Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Duh, wewe au na wengine?Mmmh hujani block kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, wewe au na wengine?Mmmh hujani block kweli?
Sikia kwa serious talk njoo PM kwa muda wako. Hapa hapafai tena, naona wanga wameshaanza kusogea.Duh, wewe au na wengine?
Mbona sijaona suala la kutupeleka PM bossSikia kwa serious talk njoo PM kwa muda wako. Hapa hapafai tena, naona wanga wameshaanza kusogea.
We' njoo acha maswali. Utalijus huku huku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona sijaona suala la kutupeleka PM boss
HayaWe' njoo acha maswali. Utalijus huku huku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu unaonekana mbea wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukute hata demu haliwi na huyo boda bodaJamaa angu anamsifiga San demu wake kuw anajielwa San mpk amekuwa na bodaboda wake apandi boda boda yoyote anakuwana dereva wake so popote aliko anamuita anakuja kumbebe siku moja amekuja geto nikamchora kuja kumuona jama eti katoka uko kinondoni had huku buza na boda boda wake na boda anamsubiria demu nnje amalize mazungumzo na ss
Nilikuona jamaa alijielewi San .nilimchallengi demu kuwa Kwann boda azitembee tu wewe tutakutafutia boda nyingine au tuite bolt kbsa alionesha kukasirishwa na hoja zangu bas jmaa nae akadaikia na kusema hpn acha tu amsubirie kwani ameashamzoea boda wake nilikah kimya Hadi leo naona kbsa man ajielewi na Mikasa
Wewe unakuja kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya
wanawake wanapenda kitonga mfano kutembea wanaona jau, hawapendi shida, kutongozwa na boda ina mwamvuli wa kutoa aibu na general public hawaezi gundua mtongozo ukifanyika , most women hawana kifua cha mambo yao hasa makwazo, bodaz can notice kama mwanamke ana stress zozote zile, wanawake hawawezi self reliance ya nidhamu ya pesa hasa kubalance daily ikichagizwa na tamaa so bodaz being daily cash generating group cash liquidity inawapa mvuto wanawake shida za elfu1-2-3 solvable, most bodaz are idle youth and an idle mind thinks sex, uraibu pombez , kamali etc.Wengi hawajaoa na ni vijana, lots but it's enough for now, wanawake ni inzi inzi, butua butua na ujiridhishe wewe tu utafarahia maisha visokombwendokwa utafiti mfupi nilioufanya nimegundua akina dada wengi hasa wake za watu wanadate na mabodaboda.
kwa anaejua chanzo cha akina Dada kutokwa macho kwa mabodaboda anijuze haraka sana kuna maamuzi nataka kuyachukua.
Bodaboda ana haki SawA na ww.... Hata usijisumbue na kufanya maamuzi ya manzi Ako kukiwa na boda...... Nenda zako beach weekend tafuta Dem mkali aww mchepuko basi..... Tit for Tatkwa utafiti mfupi nilioufanya nimegundua akina dada wengi hasa wake za watu wanadate na mabodaboda.
kwa anaejua chanzo cha akina Dada kutokwa macho kwa mabodaboda anijuze haraka sana kuna maamuzi nataka kuyachukua.
Eeh mkuu, kama hawezi mdhibiti kuliwa basi walau awe analiwa na level ya juu kidogo.😂😂😂
Duh!
..unamvusha level ya boda unampeleka kwa fundi gereji🙄
Tofauti ni ipi sasa kiongozi? kama kuliwa si ni kule kule tuEeh mkuu, kama hawezi mdhibiti kuliwa basi walau awe analiwa na level ya juu kidogo.
Tofuti ni level ya walajiTofauti ni ipi sasa kiongozi? kama kuliwa si ni kule kule tu
Tundu tundule😂😂Wanawake hawapendagi kutumia hela kabisa,anaona akitoa hilo tundu ataokoa elfu 60 kwa mwezi
Huku kanda ya ziwa watumishi wa serikali wa kike walikuwa wanaliwa na wavuvi kisa samaki za bure za kila siku
Kuna mtumishi mmoja yeye aliwah olewa na msomba maji kwa mkokoteni,maeneo hayo kulikuwa na tatzo la maji sana,akaona isiwe tabu,tundu halina kazi