Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko hapa kusoma commentskwa utafiti mfupi nilioufanya nimegundua akina dada wengi hasa wake za watu wanadate na mabodaboda
Ulimpa redcard kabla au baada.......Ni kutojiwekea mipaka tu, kuna mmoja aliwahi kuleta mazoea hayo nilimpa kadi nyekundu na nilimwambia direct uteja ufe sababu ya mazoea ya kishenzi uliyoanzisha siwezani na kuendana nayo,
Hongera naamini wanamake mnaojiheshimu mpo wengi tu japo kuna wanawake wachache wanatafunwa kizembe sana na mabodaboda.Ni kutojiwekea mipaka tu, kuna mmoja aliwahi kuleta mazoea hayo nilimpa kadi nyekundu na nilimwambia direct uteja ufe sababu ya mazoea ya kishenzi uliyoanzisha siwezani na kuendana nayo,
Free deliverykwa utafiti mfupi nilioufanya nimegundua akina dada wengi hasa wake za watu wanadate na mabodaboda
Kwa maoni yangu ni kuwa wanawake wetu wana siri kibao ambazo huenda bodaboda ndio errands boys wao so mazoeakwa utafiti mfupi nilioufanya nimegundua akina dada wengi hasa wake za watu wanadate na mabodaboda
kwa anaejua chanzo cha akina Dada kutokwa macho kwa mabodaboda anijuze haraka sana kuna maamuzi nataka kuyachukua
Red card hutolewa baada ya tukio kutokea! Na siyo kabla. 😞Ulimpa redcard kabla au baada.......
[emoji38][emoji38] tatizo kuna watu mmejipa standard Sana na moja ya sababu zinazo wafanya mmegewe wake zenu na boda ni hizo dharau zenu.kwa utafiti mfupi nilioufanya nimegundua akina dada wengi hasa wake za watu wanadate na mabodaboda
kwa anaejua chanzo cha akina Dada kutokwa macho kwa mabodaboda anijuze haraka sana kuna maamuzi nataka kuyachukua
Chanzo ni kupenda vya bure.kwa utafiti mfupi nilioufanya nimegundua akina dada wengi hasa wake za watu wanadate na mabodaboda
kwa anaejua chanzo cha akina Dada kutokwa macho kwa mabodaboda anijuze haraka sana kuna maamuzi nataka kuyachukua
Nadhani ofa ya lifti mara moja moja ndo huwaingiza kingi..kwa anaejua chanzo cha akina Dada kutokwa macho kwa mabodaboda anijuze haraka sana kuna maamuzi nataka kuyachukua
Mwanamke ni mtu wa kupenda kulipa kwa kila unachomtendea.kwa utafiti mfupi nilioufanya nimegundua akina dada wengi hasa wake za watu wanadate na mabodaboda
kwa anaejua chanzo cha akina Dada kutokwa macho kwa mabodaboda anijuze haraka sana kuna maamuzi nataka kuyachukua
Kabla ya Nini?Ulimpa redcard kabla au baada.......
Kuna boda viwango wewe usizani wote mapoyoyo Kama hao unao shinda naombona bodaboda ni levo za wanafunzi, mkeo hakumaliza shule au???