Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,593
- 8,595
Mimi sio boda Ila nawafahamsawa unanizidi kipato sijakataa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio boda Ila nawafahamsawa unanizidi kipato sijakataa
Ungekua karibu ningekuonesha huyo jamaa ukimkuta asubuhi anavyo hangaika na abiria utakataa . Ila weekend hua ndio siku ya mapumnziko so muda mwingi anazurula na haria yake ....Pole umetumia ngv kubwa kuelezea mi nilkuwa nakutania tu,, ila haya maelezo Ni km siyaamini eti Evelyn Salt
Hata Mimi pia nalitambua hiloAisee, hivi unajua sisi ni watu wazima?
Hiyo ni kazi na output yake ni kubwa ndio maana wwnahela Hadi za kudinyia wake za watu na kulisha familia zao [emoji1][emoji1][emoji1] changamka wanawake wenzio washa jigundulia chimboSawa lakini bado ana hadhi ya bodaboda
Hiki ni kilio Cha wengi sio yeye peke yakeWanawake wengi au mkeo??
Pole mkuu, ukisema ni mkeo wadau tunaelewa pia.
Kua na mda na mkeo halafu mkanye mkeo kua na bodaboda wake, ikibidi mnunulie gari walau basi awe analiwa na mafundi garage [emoji16][emoji16].
Sasa akiwa Kwenye pikipiki si anakuwa boda jamani,,Ungekua karibu ningekuonesha huyo jamaa ukimkuta asubuhi anavyo hangaika na abiria utakataa . Ila weekend hua ndio siku ya mapumnziko so muda mwingi anazurula na haria yake ....
Sasa mbona anaandika vitu tofauti, kuna boss wa bodaboda na kuna dereva wa bodaboda ambacho hakieleweki ni kipi? mada ni madereva sio hao ownersPole umetumia ngv kubwa kuelezea mi nilkuwa nakutania tu,, ila haya maelezo Ni km siyaamini eti Evelyn Salt
tuwanunulie wake zetu hata vi vitsBody contact kati ya boda na mteja(mkeo) plus mazingira yao pia usije ukaruhusu mkeo awe na bodaboda wake that is vere vere biig mistake!Utamegewa tu man.
Wananuka..hata wivu sinaHiyo ni kazi na output yake ni kubwa ndio maana wwnahela Hadi za kudinyia wake za watu na kulisha familia zao [emoji1][emoji1][emoji1] changamka wanawake wenzio washa jigundulia chimbo
sawa tajiri, usiwazeNyie dharauni tu Ila wenzenu kulaza elfu 60/50 ni Jambo la kawaida Sana
Halafu weekend anaendesha haria😂😂😂nimecheka leo,,sasa mbona anaandika vitu tofauti, kuna boss wa bodaboda na kuna dereva wa bodaboda ambacho hakieleweki ni kipi? mada ni madereva sio hao owners
Na wa bajaji umewasahau, kuna mama mmoja mme wake alimpenda akampa hadi ndinga tako la nyani avimbe nalo kitaa....ila sasa yule mama alikua analiwa na bajaji driver hatari sanakwa utafiti mfupi nilioufanya nimegundua akina dada wengi hasa wake za watu wanadate na mabodaboda
kwa anaejua chanzo cha akina Dada kutokwa macho kwa mabodaboda anijuze haraka sana kuna maamuzi nataka kuyachukua
usikute na makondakta ni hivo hivo 🙄 mchana ananing'inia mlangoni usiku unadumbukia kwenye harrier yake....Halafu weekend anaendesha haria😂😂😂nimecheka leo,,
Inawezekana ila akining'inia mlangoni ataitwa kondakta,na huyo mwenye haria akipakia mteja Kwenye pikipiki ni boda, huyu yeye amechanganya mambo tuusikute na makondakta ni hivo hivo 🙄 mchana ananing'inia mlangoni usiku unadumbukia kwenye harrier yake....
Nadhani ofa ya lifti mara moja moja ndo huwaingiza kingi..
Baada ya kufikishwa kwny destination:
Wife wa mtu: pesa hii hapa
Bodaboda: wacha tu, leo nimekupa ofa mteja 'angu mrembo!
Wife wa mtu: asante saaana mwaya, ubarikiwe..
Bodaboda: asante, usijali..
Baada ya muda wanabadilishana namba, wanazoeana, wanakuwa marafiki, wanawasiliana mara nyingi...
Bodaboda: ukiona umechelewa niite tu nikufuate!
Wife wa mtu: asante sana!
Na kwa kawaida, urafiki wa paka na panya hauachi panya salama🙄
Yaani bado mnavichwa vigumu kuelewa ...yaani mtu anatafuta mtaji ananunua boda moja kwa uadilifu na heshima ya pesa ananunua nyingine na zinaendelea kuzaliana na kwa boda ukisha kuwa nazo 10 tu ni rahisi mno kila mwezi ikawa unanunua boda moja Ila Hawa jamaa wamewekeza Hadi kwenye bajaji.sasa mbona anaandika vitu tofauti, kuna boss wa bodaboda na kuna dereva wa bodaboda ambacho hakieleweki ni kipi? mada ni madereva sio hao owners
Si hao maboya unao shinda nao Sasa [emoji38][emoji38][emoji38]Wananuka..hata wivu sina