Kama ni hiari si uende ukachanjwe!?.. Gwajima akipiga kelele kuhusu ubovu wa chanjo zenu feki wewe inakuuma nini!?, Wakionekana akina Samia na IGP wanachanja kwa maigizo mnakenua meno. Nyie ni WAPUMBAVU.. FULL STOP.Usie na akili ni wewe,
Mwenye kit wa chama ni samia na kiongoz wa serikali ni samia,ameshatoka hadharan na kutamka waz waz kuwa wameamua kwenda na chanjo Ila ni hiyar kwa mwenyekutaka,sasa unataka msimamo mwingine up zaid ya huo?
Kama gwajima na hao wanaomfuata hawataki chanjo ni Sawa,kwan wamelazimishwa??kelele ni za nini??