Ni rasmi CCM wapo kwenye Panic Mode

Ni rasmi CCM wapo kwenye Panic Mode

Ila nikisoma comments zako between the lines tangu Lissu awe mwenyekiti na feel kwa kiasi gani unaumia mzee🤣🤣🤣

Ndo maisha lakini. Hakuna marefu yasiyo na ncha. Hata CHADEMA kuna maisha tu najua kuna siku utaamia tu.
Yaani Mimi naumia kuliko Mwamba wenu Mbowe? 😂😂

Ni hivi , Kibaraka Lisu mumemtoa Jupiter hakuwepo 🇹🇿? 😁😁
 
Wajue Watanzania wamechoka na uchawa wanataka kazi, kazi na watu wa kazi na sii wala kwa urefu wa kamba.
Kiburi tu. Unadhani hawajui? Ila mwaka huu wanalo.

Ninavyomjua Lissu mie😅😅😅
 
Yaani Mimi naumia kuliko Mwamba wenu Mbowe? 😂😂

Ni hivi , Kibaraka Lisu mumemtoa Jupiter hakuwepo 🇹🇿? 😁😁
Unaumia kwa kuwa uchawa kwao umegonga mwamba,na posho soon zinaenda kufa,kwani wanaona ni dalili ya kushindweni kuwapigania vyema.
 
Unaumia kwa kuwa uchawa kwao umegonga mwamba,na posho soon zinaenda kufa,kwani wanaona ni dalili ya kushindweni kuwapigania vyema.
Yaani aache kuumia Mwamba Mbowe na chawa wake Boni yai aje kuumia Choice? Hauko serious.

Nasisitiza ana jipya gani huyo ambae hakuwepo 🇹🇿 mumemtoa huko Mars? 😂😂
 
Yaani aache kuumia Mwamba Mbowe na chawa wake Boni yai aje kuumia Choice? Hauko serious.

Nasisitiza ana jipya gani huyo ambae hakuwepo 🇹🇿 mumemtoa huko Mars? 😂😂
Vipi Tlatlaah na Luca nao hawajaumia?
 
Yaani Mimi naumia kuliko Mwamba wenu Mbowe? 😂😂

Ni hivi , Kibaraka Lisu mumemtoa Jupiter hakuwepo 🇹🇿? 😁😁
Nashauri muombe kuongezewa posho kwani kazi ishaanza kuwa ngumu ili mpate energy ya kubwabwaja vizuri msije mkafa na njaa.
 
Sasa naamini kabisa kuwa CCM hawakujipanga na ujio wa Lissu. Suala la Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA limewashtua na limewaumiza hakika!

Kuanza kurudi kwa ma propagandists wa siku nyingi humu jamvini kama makada Ritz Laki Si Pesa ni ushahidi tosha kuwa Chama cha Mapinduzi kina hali mbaya sasa. Hii inaonesha tu, hadi mitandaoni wameona watu wao kina Lucas Mwashamba ChoiceVariable @Tlaatha na wengineo wameshindwa kazi.

Napenda kuwaambia Chama Cha Mapinduzi. Haya yanayotokea ni lazima yatokee kwa sababu wakati haupo upande wao.

Natembea mitaani, nazungumza na watu, kusema kweli uchaguzi wa CHADEMA umebadilisha sana fikra za watanzania na sasa wameanza kukiona CHADEMA kama chama kilichofuzu na kinachostahili kukamata dola.

Ni vizuri sasa wajiandae pia kuwa Chama Pinzani au kama wakilazimisha wajiandae siku kuwa na Serikali ya Mseto( Na hili ni endapo TISS wakiamua kuwabeba maana saivi TISS wameanza kupata akili na hawataki tena upuuzi wa wanasiasa wanataka mifumo imara ya kuendesha nchi)

Poleni sana CCM. Lissu ni mpakwa mafuta wa Mungu. Lissu ni zawadi kwa Tanzania. Jueni tu Tanzania itaendelea kuwepo na itastawi zaidi bila nyie.
Kile ambacho Watu hawajui ni kwamba Mungu ana plan na Lissu....!

Kumponya na risasi zote zile 16.....! Lissu ni next President.
 
Sasa naamini kabisa kuwa CCM hawakujipanga na ujio wa Lissu. Suala la Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA limewashtua na limewaumiza hakika!

Kuanza kurudi kwa ma propagandists wa siku nyingi humu jamvini kama makada Ritz Laki Si Pesa ni ushahidi tosha kuwa Chama cha Mapinduzi kina hali mbaya sasa. Hii inaonesha tu, hadi mitandaoni wameona watu wao kina Lucas Mwashamba ChoiceVariable @Tlaatha na wengineo wameshindwa kazi.

Napenda kuwaambia Chama Cha Mapinduzi. Haya yanayotokea ni lazima yatokee kwa sababu wakati haupo upande wao.

Natembea mitaani, nazungumza na watu, kusema kweli uchaguzi wa CHADEMA umebadilisha sana fikra za watanzania na sasa wameanza kukiona CHADEMA kama chama kilichofuzu na kinachostahili kukamata dola.

Ni vizuri sasa wajiandae pia kuwa Chama Pinzani au kama wakilazimisha wajiandae siku kuwa na Serikali ya Mseto( Na hili ni endapo TISS wakiamua kuwabeba maana saivi TISS wameanza kupata akili na hawataki tena upuuzi wa wanasiasa wanataka mifumo imara ya kuendesha nchi)

Poleni sana CCM. Lissu ni mpakwa mafuta wa Mungu. Lissu ni zawadi kwa Tanzania. Jueni tu Tanzania itaendelea kuwepo na itastawi zaidi bila nyie.
huu ni upotoshaji wa kiwango cha ushirikina gentleman.

nadhani ni muhimu kujiepusha na upotoshaji dhaifu na usio na maana yoyote.

Imani potofu sio nzuri wajemeni, ni vizuri kuamini Mungu pekee na sio ushirikiana Mwingine 🐒
 
Sasa naamini kabisa kuwa CCM hawakujipanga na ujio wa Lissu. Suala la Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA limewashtua na limewaumiza hakika!

Kuanza kurudi kwa ma propagandists wa siku nyingi humu jamvini kama makada Ritz Laki Si Pesa ni ushahidi tosha kuwa Chama cha Mapinduzi kina hali mbaya sasa. Hii inaonesha tu, hadi mitandaoni wameona watu wao kina Lucas Mwashamba ChoiceVariable @Tlaatha na wengineo wameshindwa kazi.

Napenda kuwaambia Chama Cha Mapinduzi. Haya yanayotokea ni lazima yatokee kwa sababu wakati haupo upande wao.

Natembea mitaani, nazungumza na watu, kusema kweli uchaguzi wa CHADEMA umebadilisha sana fikra za watanzania na sasa wameanza kukiona CHADEMA kama chama kilichofuzu na kinachostahili kukamata dola.

Ni vizuri sasa wajiandae pia kuwa Chama Pinzani au kama wakilazimisha wajiandae siku kuwa na Serikali ya Mseto( Na hili ni endapo TISS wakiamua kuwabeba maana saivi TISS wameanza kupata akili na hawataki tena upuuzi wa wanasiasa wanataka mifumo imara ya kuendesha nchi)

Poleni sana CCM. Lissu ni mpakwa mafuta wa Mungu. Lissu ni zawadi kwa Tanzania. Jueni tu Tanzania itaendelea kuwepo na itastawi zaidi bila nyie.
Tanzania itaendelea kuwepo na itastawi zaidi bila nyie. Hivi sasa wanatamani wateke yoyote alie against na wao. Shida inabaki watateka nchi nzima?
 
Naona unajitekenya na kujichekesha mwenyewe kama mjinga vile.
Sasa hapa mbona unayeonekana mjinga ni wewe! Kama ungekuwa na weledi japo kidogo, ungekanusha au kukubali kwa kutoa sababu kuliko kuandika vioja!! Mwashambwa, unakwama wapi mpaka kiasi cha kushindwa kujenga hoja?
 
Back
Top Bottom