Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

Kama huwezi kutambua kuwa magufuli alikuwa na PhD feki basi kichwa chako ni bustani ya nywele.
 
Jiwe alikuwa hana akili...
Kiongozi wa hovyo kutokea...
Anadanganya watu eti mzalendo na kuchukia ufisadi huku yeye akiwaibia wafanyabiashara...

Kama alikuwa jiwe kweli kweli mbona walimchezea akasepa?
Wajinga lazima mseme hivyo
 
Sawa mjane wa jiwe
Ama mtu ni jiwe, jabali au wewe laini kama papai, sote tutaonja mauti.
Waliotangulia haina maana kwamba ni wazembe au kwamba wewe ulie hai ndo mjanja sana. Ni suala la muda tu.
Tunawajua nyinyi ni wale "wazuri hawafi" lakini hamtatoboa next sanduku bila kutaja jina la jiwe! Rudia mwenzenu Lisumbufu mpaka kuzuru kaburi
 
We shenzi nn?
Usijipendekeze kwangu...
Haita kaa itokee Ikulu kupata mwehu kama Jiwe... Na ametangulia wote tumeona...

Sasa kaa kwa kutulia.. Kama mlizoea kuendesha nchi kwa uonevu na kubambikia watu kesi ili mpate hela za dhuluma imeisha hiyo
 
We shenzi nn?
Usijipendekeze kwangu...
Haita kaa itokee Ikulu kupata mwehu kama Jiwe... Na ametangulia wote tumeona...

Sasa kaa kwa kutulia.. Kama mlizoea kuendesha nchi kwa uonevu na kubambikia watu kesi ili mpate hela za dhuluma imeisha hiyo
Unamatatizo ya akili.unamtukana mtu aliyefariki lakini kakupita kila kitu.
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
We shenzi nn?
Usijipendekeze kwangu...
Haita kaa itokee Ikulu kupata mwehu kama Jiwe... Na ametangulia wote tumeona...

Sasa kaa kwa kutulia.. Kama mlizoea kuendesha nchi kwa uonevu na kubambikia watu kesi ili mpate hela za dhuluma imeisha hiyo
Nakazia tu kwa huyo Ngarob

We shenzi nn?
Usijipendekeze kwangu...
Haita kaa itokee Ikulu kupata mwehu kama Jiwe... Na ametangulia wote tumeona...

Sasa kaa kwa kutulia.. Kama mlizoea kuendesha nchi kwa uonevu na kubambikia watu kesi ili mpate hela za dhuluma imeisha
 
Duh..
Halafu Makonda yupo huru tu!!!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…