Ni rasmi CCM wapo kwenye Panic Mode

Kwakweli mpakwa mafuta wa ubeligiji
 
Polee sana. Ila Bil 12 ni nyingi sana aisee.

Hivi mlizipata wapi hadi kuwahonga kina Wenje na Sugu?
Kwa bahati mbaya kundi la Lissu mna kiwanda cha kufyatua tuhuma na kejeli. Bahati nzuri ni kuwa chama chenu kimeshajifia kifo cha asili.
 
Unatakiwa kujua bila ku Google.

Ukiwa hujui uka Google pia utakuwa umeongeza msamiati.

Tatizo si mimi, hicho ni Kiingereza cha kawaida tu.

Tatizo ni wewe, hujui hata Kiingereza cha kawaida tu.
Nikijua whatdyudyudyu na how ayuu na kisukuma changu kinanitosha. Uligwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…