#COVID19 Ni sahihi Humphrey Polepole kuonesha Msimamo wake wa kutochanjwa?

#COVID19 Ni sahihi Humphrey Polepole kuonesha Msimamo wake wa kutochanjwa?

Mama Samia sio dikteta ila analazimika kuwa na matendo ya kidikteta kutokana na wapuuzi kama kina Polepole na CHADEMA. Ikumbukwe Rais ni mwanamke kwahiyo kwa vyovyote ana hisia kwamba anadharauliwa kwa sababu ya uanamke wake hivyo atahakikisha anawaonyesha HATA WANAWAKE WANAWEZA BILA KUWEZESHWA. Udikteta wake utakuwa mbaya zaidi. Kabla ya Mbowe kukamatwa tuliona na kusikia maneno ya kejeli sana kwa Rais na wenye busara tulivyojaribu kuwaonya CHADEMA hawakusikia. Hata huyu Polepole tumwehesabie tu siku lazima limkute jambo. Ubaya ni staili ya mama kutoa kichapo kimyakimya. Rais wa Tanzania ni kiongozi mwenye nguvu zisizoelezeka kikatiba. Ubaya zaidi bado ni mwenyekiti wa CCM. Ana namna nyingi za kumpa kichapo Polepole.
Kosa la polepele ni lipi mkuu?? Katukana kakebehi,kazodoa, kamkashifu rais au kafanyaje mpka adhabu imhusu? Kwa utopolo iliokuwa sawa tu maana wao walitukana kabisa Tena wazi... Walisahau kuwa uRais ni taasisi siyo Mtu..
 
Usikute wewe ndo MPUMBAVU, mbona wanaochanjwa hawachanjwi kimya kimya!??.. Ila wanaotoa msimamo wao wa kutochanjwa mnaona wanaaribu dili sindio!?

Hao ambao wanachanjwa na kuonesha ni watu ambao waliweka waz msimamo wao,

Linapokuja suala la gwajima na pole pole kwa mfano,wale ni watu ambao wako chini ya Taasisi ambayo ni chama Cha mapinduz na serikali,kipindi Cha mwendazake hoja ilikua waz hawataki chanjo na watu wooote ktk chama na serikali kauli ilikua MOJA, kipindi hiki Cha samia kauli ya serikali ni chanjo hiyari ya mtu Ila msimamo wa chama ni kuchanja na kuwasisitiza watu wake wachanje Ila bila shurti,sasa wanapotokea pol pole na gwajima kupinga basi watoke nje ya Taasisi hiyo Ili wafanye juhud zao za kupinga wakiwa huru
 
Kosa la polepele ni lipi mkuu?? Katukana kakebehi,kazodoa, kamkashifu rais au kafanyaje mpka adhabu imhusu? Kwa utopolo iliokuwa sawa tu maana wao walitukana kabisa Tena wazi... Walisahau kuwa uRais ni taasisi siyo Mtu..

Kosa la pole pole ni kwenda kinyume na msimamo wa chama na serikali,Taasis inayomuongoza pole pole msimamo wake ni chanjo kwa hiyari,yeye kama hatak chanjo basi abakie na msimamo wake lakin asitoke kuhamasisha watu wasichanje kwa kuwa yeye hachanji,au kama anataka kuwa huru basi atoke ndan ya hiyo Taasisi Ili kuondoa sintofaham
 
Hao ambao wanachanjwa na kuonesha ni watu ambao waliweka waz msimamo wao,

Linapokuja suala la gwajima na pole pole kwa mfano,wale ni watu ambao wako chini ya Taasisi ambayo ni chama Cha mapinduz na serikali,kipindi Cha mwendazake hoja ilikua waz hawataki chanjo na watu wooote ktk chama na serikali kauli ilikua MOJA, kipindi hiki Cha samia kauli ya serikali ni chanjo hiyari ya mtu Ila msimamo wa chama ni kuchanja na kuwasisitiza watu wake wachanje Ila bila shurti,sasa wanapotokea pol pole na gwajima kupinga basi watoke nje ya Taasisi hiyo Ili wafanye juhud zao za kupinga wakiwa huru
Mkuu nimependa majib yako, well taasisi ipi?? Kama ni chama kwa ujumla tunakubaliana tu kuwa ugonjwa c19 si Jambo la kisera(ilani) ila Ni Jambo la kiafya.. Sasa kwa swal la afya Ni hiari mkuu(kwa Sasa) mpka pale ikiwa lazima badae.. ila tusiwachukie walio na mawazo mbadala,
Kipnd Cha JPM ulikuwa Ni mtazamo wa rais ambao alikusudia kuwaokoa raia wake, na alipopumzika hao hao waliokuwa na mtazamo sawa na JPM wali uTurn bila kutupa taarifa tumebaki tunatoa[emoji15][emoji15][emoji15] hatujui wao wapo sahihi au sisi tupo sahihi..
 
Kosa la pole pole ni kwenda kinyume na msimamo wa chama na serikali,Taasis inayomuongoza pole pole msimamo wake ni chanjo kwa hiyari,yeye kama hatak chanjo basi abakie na msimamo wake lakin asitoke kuhamasisha watu wasichanje kwa kuwa yeye hachanji,au kama anataka kuwa huru basi atoke ndan ya hiyo Taasisi Ili kuondoa sintofaham
Mkuu nmejib hapo chin, swal la afya si la kisera, ila pia ni wap HP kahamasisha? Au maoni yake ndo hamasa??
 
Mkuu nimependa majib yako, well taasisi ipi?? Kama ni chama kwa ujumla tunakubaliana tu kuwa ugonjwa c19 si Jambo la kisera(ilani) ila Ni Jambo la kiafya.. Sasa kwa swal la afya Ni hiari mkuu(kwa Sasa) mpka pale ikiwa lazima badae.. ila tusiwachukie walio na mawazo mbadala,
Kipnd Cha JPM ulikuwa Ni mtazamo wa rais ambao alikusudia kuwaokoa raia wake, na alipopumzika hao hao waliokuwa na mtazamo sawa na JPM wali uTurn bila kutupa taarifa tumebaki tunatoa[emoji15][emoji15][emoji15] hatujui wao wapo sahihi au sisi tupo sahihi..

Dont you be blind for what was going on during mwendazake era,ilikua anachokitaka yeye ni lazima kiwe,kama hutak basi toka kwenye serikali yake au umesahau??nan alikuwa na jeuri ya kumpinga,now he's gone...

Ishu iliyopo ni kuwa usiwahamasishe watu kutochanja kama hutak kuchanjwa,serikali now inakuja na hoja ya kiafya kuwa kuchanja ni muhim Ila ni hiyari,sasa kama mtu hutak kuchanja basi usihamasishe watu wasichanje Ili hali hao watu wameshaambiwa ni hiyari,Ila pia kumbuka serikali Ina dhamana ya kuwahamasisha wananchi wake Ila gwajima na pole pole hawana dhamana hiyo,wao siyo serikali
 
Dont you be blind for what was going on during mwendazake era,ilikua anachokitaka yeye ni lazima kiwe,kama hutak basi toka kwenye serikali yake au umesahau??nan alikuwa na jeuri ya kumpinga,now he's gone...

Ishu iliyopo ni kuwa usiwahamasishe watu kutochanja kama hutak kuchanjwa,serikali now inakuja na hoja ya kiafya kuwa kuchanja ni muhim Ila ni hiyari,sasa kama mtu hutak kuchanja basi usihamasishe watu wasichanje Ili hali hao watu wameshaambiwa ni hiyari,Ila pia kumbuka serikali Ina dhamana ya kuwahamasisha wananchi wake Ila gwajima na pole pole hawana dhamana hiyo,wao siyo serikali
Kwa hyo mkuu Ni halali kuhamasisha kuchanjwa ila si halali kuwaambia kwa nn unachanjwa?? Maswal yameuzwa very simple ila hajapata majib ntil nw,..

Kwa hyo mkuu Ni hiari kutoa maoni kinzani au si hiari??
 
Mkuu nmejib hapo chin, swal la afya si la kisera, ila pia ni wap HP kahamasisha? Au maoni yake ndo hamasa??

Kuhamasisha ni pale anaposema kuwa yeye hachanji,na pia kusema kwamba watu waendelee kuimarisha kinga kwa vyakula na mazoez which is Right,lakin hivyo hivyo vyote pia serikali imesema...na imesema njia za asili kwa anawaweza kuzitumia asitumie,Ila na chanjo pia wachanje...sasa nini kinachomsumbua pole pole
 
Kuhamasisha ni pale anaposema kuwa yeye hachanji,na pia kusema kwamba watu waendelee kuimarisha kinga kwa vyakula na mazoez which is Right,lakin hivyo hivyo vyote pia serikali imesema...na imesema njia za asili kwa anawaweza kuzitumia asitumie,Ila na chanjo pia wachanje...sasa nini kinachomsumbua pole pole
Mkuu ndyo siasa, yaan ukisoma siasa inakanuni zake na moja wapo kubwa kuliko zote Ni hii
Siasa haina rafiki wa kudumu Wala adui wa kudumu.. kwa maana nyingine siasa Ni uongo....
 
Mkuu nmejib hapo chin, swal la afya si la kisera, ila pia ni wap HP kahamasisha? Au maoni yake ndo hamasa??

Kuhamasisha ni pale anaposema kuwa yeye hachanji,na pia kusema kwamba watu waendelee kuimarisha kinga kwa vyakula na mazoez which is Right,lakin hivyo hivyo vyote pia serikali imesema...na imesema njia za asili kwa anawaweza kuzitumia asitumie,Ila na chanjo pia wachanje...sasa nini kinachomsumbua pole pole
 
Wafumbe midomo yao basi... Kwani tumewaomba waongee... Nonsense.

Huchanji piga kimya. Kelele za nini!??
Ukichanja nawe funga mdomo, kwa Nini kushawishi watu wachanje liwe jambo sahihi vinginevyo iwe kinyume? Kama tumekubali iwe hiari pande zote ziwe huru kwa 100%
 
Kosa la polepele ni lipi mkuu?? Katukana kakebehi,kazodoa, kamkashifu rais au kafanyaje mpka adhabu imhusu? Kwa utopolo iliokuwa sawa tu maana wao walitukana kabisa Tena wazi... Walisahau kuwa uRais ni taasisi siyo Mtu..
Tusibishane sana. Kitakachomkuta Polepole sio kitu kizuri endapo ataendelea kushika Simba sharubu. Bora angekuwa mpinzani ingeeleweka. Kumbuka Rais ni taasisi. Kuwe na kosa au hakuna ni muda utaamua.
 
Kosa la pole pole ni kwenda kinyume na msimamo wa chama na serikali,Taasis inayomuongoza pole pole msimamo wake ni chanjo kwa hiyari,yeye kama hatak chanjo basi abakie na msimamo wake lakin asitoke kuhamasisha watu wasichanje kwa kuwa yeye hachanji,au kama anataka kuwa huru basi atoke ndan ya hiyo Taasisi Ili kuondoa sintofaham
Mbona unalazimisha Mambo!?,msimamo wa chama ulitolewa lini na nani!?,kwakuwa Samia na Majaliwa wanasapoti chanjo ndo msimamo wa chama!?.. au nikuulize upande wa pili..,Mbowe aliposapoti chanjo tena akadai iwe lazima ndo msimamo wa CHADEMA?,Ni lini CCM walitoa msimamo kama chama kuhusu chanjo za CORONA?.. hili swala la chanjo limegawa watu mara mbili bila kujali itikadi za vyama, dini,Imani nk. Kuna waislamu na Chadema kibao wanaomsapoti Gwajima kwenye swala la chanjo. Kama hujagundua hilo mpaka Sasa basi huna akili.
 
Yaani hii tunayoiona misimamo tofauti ya wazi ndani ya CCM kuhusu chanjo ya corona ingekua na kwenye mambo mengine yenye maslahi ya watu wengi ie katiba mpya, Kodi na tozo kandamizi nchi hii ingekua mbali sana kiuchumi tungekua tunafukuzana na kina Korea, Malaysia, China nk
 
Tumeona Viongozi mbalimbali wakitumia hiari yao kuhamasisha watu wakachanjwe na wengine wamekua sehemu ya kuchanjwa kama kuonesha mfano.

Polepole Naye yupo na msimamo wake wa kutochanjwa na ameenda mbali akihimiza watu wazingatie vyakula na vilevile kahoji kwanini hii chanjo haioneshi muda sahihi wa kufanya kazi tofauti na chanjo zingine.

Polepole yupo sahihi, ikionesha tayari wakubwa zake ambao ni Rais na mwenyekit wake wanaipigia chapuo chanjo?

View attachment 1884923
Ndio uhuru wa habari mkuu, sasa mko mstari wa mbele kudai katiba mpya na demokrasia na hata Polepole ni haki yake kusema yale anayoyaamini mkuu. Tusiwe wanafiki huku mnadai demokrasia na huku mnampiga polepole kusema yale anayoyaamini. Kwa hulka ya mwanadamu sote hatuwezi kuwa sawa au kufikiri sawa.
 
Mbona unalazimisha Mambo!?,msimamo wa chama ulitolewa lini na nani!?,kwakuwa Samia na Majaliwa wanasapoti chanjo ndo msimamo wa chama!?.. au nikuulize upande wa pili..,Mbowe aliposapoti chanjo tena akadai iwe lazima ndo msimamo wa CHADEMA?,Ni lini CCM walitoa msimamo kama chama kuhusu chanjo za CORONA?.. hili swala la chanjo limegawa watu mara mbili bila kujali itikadi za vyama, dini,Imani nk. Kuna waislamu na Chadema kibao wanaomsapoti Gwajima kwenye swala la chanjo. Kama hujagundua hilo mpaka Sasa basi huna akili.
Usie na akili ni wewe,

Mwenye kit wa chama ni samia na kiongoz wa serikali ni samia,ameshatoka hadharan na kutamka waz waz kuwa wameamua kwenda na chanjo Ila ni hiyar kwa mwenyekutaka,sasa unataka msimamo mwingine up zaid ya huo?

Kama gwajima na hao wanaomfuata hawataki chanjo ni Sawa,kwan wamelazimishwa??kelele ni za nini??
 
MBOWE APOKEA MAJIBU YAKE.

Mbowe baada ya kusikia kipenzi chetu JPM katutoka akajitokeza alipokuwa anawatumikia mabwana zake na kuanza kumkashifu marehemu na kumtuhumu kwa mambo mengi,wakishangilia kifo cha kipenzi chetu,walimuita majina yote,wengine walilewa na kucheza muziki kumbe walikuwa hawajui wanacheza na Mungu Mbowe alikuwa hajui anashindana na malaika(Guardian Angel) ndipo Mungu akamwambia ngoja nikujibu mimi majibu ya kashifa zako kwa marehemu ndo hayo kapewa na Mungu,na wote walioshangilia kutukana na kudhihaki wote watapokea majibu yao mmoja baada ya mwingine.Wasichokijua,huwezi kushindana na mtu usiemuona wakati yeye anakuona,sala zetu hazitaenda bure.

#MajibuHapaHapaDuniani.
 
Back
Top Bottom