ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Yaani Mimi naumia kuliko Mwamba wenu Mbowe? 😂😂Ila nikisoma comments zako between the lines tangu Lissu awe mwenyekiti na feel kwa kiasi gani unaumia mzee🤣🤣🤣
Ndo maisha lakini. Hakuna marefu yasiyo na ncha. Hata CHADEMA kuna maisha tu najua kuna siku utaamia tu.
Wamewatafutaje? Kwa kupiga Bil 12 zenu alafu wakampa ushindi Lissu?chadema ndio wanatutafuta uchokozi uzuri chama cha mapinduzi ni kikomavu kisiasa huko tumeshapita ndugu
Wajue Watanzania wamechoka na uchawa wanataka kazi, kazi na watu wa kazi na sii wala kwa urefu wa kamba.Alafu naskia wanavuta parefu kichizi yaaani kwa kuletaga uharo wao humu jamvini
Kiburi tu. Unadhani hawajui? Ila mwaka huu wanalo.Wajue Watanzania wamechoka na uchawa wanataka kazi, kazi na watu wa kazi na sii wala kwa urefu wa kamba.
Unaumia kwa kuwa uchawa kwao umegonga mwamba,na posho soon zinaenda kufa,kwani wanaona ni dalili ya kushindweni kuwapigania vyema.Yaani Mimi naumia kuliko Mwamba wenu Mbowe? 😂😂
Ni hivi , Kibaraka Lisu mumemtoa Jupiter hakuwepo 🇹🇿? 😁😁
Yaani aache kuumia Mwamba Mbowe na chawa wake Boni yai aje kuumia Choice? Hauko serious.Unaumia kwa kuwa uchawa kwao umegonga mwamba,na posho soon zinaenda kufa,kwani wanaona ni dalili ya kushindweni kuwapigania vyema.
Vipi Tlatlaah na Luca nao hawajaumia?Yaani aache kuumia Mwamba Mbowe na chawa wake Boni yai aje kuumia Choice? Hauko serious.
Nasisitiza ana jipya gani huyo ambae hakuwepo 🇹🇿 mumemtoa huko Mars? 😂😂
Luca amesema ameumia Sasa Mimi niumie Kwa lipi wakati sio mwanachama wa Chama chochote ila shabiki wa Samia?Vipi Tlatlaah na Luca nao hawajaumia?
🤣 Mama D nchi inaenda upinzani hivihivi huku mnaona!
Sema nikikucharua unajua kucharuka maana juzi niliona unavyotukanana kumbe sio mama D pia ni mama T...🤣Sio leo sio mwaka huu sio ndani ya miaka50
Nashauri muombe kuongezewa posho kwani kazi ishaanza kuwa ngumu ili mpate energy ya kubwabwaja vizuri msije mkafa na njaa.Yaani Mimi naumia kuliko Mwamba wenu Mbowe? 😂😂
Ni hivi , Kibaraka Lisu mumemtoa Jupiter hakuwepo 🇹🇿? 😁😁
Sema nikikucharua unajua kucharuka maana juzi niliona unavyotukanana kumbe sio mama D pia ni mama T...🤣
NCHI INAENDA UPINZANI
Sio leo sio mwaka huu sio ndani ya miaka50
usijali mpenziHifadhi comment yangu November uniite
Kile ambacho Watu hawajui ni kwamba Mungu ana plan na Lissu....!Sasa naamini kabisa kuwa CCM hawakujipanga na ujio wa Lissu. Suala la Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA limewashtua na limewaumiza hakika!
Kuanza kurudi kwa ma propagandists wa siku nyingi humu jamvini kama makada Ritz Laki Si Pesa ni ushahidi tosha kuwa Chama cha Mapinduzi kina hali mbaya sasa. Hii inaonesha tu, hadi mitandaoni wameona watu wao kina Lucas Mwashamba ChoiceVariable @Tlaatha na wengineo wameshindwa kazi.
Napenda kuwaambia Chama Cha Mapinduzi. Haya yanayotokea ni lazima yatokee kwa sababu wakati haupo upande wao.
Natembea mitaani, nazungumza na watu, kusema kweli uchaguzi wa CHADEMA umebadilisha sana fikra za watanzania na sasa wameanza kukiona CHADEMA kama chama kilichofuzu na kinachostahili kukamata dola.
Ni vizuri sasa wajiandae pia kuwa Chama Pinzani au kama wakilazimisha wajiandae siku kuwa na Serikali ya Mseto( Na hili ni endapo TISS wakiamua kuwabeba maana saivi TISS wameanza kupata akili na hawataki tena upuuzi wa wanasiasa wanataka mifumo imara ya kuendesha nchi)
Poleni sana CCM. Lissu ni mpakwa mafuta wa Mungu. Lissu ni zawadi kwa Tanzania. Jueni tu Tanzania itaendelea kuwepo na itastawi zaidi bila nyie.
Wambie wakuongezee posho kazi imeshaanza kuwa ngumuNaona unajitekenya na kujichekesha mwenyewe kama mjinga vile.
Wenye akili wameshachanganyikiwa nyie kanyelamumo ndiyo mnaona kila kitu kiko powa,mkirushiwa kanga na Tshirt mnaona maisha mumeyapatia.Tundu hawezi mchanganya mtu weee
Wenye akili wameshachanganyikiwa nyie kanyelamumo ndiyo mnaona kila kitu kiko powa,mkirushiwa kanga na Tshirt mnaona maisha mumeyapatia.
huu ni upotoshaji wa kiwango cha ushirikina gentleman.Sasa naamini kabisa kuwa CCM hawakujipanga na ujio wa Lissu. Suala la Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA limewashtua na limewaumiza hakika!
Kuanza kurudi kwa ma propagandists wa siku nyingi humu jamvini kama makada Ritz Laki Si Pesa ni ushahidi tosha kuwa Chama cha Mapinduzi kina hali mbaya sasa. Hii inaonesha tu, hadi mitandaoni wameona watu wao kina Lucas Mwashamba ChoiceVariable @Tlaatha na wengineo wameshindwa kazi.
Napenda kuwaambia Chama Cha Mapinduzi. Haya yanayotokea ni lazima yatokee kwa sababu wakati haupo upande wao.
Natembea mitaani, nazungumza na watu, kusema kweli uchaguzi wa CHADEMA umebadilisha sana fikra za watanzania na sasa wameanza kukiona CHADEMA kama chama kilichofuzu na kinachostahili kukamata dola.
Ni vizuri sasa wajiandae pia kuwa Chama Pinzani au kama wakilazimisha wajiandae siku kuwa na Serikali ya Mseto( Na hili ni endapo TISS wakiamua kuwabeba maana saivi TISS wameanza kupata akili na hawataki tena upuuzi wa wanasiasa wanataka mifumo imara ya kuendesha nchi)
Poleni sana CCM. Lissu ni mpakwa mafuta wa Mungu. Lissu ni zawadi kwa Tanzania. Jueni tu Tanzania itaendelea kuwepo na itastawi zaidi bila nyie.
Tanzania itaendelea kuwepo na itastawi zaidi bila nyie. Hivi sasa wanatamani wateke yoyote alie against na wao. Shida inabaki watateka nchi nzima?Sasa naamini kabisa kuwa CCM hawakujipanga na ujio wa Lissu. Suala la Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA limewashtua na limewaumiza hakika!
Kuanza kurudi kwa ma propagandists wa siku nyingi humu jamvini kama makada Ritz Laki Si Pesa ni ushahidi tosha kuwa Chama cha Mapinduzi kina hali mbaya sasa. Hii inaonesha tu, hadi mitandaoni wameona watu wao kina Lucas Mwashamba ChoiceVariable @Tlaatha na wengineo wameshindwa kazi.
Napenda kuwaambia Chama Cha Mapinduzi. Haya yanayotokea ni lazima yatokee kwa sababu wakati haupo upande wao.
Natembea mitaani, nazungumza na watu, kusema kweli uchaguzi wa CHADEMA umebadilisha sana fikra za watanzania na sasa wameanza kukiona CHADEMA kama chama kilichofuzu na kinachostahili kukamata dola.
Ni vizuri sasa wajiandae pia kuwa Chama Pinzani au kama wakilazimisha wajiandae siku kuwa na Serikali ya Mseto( Na hili ni endapo TISS wakiamua kuwabeba maana saivi TISS wameanza kupata akili na hawataki tena upuuzi wa wanasiasa wanataka mifumo imara ya kuendesha nchi)
Poleni sana CCM. Lissu ni mpakwa mafuta wa Mungu. Lissu ni zawadi kwa Tanzania. Jueni tu Tanzania itaendelea kuwepo na itastawi zaidi bila nyie.
Sasa hapa mbona unayeonekana mjinga ni wewe! Kama ungekuwa na weledi japo kidogo, ungekanusha au kukubali kwa kutoa sababu kuliko kuandika vioja!! Mwashambwa, unakwama wapi mpaka kiasi cha kushindwa kujenga hoja?Naona unajitekenya na kujichekesha mwenyewe kama mjinga vile.