Ni sababu ipi Toyota Hilux kuwa na bei ya juu kuliko Toyota nyingi sokoni?

Kwenye mwendo unajipinga wewe mwenyewe kuhusu R.P.M. Kwa maelezo yako mzunguko (r.p.m) wa 1HZ ni 2200 kwa dakika wakati R.P.M ya 1HDt ni 1400
Nilikuwa naongelea torque curve na nilitegemea kama mtalaam ungelibeba kiusahihi
Sikumaanisha ulichoelezea na kiufundi hakipo unachokielezea, kimsingi 1hz inapata peak torque ikiwa na rpm 2200 wakati 1hd inapata peak. Torque katika 1400 rpm, maana yake ninkuwa 1hdt inatoa nguvu nyingi ikiwa na rpm chache kuliko 1hz.
 
Maboresho gani yaliyopo kwenye 1HDt yanayoifanya iwe bora kwenye mwendokasi na nguvu zaidi ya 1HZ zaidi ya torque?
1hd ina nguvu kuliko 1hz toka matoleo ya kwanza
1hd ilianza na mechanical pump. Ikiwa na valve 12, matoleo ya mwisho ya 1hd yalikuwa na electronic controled injectior pump na yalikuja na 24 valve.
 
1hd ina nguvu kuliko 1hz toka matoleo ya kwanza
1hd ilianza na mechanical pump. Ikiwa na valve 12, matoleo ya mwisho ya 1hd yalikuwa na electronic controled injectior pump na yalikuja na 24 valve.
Mimi nazungumzia toleo la valve 12 mkuu. Hakuna kitu ambacho nakieleza hapa hakipo. Umeeleza kuhusu Torque,huelezi juu ya R.P.M, kiuhalisia 1HZ pamoja na kutoa Torque curve 285 bado ina Revolution Per minute R.P.M ya 2200. Hi inakinzana na fact yako kwamba 1HZ haina kasi/mbio.

At higher R.P.M you get more power. The higher the R.P.M the lower will be the Torque. Hii ndio kanuni.

Sipingani na fact zako na utalamu ambao kiukweli unao, napingana na kauli kwamba 1Hz ni engine imara, haina nguvu wala mbio ukilinganisha na 1HDt hii nitapinga siku zote.
 

Kitu gani naelezea hapa hakipo. Kiweke wazi ambacho hakipo.
 
Kitu gani naelezea hapa hakipo. Kiweke wazi ambacho hakipo.
Soma maelezo yako kwa makininutagundua unapokosea, rpm engine zote zinakwenda hadi 6000 rpm, ila kinachizungungumizwa ni peak torque rpm
1hz inapata peak torque at 2200 rpm akati 1hd inapata peak torque at 1,400 rpm, hii haimaanishi kwamba 1hd itaishia 1400 rpm, kama ulivosema hapo juu
 
Torque,huelezi juu ya R.P.M, kiuhalisia 1HZ pamoja na kutoa Torque curve 285 bado ina Revolution Per minute R.P.M ya 2200. Hi inakinzana na fact yako kwamba 1HZ haina kasi/mbio.
Again unafanya kosa lile lile, mkuu soma vizuri kuhusu engine parameters utajifunza kitu, hapq unaleta hisia na mahaba ya 1hz unasahau fact.
1hz inaachwa mbali sana na 12ht, engine ya miaka ya 1980 huko
 

Haya bwana. Ngoja niishie hapa.
 
Maboresho gani yaliyopo kwenye 1HDt yanayoifanya iwe bora kwenye mwendokasi na nguvu zaidi ya 1HZ zaidi ya torque?
Akisema 1HDT bado kuna engine mbili mbele yaani 1 HD FT na 1HD FTE ambapo kimsingi yenye imefanyiwa maboresho ya kisasa zaidi ni 1hd fte
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…