Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
Hivi ile mashine ni v6 au v8?Toyota fortuner mbona huwa hamuiongelei ?,bonge moja la chuma hilo
Huwa naikubali sana extetior design yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ile mashine ni v6 au v8?Toyota fortuner mbona huwa hamuiongelei ?,bonge moja la chuma hilo
Kwa ushauri wako kwa uwezo wetu wabongo tuchukue navara ya mwaka gani hadi gani.Navara ni gari nzuri, ina stability na comfortability. Mwanzo watu walikuwa wanaogopa maintenance cost ila saizi taasisi na makampuni mengi yanatumia Navara.
Running cost na maintenance za Hilux za kisasa zenye engine za Kd na Gd zinalingana na Navara zenye engine ya Yd25.
Toyota engine iliyokuwa jiwe ni L series (2L,3L,5L) ikaja Kz ingawa uimara haikufika kwa L. Hizi engine za kisasa Kd na Gd licha ya nguvu zinataka uangalizi ukikosea kwenye mafuta kuua Injector Nozzle na fuel pump ni rahisi na bei ya kununua hizo parts ipo juu Hakuna utoyota nafuu.
Umiara na ku pull heavy loads thats , and high altitudes ngoma bado inachanganya.Watu wanachanganya sana madesa !! 1hz sio engine ya mbio wala nguvu , yenyewe ina sifa tu ya uimara.
Mbio kwa hiyo series ni 1hd au walau 12 ht
Watu wanachanganya sana madesa !! 1hz sio engine ya mbio wala nguvu , yenyewe ina sifa tu ya uimara.
Mbio kwa hiyo series ni 1hd au walau 12 ht
Uwe unasoma vizuri kabla ya kulalamika, hizo engine mbili hapo nilizokutajia umewahi kutumia?, na zote zilikuwa zinakuja kwenye expensive versions za coaster na Lc!Huu ni uwongo wa karne hii. 1HZ haina mbio, 1HZ haina nguvu! Stori za vijiweni hizi. 1HZ imewekwa kwenye gari aina nne za uhakika Coaster, Shangingi zote LC 80 Series, Land Cruiser. Wewe unaizungunzia 2H sio 1HZ na hujawahi kuwa na gari yenye 1HZ mzee.
Engine yenye RPM 4000 haina mbio. 😁
Engine yenye Piston stroke 100mm haina nguvu wala mbio. 😁
Torque yake 285..
Toyota imeweka hii engine kwenye Makumbusho yake kama enhine bora ya muda wote.
sisi huku UN na migodini ziko kruza tuHabari wakuu nampango wa kutafuta zile pickup hilux zinazouzwa na mataasisi ya serikali au binafsi ili nizifufue , naomba ushauri wenu na connection ya kuweza kuzipata.
Uwe unasoma vizuri kabla ya kulalamika, hizo engine mbili hapo nilizokutajia umewahi kutumia?, na zote zilikuwa zinakuja kwenye expensive versions za coaster na Lc!
Narudia tena 1hz haina mbio wala nguvu japokuwa ni moja ya engine imara sana za Toyota.
PerfomanceUimara?
Ukubwa?
Demand?
Mechanism?
Performance?
Anything else?
Karibuni wana jamvi wenye knowledge juu ya hili.
Kwamba 1hd combustion inatoka nje ya cylinder? We jamaa upo timamu kweli, unaelewa maana ya internal combustion?Narudia tena pia. Hii kama sio uwongo basi ni ile wazungu wanasema "Generation fallacy".
1HZ inatofautiana na 1HDT kwenye eneo dogo sana, 1HZ injectors ni direct injection engine na 1HDT combustion inatoka nje ya cylinder, kinyume na hapo zote ni engine sawa sawa, kwa torque, cc, cylinders na RPM.
Pia nikupe tip ambayo huijui ofloader 1HDT haitumiki, ndio maana huwezi zikuta 1HDT kwa National parks wala Kampuni za utalii. 1HZ haina nguvu tafuta engine nyingine ya kulinganisha sio HDT.
1hz amezaa watoto wafuatao,, 1hz ina valve 12 na haina turbo, 1hd T ina valve 12 na turbo juu zote hizo mbili ziliendelea kutumia mechanical fuel pump,, baadae ikaja 1hd ft hapa valve zikawa 24 na turbo ilia pampu bado ni mechanical mwisho kabisa wakamaliza kazi na 1HD Fte hapa valve ni 24 turbo na electric fuel pumpKwamba 1hd combustion inatoka nje ya cylinder? We jamaa upo timamu kweli, unaelewa maana ya internal combustion?
Tofauti kati ya 1hz na 1hd ni kuwa moja ni natural aspirated (1hz)nyingine ni turbocharged (1hd) japokuwa zote ni cc 4200 lakini zina combustion ratio tofauti kabisa, kwa hiyo unaposema 1hz na 1hd zina torque sawa, wewe sasa ndo unasema uongo
1hz ina torque ya 285N.m @2200 rpm
1hd ina torque ya 380 N⋅m @ 1,400 rpm. Unasemaje hiz engine zinafanana torque?
Ni kweli kuwa ni adim kuikuta 1hd kwenye shughuli za utalii, mosi ni engije ya gharama pili turbocharged engine hazipendi mazingira ya off road
Umeanzia history kati kati1
1hz amezaa watoto wafuatao,, 1hz ina valve 12 na haina turbo, 1hd T ina valve 12 na turbo juu zote hizo mbili ziliendelea kutumia mechanical fuel pump,, baadae ikaja 1hd ft hapa valve zikawa 24 na turbo ilia pampu bado ni mechanical mwisho kabisa wakamaliza kazi na 1HD Fte hapa valve ni 24 turbo na electric fuel pump
Kwamba 1hd combustion inatoka nje ya cylinder? We jamaa upo timamu kweli, unaelewa maana ya internal combustion?
Tofauti kati ya 1hz na 1hd ni kuwa moja ni natural aspirated (1hz)nyingine ni turbocharged (1hd) japokuwa zote ni cc 4200 lakini zina combustion ratio tofauti kabisa, kwa hiyo unaposema 1hz na 1hd zina torque sawa, wewe sasa ndo unasema uongo
1hz ina torque ya 285N.m @2200 rpm
1hd ina torque ya 380 N⋅m @ 1,400 rpm. Unasemaje hiz engine zinafanana torque?
Ni kweli kuwa ni adim kuikuta 1hd kwenye shughuli za utalii, mosi ni engije ya gharama pili turbocharged engine hazipendi mazingira ya off road
Umeanzia history kati kati
Generations ya hizo engine inaanzia H engine, ikaja 2H, ikaja 12 ht ndo 1hz na 1hd, katika engine hizo zote 1hd ndo imefanyiwa maboresho zaidi kuliko engine zote zilizotangukia.