Karne 9 zijazo2025 wapinzani wanatakiwa kuunda chama kipya
Kisiwe chadema,cuf,Act,wala chochote
Wapinzani tunatakiwa tuje kivingine
Tufanane fanane na kule south kwa julias malema au uganda kwa bobi wine
Wapinzani tuunde chama cha vijana
Tuje pamoja kama vijana wa upinzani kutoka vyama vyote vya siasa vyenye baraza la vijana
Mbowe,zito,lisu,lema,msigwa,sugu,lipumba nk
Wote hao zilipendwa awana tena mvuto
Kama tukija na mkakati huo 2925 CCM hii ya samia chaliii
Lakini tukileta tena ubinafsi wa chadema,Act,cuf
hakuna mpinzani ataweza kuiangusha ccm kwa sura za hawa wakina lisu,mbowe,lipumba,zito,lema wananchi sio wajinga wataona ni kheri zimwi likujualo kuliko hao wapinzani wachumia Tumbo ...
Nakubaliana na wewe mkuu. CCM kutoka madarakani ni 29252025 wapinzani wanatakiwa kuunda chama kipya
Kisiwe chadema, cuf, Act, wala chochote
Wapinzani tunatakiwa tuje kivingine
Tufanane fanane na kule south kwa julias malema au uganda kwa bobi wine
Wapinzani tuunde chama cha vijana
Tuje pamoja kama vijana wa upinzani kutoka vyama vyote vya siasa vyenye baraza la vijana
Mbowe, zito, lisu, lema, msigwa, sugu, lipumba nk
Wote hao zilipendwa awana tena mvuto
Kama tukija na mkakati huo 2925 CCM hii ya samia chaliii
Lakini tukileta tena ubinafsi wa chadema, Act, cuf
Hakuna mpinzani ataweza kuiangusha CCM kwa sura za hawa wakina lisu,mbowe,lipumba,zito,lema wananchi sio wajinga wataona ni kheri zimwi likujualo kuliko hao wapinzani wachumia Tumbo
Kama CCM itaruhusu wanaccm kuchukua form za uraisi, huyo mama hapitiAsikudanganye kindezi mkuu huyo jamaa. Mama anakubalika sana sana.
Usidanganywe na mitandao. Watanzania hawaishi mitandaoni
Mmmh kiukwel huku mtaan mama hakubaliki kabisa ...mi namsupport lkn mtaan hakubaliki watu hawamuelew kabisa...2025 atapata tabu san
itachapishwa fomu moja tuKama CCM itaruhusu wanaccm kuchukua form za uraisi, huyo mama hapiti
CCM ni chama chenye kuamini na kuheshimu misingi iliyojiwekeaKama CCM itaruhusu wanaccm kuchukua form za uraisi, huyo mama hapiti
Umesahau kuandika mweziNakubaliana na wewe mkuu. CCM kutoka madarakani ni 2925
hahahahaha!Bibie asipotuibia Kura kwa kutumia Wakurugenzi wake waliobobezwa kwenye wizi wa Kura
Mbowe au Lissu asubuhi tu View attachment 1938961
mama kashaanza kunogewa na palace