Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Naifahamu Hilux moja ilikuwa na usajili wa Tzt huu inaenda mwaka wa 23 . ukiiwasha muda wowote unaenda nayo mokoa wowote muda wowote .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naifahamu Hilux moja ilikuwa na usajili wa Tzt huu inaenda mwaka wa 23 . ukiiwasha muda wowote unaenda nayo mokoa wowote muda wowote .
Umeisahau L series yenyewe ilianza ndipo ikaja 2L , ilikuwepo kipindi ambacho 12R engine ipo kwenye chatRoho ya paka ni zile 2L,3L,5L...hizi za sasa hivi ni multiple uses kama za zamani ila kwenye uimara sio sana.Kwenye mbio hizi za sasa usizichukulie poa V8 inabidi ikae chonjo sio kinyonge.
Hii torture test niliiona kwenye Tv jamaa aliiadhibu vya kutosha hilux
kuna siku jamaa alikuwa na 1HZ akaidai ligi na hizi Hillux za saiv aisee Hillux ilimwacha kama kasimamaRoho ya paka ni zile 2L,3L,5L...hizi za sasa hivi ni multiple uses kama za zamani ila kwenye uimara sio sana.Kwenye mbio hizi za sasa usizichukulie poa V8 inabidi ikae chonjo sio kinyonge.
jamaa waliizamisha kwenye maji,wakaifukia na kwenye udongo...lakini walipoitoa tuu kupiga starter ikawaka [emoji23]Hii torture test niliiona kwenye Tv jamaa aliiadhibu vya kutosha hilux
Watu wanachanganya sana madesa !! 1hz sio engine ya mbio wala nguvu , yenyewe ina sifa tu ya uimara.kuna siku jamaa alikuwa na 1HZ akaidai ligi na hizi Hillux za saiv aisee Hillux ilimwacha kama kasimama
Wenyewe wanaziita Bombadia. Kazini zipo mbili, za South na nyingine JP. Za JP zipo loaded full options za SA zimebaniwa sana.kuna siku jamaa alikuwa na 1HZ akaidai ligi na hizi Hillux za saiv aisee Hillux ilimwacha kama kasimama
Hahaha asee Hilux sio gari ile iwekewe kundi lake nizaidi ya mashine
Toyota yoyote iliyotengenezwa under licence haiwi na full option. Mfano raider za south africa hadi toleo la mwaka 2000 nyingi zilikuwa hazina Abs wakati hilux ya japan miaka hiyo baadhi zilikuwa hadi zina EbdWenyewe wanaziita Bombadia. Kazini zipo mbili, za South na nyingine JP. Za JP zipo loaded full options za SA zimebaniwa sana.
Dereva awe na leseni ya Operator.Hahaha asee Hilux sio gari ile iwekewe kundi lake nizaidi ya mashine
Unazikamata lini?Siku nikizikamata lazima huu mzigo uingie magetoni, gari na nusu ile. Inakupa kila kitu, nenda shamba, town popote inafit.
Najaribu kuwaza, umelinganisha bei ya Hillux na Toyota gani?Uimara?
Ukubwa?
Demand?
Mechanism?
Performance?
Anything else?
Karibuni wana jamvi wenye knowledge juu ya hili.
tuko kwa land cruiser mkonga, Lindi huko, ikatupita Hilux ya Tanesco
dereva wa Mkonga akamaliza gear
Hilux iko mbele kabisa akaongeza mwendo, iyoooo inapotea mpaka ikawa kiduchu, haikuonekana tena
KabisaDereva awe na leseni ya Operator.