inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Duh,inaeleza mengi kuhusu mshikamano ndani ya chamaHata Lissu alikuwa hana nia ya kuwania uenyekiti CHADEMA mpaka Wenje alivyotangaza nia kugombea umakamu mwenyekiti CHADEMA.
Ndiyo Lissu akasema mkimwaga ugali namwaga mboga.
This is serendipity.