Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Ni kuheshimu mipaka unayojiwekea tuHongera naamini wanamake mnaojiheshimu mpo wengi tu japo kuna wanawake wachache wanatafunwa kizembe sana na mabodaboda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kuheshimu mipaka unayojiwekea tuHongera naamini wanamake mnaojiheshimu mpo wengi tu japo kuna wanawake wachache wanatafunwa kizembe sana na mabodaboda.
😂😂😂Naona umeguswa boda mwenye kiwango chakeeKuna boda viwango wewe usizani wote mapoyoyo Kama hao unao shinda nao
Mwanaume kuwa na kiherehere namna hii hainogi,, inaonyesha una uzoefu wa kutoa redcard baada ya tukioRed card hutolewa baada ya tukio kutokea! Na siyo kabla. 😞
Sina hata huo muda wa kushinda wala kuzoea bodaboda, wake zenu nao watakua memkwa hao....Kuna boda viwango wewe usizani wote mapoyoyo Kama hao unao shinda nao
Boda mwenye kiwango anakua anaendesha boxer150 wasio na kiwango ndio Toyo na sunlg au kuna viwango zaidi ya hapa😂😂😂😂😂😂😂Naona umeguswa boda mwenye kiwango chakee
Boda wa viwango itakuwa yake mwenyewe labda, ila boda ni boda tuboda mwenye kiwango anakua anaendesha boxer150 wasio na kiwango ndio Toyo na sunlg au kuna viwango zaidi ya hapa😂😂😂😂
Wakati sie tunakula mbususu tuuKuna boda viwango wewe usizani wote mapoyoyo Kama hao unao shinda nao
Hapana naongea hivi kwa sababu ya jamaa zangu ninao fahamiana nao wanafanya kazi hiyo..... weekend wakitulia kwenye halia tako la nyani utawakataa.[emoji23][emoji23][emoji23]Naona umeguswa boda mwenye kiwango chakee
Jamani mbona mnatuona sie sio the big boys u ladies wana chill with wakati mnatupeaga mbususu hizoboda mwenye kiwango anakua anaendesha boxer150 wasio na kiwango ndio Toyo na sunlg au kuna viwango zaidi ya hapa😂😂😂😂
Dada angu naamini Kuna boda wengi tu wanakuchapa kiuwezosina hata huo muda wa kushinda wala kuzoea bodaboda, wake zenu nao watakua memkwa hao....
Sawa unanizidi kipato sijakataaDada angu naamini Kuna boda wengi tu wanakuchapa kiuwezo
Nyie dharauni tu Ila wenzenu kulaza elfu 60/50 ni Jambo la kawaida Sanaboda mwenye kiwango anakua anaendesha boxer150 wasio na kiwango ndio Toyo na sunlg au kuna viwango zaidi ya hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana watu wanakuja kulalamika humu wanadinyiwa wake zaoBoda wa viwango itakuwa yake mwenyewe labda, ila boda ni boda tu
Pole umetumia ngv kubwa kuelezea mi nilkuwa nakutania tu,, ila haya maelezo Ni km siyaamini eti Evelyn SaltHapana naongea hivi kwa sababu ya jamaa zangu ninao fahamiana nao wanafanya kazi hiyo..... weekend wakitulia kwenye halia tako la nyani utawakataa.
Wanabajaji uchafu barabarani hiyo jioni wanavyo panga mstari kuja kuleta marejesho utashangaa.
Lakini chanzo Cha yote hayo ni pkpk
Aisee, hivi unajua sisi ni watu wazima?Hapana naongea hivi kwa sababu ya jamaa zangu ninao fahamiana nao wanafanya kazi hiyo..... weekend wakitulia kwenye halia tako la nyani utawakataa.
Wanabajaji uchafu barabarani hiyo jioni wanavyo panga mstari kuja kuleta marejesho utashangaa.
Lakini chanzo Cha yote hayo ni pkpk
HeehAisee, hivi unajua sisi ni watu wazima?
Sawa lakini bado ana hadhi ya bodabodaNyie dharauni tu Ila wenzenu kulaza elfu 60/50 ni Jambo la kawaida Sana