Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi inaongozwa na mwanamke sasa hao mfumo dume kwann hawajitokezi kupinga?Kwenye fair ground mama hatoki..lkn lzma tufanye figisu...alaf watu weng wanamfumo dume..hawajakubal kuongozwa na mwanamke
Mbona mnapingana wenyewe kwa wenyewe sasaLisu yupi huyo anayeachia Chadema wa ndani wapambane siasa za ndani yeye akila Bata Ulaya akisubiri kuja kugombea na kuondoka kama TX?
OK wewe unasemaje Lisu awe mgombea uraisi wa Chadema 2025? Lete msimamo wako wewe ChademaMbona mnapingana wenyewe kwa wenyewe sasa
Hakuna msingi wowote zaidi ya policeCCM ni chama chenye kuamini na kuheshimu misingi iliyojiwekea
Kwahiyo wanaume mnajiskiaje pindi kina mama wanapoanza kujipanga kuchukua nchi tena 2025!!Kama CCM itaruhusu wanaccm kuchukua form za uraisi, huyo mama hapiti
Nyie ndio mnaua viongozi , si ndio ?Hafiki hio 2025 hakika atakufa!
aftute wazo la kugombe
Na Tayali ishachapwa inasubiri kuprintiwa tuitachapishwa fomu moja tu
Mkuu mtaa wako tu unataka kulinganisha na mitaa yote ya nchi nzima hauko seriousMmmh kiukwel huku mtaan mama hakubaliki kabisa ...mi namsupport lkn mtaan hakubaliki watu hawamuelew kabisa...2025 atapata tabu sana
Lisu hata akipambanishwa na Pole pole ataangukia pua tu. Jamaa ameshindwa kuwashawishi watanzania wakipatie chama chake hata wabunge watano, sembuse uraisi!
Sisi hatupayuki kama ninyiOK wewe unasemaje Lisu awe mgombea uraisi wa Chadema 2025? Lete msimamo wako wewe Chadema
Chadema ili wawin inabidi waanze kujipanga mapema 2022 na 2023 wawe tayari washamwandaa mtu ila wasimuweke Lisu hana mvuto tena!What if kungekuwa na tume huru ya uchaguzi kama kenya au Ghana unafikir hawez kushinda? ?
Nimesema maandalizi yafanyike mapema zije sura mpya sio Dhabi wakijiunga pia na baadhi ya watu wa CCM wasiomuunga mkono mama!2025 wapinzani wanatakiwa kuunda chama kipya
Kisiwe chadema, cuf, Act, wala chochote
Wapinzani tunatakiwa tuje kivingine
Tufanane fanane na kule south kwa julias malema au uganda kwa bobi wine
Wapinzani tuunde chama cha vijana
Tuje pamoja kama vijana wa upinzani kutoka vyama vyote vya siasa vyenye baraza la vijana
Mbowe, zito, lisu, lema, msigwa, sugu, lipumba nk
Wote hao zilipendwa awana tena mvuto
Kama tukija na mkakati huo 2925 CCM hii ya samia chaliii
Lakini tukileta tena ubinafsi wa chadema, Act, cuf
Hakuna mpinzani ataweza kuiangusha CCM kwa sura za hawa wakina lisu,mbowe,lipumba,zito,lema wananchi sio wajinga wataona ni kheri zimwi likujualo kuliko hao wapinzani wachumia Tumbo
Namimi nawaambia hawa akina Lisu, Lipumba ,msigwa,lema ,mbowe ,mbatia na wengine aina hiyo hawana jipya watu walishawachoka. Undeni chama kipya chanye kutetea vijana na muuanzishe movement kwa kutumia mtandao nchi yenu kabisa hii 2025!Wapinzani
Tengenezeni new leaders
Hawa wanaharakati hawawafikishi mbali