Ni rasmi sasa nimeingia kwenye penzi na binti wa duka langu, nichukue tahadhari zipi ili kuepuka shari kamili

Ni rasmi sasa nimeingia kwenye penzi na binti wa duka langu, nichukue tahadhari zipi ili kuepuka shari kamili

Najua tayari hili ni shari na ni heri nusu shari kuliko shari kamili, ni mbinu ipi nitumie mahusiano yetu yawe baina yetu bila kuingiliana kwenye biashara ?
  • Huyu binti wa dukani siwezi kumuoa mimi urefu 6.0 yeye 5.2, nipo zaidi nae kwa fun ila si kimalengo.
  • Nina shughuli yangu kuu, hili duka niliweka mtaji kidogo kwajili ya dogo wa form 4 awe busy bila kujali hasara au faida, japo kwa sasa naona binti kanihamasisha niliendeleze.
Ni juzi niliweka mkasa hapa wa kuomba ushauri juu ya mimi kuzama katika penzi na binti wangu wa dukani mwenye miaka 19 mimi nikiwa nina miaka 28.

Kanuni yangu ya kuajiri huwa ni mabinti wa kawaida tu ambao nywele huwa wananyoa tu, wanavaa sketi, kujipodoa kawaida, n.k. huwa naamini hawa wapo kikazi zaidi kuliko wale wa kubadili misuko, kujipodoa sana, kuvaa jeans zinabana, n.k. hawa huwa naona wana mambo mengi.

Jioni ya majuzi wakati nafunga hesabu geti likiwa limeshushwa, yeye alikuwa ameketi akisubiri kunipa melezo pindi nikihitaji ufafanuzi, ghafla hisia za kimapenzi zikanijia kwa sauti yake nyororo na macho yake yenye aibu pindi tulipokuwa tukiongea na kuonana uso kwa uso, nilimsogelea mwanzoni alileta resistance kuashiria hataki lakini nikamkazia nikaanza kumkiss ila kama hataki ila baada ya dakika hivi nae akaanza kunipa ushirikiano, mambo yalipamba moto nikampakata na kuendelea na maromance mazito huku mtoto akiwa anahema hoi bin taaban!! niliwehuka nilimtomasa na kumminya kimahaba ila tu sikuweza kumaliza kazi (kusex) sababu nilikuwa nimeshusha tu geti.

Basi ndio nikaja humu jf kuomba ushauri kwamba kesho yake nikienda kufunga hesabu nimalize kazi au lah, nikashauriwa nisithubutu na kweli kesho yake nilimueleza binti kwamba ni kashetani tu kalinipitia, nashukuru alinielewa na nikashukuru nimetoka mtegoni, ila sasa siku ya jana, bwana bwana!! nimekaa tunafunga hesabu akili ikafikiria yale yale nikamsogelea binti usoni na muda huu hakukataa, tulifanya romance kidogo tu nikamwambia afunge duka anifuate sehemu flani mimi nilitangulia, huko nilienda kutafuta lodge na kweli alipofikia maeneo ya karibu nikamuelekeza aje nilipo.

Alikuwa anakataa tuingie lodge twende kwangu lakini nikamsomesha akakubali, kufika lodge, basi tuliingia lodge nikamwambia akaoge kwanza, mh!!! ile kavua nguo tu uzalendo ulinishinda jamani, nilivaa mpira wangu nikajipigia danadana kupunguza kipuru ndio akaenda kuoga, aliporudi tena action iliendelea, ni mengi tulifanya ila nifupishe tu.

Binafsi nimemwelewesha kwamba ya jana ilikuwa ni casual tu lakini najua najidanganya kabisa maana sio kwa oven na mnato niliokutana nao jana ule, leo pia nimepanga nifanye revision.

Hadi sasa nina mwanamke ila hatujafunga ndoa na tulipata mtoto, so huyu binti kwangu ni kama vile namuona mchepuko.

Sasa going forward from here najua tayari hili ni shari na ni heri nusu shari kuliko shari kamili, ni mbinu ipi nitumie mahusiano yetu yawe baina yetu bila kuingiliana kwenye biashara?

Pia soma:

Siku kikinuka uje ulete mrejeshon tena. Kuna Bwashemeji wangu kafanya ujinga wa design hiyo hiyo copy na kupaste. Leo hii hana pa kushika tena. Amemuoa dada yangu. wakafungua duka jamaa akaamua kutembea na dada wa dukani. kilichofuata mahesabu dukani yakawa yanavurugika tuu. Kibaya zaidi akaamua kufanya wazi hadi mkewe akajua, na haikuishia hapo akazaa naye akampangia chumba kabisa kama mke wa pili. Ndoa yao iliparanganyika hadi sasa hakieleweki. Dadangu ni muajiriwa na ana mshahara mzuri tuu. akaamua kujitoa kwenye biashara za mumewe zote. sasa hivi jamaa anazidi tu kuzaa na mabinti wengine. huyu mke wa pili ambaye alikuwa muuza duka naye ashatelekezwa kwa maana kila siku wanazaliwa warembo wapya tuu.
 
Najua tayari hili ni shari na ni heri nusu shari kuliko shari kamili, ni mbinu ipi nitumie mahusiano yetu yawe baina yetu bila kuingiliana kwenye biashara ?
  • Huyu binti wa dukani siwezi kumuoa mimi urefu 6.0 yeye 5.2, nipo zaidi nae kwa fun ila si kimalengo.
  • Nina shughuli yangu kuu, hili duka niliweka mtaji kidogo kwajili ya dogo wa form 4 awe busy bila kujali hasara au faida, japo kwa sasa naona binti kanihamasisha niliendeleze.
Ni juzi niliweka mkasa hapa wa kuomba ushauri juu ya mimi kuzama katika penzi na binti wangu wa dukani mwenye miaka 19 mimi nikiwa nina miaka 28.

Kanuni yangu ya kuajiri huwa ni mabinti wa kawaida tu ambao nywele huwa wananyoa tu, wanavaa sketi, kujipodoa kawaida, n.k. huwa naamini hawa wapo kikazi zaidi kuliko wale wa kubadili misuko, kujipodoa sana, kuvaa jeans zinabana, n.k. hawa huwa naona wana mambo mengi.

Jioni ya majuzi wakati nafunga hesabu geti likiwa limeshushwa, yeye alikuwa ameketi akisubiri kunipa melezo pindi nikihitaji ufafanuzi, ghafla hisia za kimapenzi zikanijia kwa sauti yake nyororo na macho yake yenye aibu pindi tulipokuwa tukiongea na kuonana uso kwa uso, nilimsogelea mwanzoni alileta resistance kuashiria hataki lakini nikamkazia nikaanza kumkiss ila kama hataki ila baada ya dakika hivi nae akaanza kunipa ushirikiano, mambo yalipamba moto nikampakata na kuendelea na maromance mazito huku mtoto akiwa anahema hoi bin taaban!! niliwehuka nilimtomasa na kumminya kimahaba ila tu sikuweza kumaliza kazi (kusex) sababu nilikuwa nimeshusha tu geti.

Basi ndio nikaja humu jf kuomba ushauri kwamba kesho yake nikienda kufunga hesabu nimalize kazi au lah, nikashauriwa nisithubutu na kweli kesho yake nilimueleza binti kwamba ni kashetani tu kalinipitia, nashukuru alinielewa na nikashukuru nimetoka mtegoni, ila sasa siku ya jana, bwana bwana!! nimekaa tunafunga hesabu akili ikafikiria yale yale nikamsogelea binti usoni na muda huu hakukataa, tulifanya romance kidogo tu nikamwambia afunge duka anifuate sehemu flani mimi nilitangulia, huko nilienda kutafuta lodge na kweli alipofikia maeneo ya karibu nikamuelekeza aje nilipo.

Alikuwa anakataa tuingie lodge twende kwangu lakini nikamsomesha akakubali, kufika lodge, basi tuliingia lodge nikamwambia akaoge kwanza, mh!!! ile kavua nguo tu uzalendo ulinishinda jamani, nilivaa mpira wangu nikajipigia danadana kupunguza kipuru ndio akaenda kuoga, aliporudi tena action iliendelea, ni mengi tulifanya ila nifupishe tu.

Binafsi nimemwelewesha kwamba ya jana ilikuwa ni casual tu lakini najua najidanganya kabisa maana sio kwa oven na mnato niliokutana nao jana ule, leo pia nimepanga nifanye revision.

Hadi sasa nina mwanamke ila hatujafunga ndoa na tulipata mtoto, so huyu binti kwangu ni kama vile namuona mchepuko.

Sasa going forward from here najua tayari hili ni shari na ni heri nusu shari kuliko shari kamili, ni mbinu ipi nitumie mahusiano yetu yawe baina yetu bila kuingiliana kwenye biashara?

Pia soma:

Nimeanzisha kanisa mtoa mada utakua msoma neno
 
Najua tayari hili ni shari na ni heri nusu shari kuliko shari kamili, ni mbinu ipi nitumie mahusiano yetu yawe baina yetu bila kuingiliana kwenye biashara ?
  • Huyu binti wa dukani siwezi kumuoa mimi urefu 6.0 yeye 5.2, nipo zaidi nae kwa fun ila si kimalengo.
  • Nina shughuli yangu kuu, hili duka niliweka mtaji kidogo kwajili ya dogo wa form 4 awe busy bila kujali hasara au faida, japo kwa sasa naona binti kanihamasisha niliendeleze.
Ni juzi niliweka mkasa hapa wa kuomba ushauri juu ya mimi kuzama katika penzi na binti wangu wa dukani mwenye miaka 19 mimi nikiwa nina miaka 28.

Kanuni yangu ya kuajiri huwa ni mabinti wa kawaida tu ambao nywele huwa wananyoa tu, wanavaa sketi, kujipodoa kawaida, n.k. huwa naamini hawa wapo kikazi zaidi kuliko wale wa kubadili misuko, kujipodoa sana, kuvaa jeans zinabana, n.k. hawa huwa naona wana mambo mengi.

Jioni ya majuzi wakati nafunga hesabu geti likiwa limeshushwa, yeye alikuwa ameketi akisubiri kunipa melezo pindi nikihitaji ufafanuzi, ghafla hisia za kimapenzi zikanijia kwa sauti yake nyororo na macho yake yenye aibu pindi tulipokuwa tukiongea na kuonana uso kwa uso, nilimsogelea mwanzoni alileta resistance kuashiria hataki lakini nikamkazia nikaanza kumkiss ila kama hataki ila baada ya dakika hivi nae akaanza kunipa ushirikiano, mambo yalipamba moto nikampakata na kuendelea na maromance mazito huku mtoto akiwa anahema hoi bin taaban!! niliwehuka nilimtomasa na kumminya kimahaba ila tu sikuweza kumaliza kazi (kusex) sababu nilikuwa nimeshusha tu geti.

Basi ndio nikaja humu jf kuomba ushauri kwamba kesho yake nikienda kufunga hesabu nimalize kazi au lah, nikashauriwa nisithubutu na kweli kesho yake nilimueleza binti kwamba ni kashetani tu kalinipitia, nashukuru alinielewa na nikashukuru nimetoka mtegoni, ila sasa siku ya jana, bwana bwana!! nimekaa tunafunga hesabu akili ikafikiria yale yale nikamsogelea binti usoni na muda huu hakukataa, tulifanya romance kidogo tu nikamwambia afunge duka anifuate sehemu flani mimi nilitangulia, huko nilienda kutafuta lodge na kweli alipofikia maeneo ya karibu nikamuelekeza aje nilipo.

Alikuwa anakataa tuingie lodge twende kwangu lakini nikamsomesha akakubali, kufika lodge, basi tuliingia lodge nikamwambia akaoge kwanza, mh!!! ile kavua nguo tu uzalendo ulinishinda jamani, nilivaa mpira wangu nikajipigia danadana kupunguza kipuru ndio akaenda kuoga, aliporudi tena action iliendelea, ni mengi tulifanya ila nifupishe tu.

Binafsi nimemwelewesha kwamba ya jana ilikuwa ni casual tu lakini najua najidanganya kabisa maana sio kwa oven na mnato niliokutana nao jana ule, leo pia nimepanga nifanye revision.

Hadi sasa nina mwanamke ila hatujafunga ndoa na tulipata mtoto, so huyu binti kwangu ni kama vile namuona mchepuko.

Sasa going forward from here najua tayari hili ni shari na ni heri nusu shari kuliko shari kamili, ni mbinu ipi nitumie mahusiano yetu yawe baina yetu bila kuingiliana kwenye biashara?

Pia soma:

Mtoto ni mgeni hapa duniani (Mch. Hananja, 2023). Binti wa miaka 19 unamuita mchepuko? So sad. Binti mdogo anaharibiwa future hivihivi. Siku huyo binti ukija kumuacha bahati nzuri asiwe na mtoto wala mimba atakua amejaa sumu juu ya wanaume. Ukimwacha na mtoto ndio kabisaa haijalishi utahudumia au la.

Ndio maana siku hizi unamkuta binti mdogo hana hisia na wanaume kabisa. Kumbe binti wawatu alishapigwa matukio na wapuuzi kama nyie hadi ameiva.

Anyway, all the best buddy
 
biashara na ngono huwa haviendi sambamba hata kidogo RIp duka
 
Mtoto ni mgeni hapa duniani (Mch. Hananja, 2023). Binti wa miaka 19 unamuita mchepuko? So sad. Binti mdogo anaharibiwa future hivihivi. Siku huyo binti ukija kumuacha bahati nzuri asiwe na mtoto wala mimba atakua amejaa sumu juu ya wanaume. Ukimwacha na mtoto ndio kabisaa haijalishi utahudumia au la.

Ndio maana siku hizi unamkuta binti mdogo hana hisia na wanaume kabisa. Kumbe binti wawatu alishapigwa matukio na wapuuzi kama nyie hadi ameiva.

Anyway, all the best buddy
Bora amwache achezewe na bachelor sio walio ndoani ambao ni moja kwa zote uwezekano wa kuolewa nao ni 0.00.

Jamaa kafeli sana kiukweli
 
Mfungulie biashara yake ili akila mtaji ale mtaji wake. La sivyo jiandae kuhesabu empty frames hapo dukani kwako miezi michache ijayo.

Unaonesha ubinafsi mkubwa sana, kwanza unachukulia advantage ya kuwa wewe ni boss kufanya ngono na huyo msichana. Na yeye hawezi kukataa maana akifanya hivyo anaogopa kupoteza kibarua, alafu proudly kabisa unasema huna future nae ila wewe unataka future ya biashara yako iende vyema ndio maana hutaki hayo mapenzi yenu yafike huko kwenye biashara sababu unajua kitakachotokea. Mkuu huo ni ubinafsi mkubwa sana na imagine kama una dada au mtoto wa kika afanyiwe hivyo.

Jitafakari, kama huna mpango na huyo binti na hutaki biashara yako ife basi mtoe hapo na mfungulie kibiashara au kubali kumlipa huo mshahara unaomlipa hapo bila yeye kufanya hiyo kazi hapo dukani na kazi yake iwe kukufurahisha wewe tu.
[emoji419][emoji419]nakazia
 
Mtoto ni mgeni hapa duniani (Mch. Hananja, 2023). Binti wa miaka 19 unamuita mchepuko? So sad. Binti mdogo anaharibiwa future hivihivi. Siku huyo binti ukija kumuacha bahati nzuri asiwe na mtoto wala mimba atakua amejaa sumu juu ya wanaume. Ukimwacha na mtoto ndio kabisaa haijalishi utahudumia au la.

Ndio maana siku hizi unamkuta binti mdogo hana hisia na wanaume kabisa. Kumbe binti wawatu alishapigwa matukio na wapuuzi kama nyie hadi ameiva.

Anyway, all the best buddy
Kiukweli hivi vitu vinaumiza sana ni vile MTU unakosa namna ya kutoa msaada.
 
Miaka 28 kwa 19 how comes? Hii ni ukatili wa kiutu. Ubinafsi ni kwa aliyezaa nae. Hapo kwa huyu mwengine ni torturing.
 
Jiandae hilo duka kufunguliwa na kufungwa muda wowote, [emoji23][emoji23][emoji23] mvua ikinyesha tu anaumwa, mahesabu tena ndiyo basi
 
Kumbuka dhambi ya zinaa ni deni unachokifanya kwa bint wa watu tena uku ukijisifia kabisa huna mpango nae...elewa kwamba na ww utazaa mtoto wa kike akija kulipa deni lako usije ukatafuta mchawi ukumbuke matukio yako ya haya machafu unayojigamvmba nayo leo kwa kitoto cha watu.....siwezi kumlaumu huyo mtoto kwakua ww ndio umemuanza na tayari kama bint amekua na matarajio ya starah na kadhalika na huwenda yeye anakuchukulia kwa mtazamo mzuri tu lkn kumbe ww ni fisi
 
Binadamu mmekua ni wanyama sana utu umepotea kabisa ndio mana dunia imekua sehemu ya shida na mabalaa....yaani unawaza kuharibikiwa biashara yako na wala huwazi kwamba unamuharibia feauture mtoto wa watu kwakua yeye anamatarajio na ww unamuona kama toi ambalo halina maana ...siku akigundua ushenzi wako juu yake chozi likimotoka kwa ulivyompotezea muda namkulaghai unafikiri wewe utakua salama
 
Yaani unashauriwa halafu unapuuza, unakuja tena kuomba ushauri, dogo unatuchuliaje wanajf,??
Huyu tayari ana plan zake, hapa anakuja kutusimulia tu. Yani anatengeneza hadi uzi wa kushukuru ushauri kua katuliza tamaa, alafu analeta mwingine tumshauri namna ya kuzitendea kazi tamaa zake.
 
Back
Top Bottom