Ni sababu ipi Toyota Hilux kuwa na bei ya juu kuliko Toyota nyingi sokoni?

Ni sababu ipi Toyota Hilux kuwa na bei ya juu kuliko Toyota nyingi sokoni?

na huwa nawaza kwanini Navara sehemu nyingi sio kipaumbele kama ilivyo kwa Hillux
Navara ni gari nzuri, ina stability na comfortability. Mwanzo watu walikuwa wanaogopa maintenance cost ila saizi taasisi na makampuni mengi yanatumia Navara.

Running cost na maintenance za Hilux za kisasa zenye engine za Kd na Gd zinalingana na Navara zenye engine ya Yd25.

Toyota engine iliyokuwa jiwe ni L series (2L,3L,5L) ikaja Kz ingawa uimara haikufika kwa L. Hizi engine za kisasa Kd na Gd licha ya nguvu zinataka uangalizi ukikosea kwenye mafuta kuua Injector Nozzle na fuel pump ni rahisi na bei ya kununua hizo parts ipo juu Hakuna utoyota nafuu.
 
Multiple uses,
Shamba ,site,safari na hata batani unapaki kiroho safi
Pia ni ngumu zinahimili mikiki.
Umeisahau L series yenyewe ilianza ndipo ikaja 2L , ilikuwepo kipindi ambacho 12R engine ipo kwenye chat
Kz na Kd engine series sio mbaya pia
kuna watu mnajua vitu vingi sana aysee

Haleluya!
 
Navara ni gari nzuri, ina stability na comfortability. Mwanzo watu walikuwa wanaogopa maintenance cost ila saizi taasisi na makampuni mengi yanatumia Navara.

Running cost na maintenance za Hilux za kisasa zenye engine za Kd na Gd zinalingana na Navara zenye engine ya Yd25.

Toyota engine iliyokuwa jiwe ni L series (2L,3L,5L) ikaja Kz ingawa uimara haikufika kwa L. Hizi engine za kisasa Kd na Gd licha ya nguvu zinataka uangalizi ukikosea kwenye mafuta kuua Injector Nozzle na fuel pump ni rahisi na bei ya kununua hizo parts ipo juu Hakuna utoyota nafuu.
Upo sahihi kabisa, kd , gd engines zote ni common rail injectiin , with piezo electronic nozzle , ni nozzle sensitive sana kwa mafuta machafu na hazina fail safe mode of operation. Yani unaweza ukapata shida ya nozzle halafu ikasababisha ufanye overhaul ya engine .
 
IMG_20230807_101730.jpg
 
Nawaona hawa wachina wa CCECC trucks zote wanatumia HOWO za kwao ila misele ya wahandisi ni hizo Hilux pekee.
Wajanja sana wachina wew,,, yaani we huoni wanatutengenezea vi tecno afu wao ndo wanaongoza kutumia iPhone???wanajua kabisa gari ndogo zakichina kwa misele ya saiti haziwezi kwo huwezi let uzalendo wakijinga
 
Upo sahihi kabisa, kd , gd engines zote ni common rail injectiin , with piezo electronic nozzle , ni nozzle sensitive sana kwa mafuta machafu na hazina fail safe mode of operation. Yani unaweza ukapata shida ya nozzle halafu ikasababisha ufanye overhaul ya engine .
Zimeliza watu waliozoea kufanya Toyota yoyote ni punda hachagui mafuta.

Vigo za miaka ya 2012 mpaka 2015 engine ya 1kd-ftv ile yenye intercooler inakuja na turbo timer usipokuwa makini kucheki turbo timer ndio uzime baadae turbo unakuta inakufa ghafla.
 
Back
Top Bottom