Ni sababu ipi inapelekea asilimia kubwa ya wanawake kuwa na mahusiano ya kimapenzi na bodaboda?

Ni sababu ipi inapelekea asilimia kubwa ya wanawake kuwa na mahusiano ya kimapenzi na bodaboda?

kwa utafiti mfupi nilioufanya nimegundua akina dada wengi hasa wake za watu wanadate na mabodaboda

kwa anaejua chanzo cha akina Dada kutokwa macho kwa mabodaboda anijuze haraka sana kuna maamuzi nataka kuyachukua
Unatako kuwa boda boda?
 
Yaani bado mnavichwa vigumu kuelewa ...yaani mtu anatafuta mtaji ananunua boda moja kwa uadilifu na heshima ya pesa ananunua nyingine na zinaendelea kuzaliana na kwa boda ukisha kuwa nazo 10 tu ni rahisi mno kila mwezi ikawa unanunua boda moja Ila Hawa jamaa wamewekeza Hadi kwenye bajaji.

Hivyo pamoja na pesa zote hizo bado ni bodaboda bukubuku zenu wanachukua ...Ila siku za weekend ndio utawaona na ndinga zao.
tajiri mi mbona nshakuelewa
 
[emoji38][emoji38] tatizo kuna watu mmejipa standard Sana na moja ya sababu zinazo wafanya mmegewe wake zenu na boda ni hizo dharau zenu.

Bro wanawake hawapendi wanaume wenye dharau hata kidogo.


Mwanamke anaweza akakusamehe zambi ya uchepukaji Ila habari za zarau hakusamehi kamwe na ni ngumu.

So dharau zenu ndio zinawaponza alafu mzee boda boda ni wanaume Kama wewe kwenye mapenzi so punguza dharau
Mkuu wewe ni boda boda?
 
Yaani bado mnavichwa vigumu kuelewa ...yaani mtu anatafuta mtaji ananunua boda moja kwa uadilifu na heshima ya pesa ananunua nyingine na zinaendelea kuzaliana na kwa boda ukisha kuwa nazo 10 tu ni rahisi mno kila mwezi ikawa unanunua boda moja Ila Hawa jamaa wamewekeza Hadi kwenye bajaji.

Hivyo pamoja na pesa zote hizo bado ni bodaboda bukubuku zenu wanachukua ...Ila siku za weekend ndio utawaona na ndinga zao.
Mkuu nakubaliana na wewe, kuna ndugu yangu mmoja baada ya kumaliza form 6 miaka mi3 iliyopita aligoma kabisa kuendelea na chuo, badala yake alinunua pikipik mpya na kuanza u-bodaboda ilikuwa ngumu mwanzoni maana wazee walimkalia sana vikao wakidai anadhalilisha familia (kutokana na asili ya kiarabu tuliyonayo)

Lakini jamaa aligoma kabisa kuwasikiliza na wazee wakafanya kama kumsusa maana alionekana hana adabu. Lakini hivi sasa ninavyokuambia ana bodaboda jumla 32 na yeye bado anapiga kazi, na ana mjengo wa maana na gari ya kutembelea kaiweka uani kwake. Ila still bado ni bodaboda.
 
[emoji38][emoji38] tatizo kuna watu mmejipa standard Sana na moja ya sababu zinazo wafanya mmegewe wake zenu na boda ni hizo dharau zenu.

Bro wanawake hawapendi wanaume wenye dharau hata kidogo.


Mwanamke anaweza akakusamehe zambi ya uchepukaji Ila habari za zarau hakusamehi kamwe na ni ngumu.

So dharau zenu ndio zinawaponza alafu mzee boda boda ni wanaume Kama wewe kwenye mapenzi so punguza dharau
Umeandika kwa hisia sanaa mkuu...ukichanganya na ile 100 mama aliyoirudisha kwenye tozo ya mafuta basi ni kisirani tupu
 
[emoji38][emoji38] tatizo kuna watu mmejipa standard Sana na moja ya sababu zinazo wafanya mmegewe wake zenu na boda ni hizo dharau zenu.

Bro wanawake hawapendi wanaume wenye dharau hata kidogo.


Mwanamke anaweza akakusamehe zambi ya uchepukaji Ila habari za zarau hakusamehi kamwe na ni ngumu.

So dharau zenu ndio zinawaponza alafu mzee boda boda ni wanaume Kama wewe kwenye mapenzi so punguza dharau
hiki ndo chanzo cha mimi kuwa single mpaka hivi leo kitu DHARAU Mungu wangu!!!!![emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mkuu nakubaliana na wewe, kuna ndugu yangu mmoja baada ya kumaliza form 6 miaka mi3 iliyopita aligoma kabisa kuendelea na chuo, badala yake alinunua pikipik mpya na kuanza u-bodaboda ilikuwa ngumu mwanzoni maana wazee walimkalia sana vikao wakidai anadhalilisha familia (kutokana na asili ya kiarabu tuliyonayo)

Lakini jamaa aligoma kabisa kuwasikiliza na wazee wakafanya kama kumsusa maana alionekana hana adabu. Lakini hivi sasa ninavyokuambia ana bodaboda jumla 32 na yeye bado anapiga kazi, na ana mjengo wa maana na gari ya kutembelea kaiweka uani kwake. Ila still bado ni bodaboda.
Tatizo humu watu ni wabishi Sana na wanadharau sana.
 
hiki ndo chanzo cha mimi kuwa single mpaka hivi leo kitu DHARAU Mungu wangu!!!!![emoji24][emoji24][emoji24]
Watu hawaelewi ...mwanamke atakusamehe yote Ila dharau hata aje papa akuombee msamaha yaani hauta fanya kitu ....na hasahau kamwe
 
Back
Top Bottom