia nikiacha sirudi Dunia iko na watu bilioni kadhaa siwezi kosa dume hata niwe katika hali gani
Weeeee kumbe una xEx wangu ERoni unasemaje?
Sina kwakweli, ogopa matapeli🤣Weeeee kumbe una x
Ningeshangaa anakuwezaje labdaSina kwakweli, ogopa matapeli🤣